Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Mimi nilifikiri Watanzania wanaheshimika sana nchini Rwanda! Kulikoni imekuwa kinyume chake?
 
Kuna kitu hamkijui ,kuna stori fulani humu huwa zinaendaaa lakini ghafla wazee wa mawani na misuti suti wanawafata waandishi sijui wanaongea nini huko pm wee badae mtu anajiteka kwenye uzi( haonekani tenaa)
Mnakumbuka story ya mabraza wa kariakoo nae si alienda mpaka Congo huko
 
Hongera!
 
Nimepitia page zote kutafuta muendelezo nimetoka kapa
 
AU unafanya nini? Haina msaada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…