Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Mkitumia nguvu jamaa hatamaliza story
Asipomaliza apigwe ban milele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkitumia nguvu jamaa hatamaliza story
Yule dada alinisogele na akasema ukiulizwa waambie Mimi ni mke wako tunakwenda kusalimia ukweni.
Nilikuwa nadhani hivyo pia..kumbe ni mji ambao sio mbaya.Nilipadharau sana Congo baada ya kusoma hii thread nikaingia youtube nakuona hii video ya Goma. Nilidhaniaga Goma ni kijiji flani hivi kumne mji tena msafi uliopangiliwa na Kuna msosi wa kila aina.
Nilipadharau sana Congo baada ya kusoma hii thread nikaingia youtube nakuona hii video ya Goma. Nilidhaniaga Goma ni kijiji flani hivi kumne mji tena msafi uliopangiliwa na Kuna msosi wa kila aina.
is he alive??Unaogopa kitu Gani.uyu ni mwanaume lazima apigane tu
Kwenye simulizi pia kaeleza kuwa Kuna wanawake alikuwa nao na wanawake hao walionesha ujasiri kuliko wanaumeUkimuona mwanaume anatumia pesa zake kaa pembeni, usimfundishe cha kufanya. Watu wanapambana sana.
Wale samaki wanakaushwa kwa chumvi mkuu. Wanadumu hadi mwaka mmojaMkuu nmependa sana simulizi ila nmejiuliza tu hao samaki ambao hawajaoza safari yote hyo. Mie nmetoka nao tu hapo ferry kufika magomeni kwisha habari yao
Man was kinda Hell , to witness all those young boys and girls suffering and the world is just watching or acting to help them while they are just serving food to their plates instead of ending the war !i saw it with my own eyes ,it was difficult to help because of the international treaties during the war (.......)from onother country you cant be engaged...there’s was the guy even gave me Gold to convince me ! Told them i would be happy to help them free but nothing I can do it was beyond my limits !Done that?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]HII SASA NDO STORY YA KIUME. SIYO ZILE ZA KIPUUZI ZA KUTIANA NA MISUKULE.ZIMEJAA UONGO MWINGI. NJOONI MSOME STORY YA KIUME HAPA.
Kwa hyo mkuu hujaona dalili za chai kavu hapaHII SASA NDO STORY YA KIUME. SIYO ZILE ZA KIPUUZI ZA KUTIANA NA MISUKULE.ZIMEJAA UONGO MWINGI. NJOONI MSOME STORY YA KIUME HAPA.
Fanya hvyo mkuu mnk unakuwaga na ukweliNadhan huyu jamaa akimaliza ntasimulia ya mgodin
Huyo jamaa Chizi Maarifa anampondea mwamba UMUGHAKA anayesimulia mambo ya wapemba huko. Mods walimbania kukomment kwenye hiyo thread kaona aje kulilia hukuKwa hyo mkuu hujaona dalili za chai kavu hapa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app