Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Mbn huyu jamaa yuko line sema sjui nini......., yaani story hiii imetuacha njianiiii
 
Aisee nimecheka sana kwenye coment deep pond kaambiwa kazi ya duka ni ya kimama, wakati jamaa ana stress za mchepuko, pole jamaangu. Alafu kupitia comments nimejua watanzania ni wajuaji sana aisee, yan mara jamaa katekwa mara jamaa kapigwa za kichwa yan tafrani... Wakuu kuwen na subira jamaa atakuja tu na mwendelezo
Yule mhuni kanipiga dongo la kimya kimya[emoji38]
 
Kuna moja ilikuwa inasisimua ya jamaa alikuwa anaendesha IT/ gari mpya binafsi za wateja toka bandari ya Dar wa salaam kwenda Congo ,yeye na jamaa alikuwa anaitwa Ramadhani , kama sikosei ,ile ilikuwa inasisimua kama movies aisee na mpaka iliisha.
Yule jamaa alikuwa vizuri kwenye kusimulia sana
Link hiyo , bonge moja la story ya kusisimua na jamaa alimaliza
,Kila siku jamaa alikuwa anashusha vitu ,wengine wanatekeleza story zao sijui wana matatizo gani

https://www.jamiiforums.com/threads/maisha-na-mikasa-ya-safari-yangu-nchini-dr-congo-miaka-ya-2000s-hadi-kutaka-kupigwa-risasi-hadharani.1867382/?amp=1
Ahsante sana mkuu, ngoja nikajivinjari.
Nalog off
 
Ndio hapo hapo ninapicha nilipiga kama kumbukumbu, ukweli Rwanda mtanzania anaogopwa sana wanahisi kila mmoja ni mpelelezi hivo wanakufuatilia hadi unapolala na kama unavuka nchi kama ulitiliwa shaka utapewa mtu kama abiria ahakikishe umevuka harakati za utafutaji ni ngumu sana basi tu,
Kwanini wanahisi waTZ ni wapelelezi?
Tunapeleleza nn rwanda?
 
Hapa ndipo linapokuja swala la uongozi wa JamiiForums na Moderator Active na wengineo kumfuta mleta uzi na kumsihi aendeleze either kwa kumuomba au kumuahidi chochote kitakochomfaa sababu jamii forum inapata pesa kupitia watu ambao n memba na wanoperuz jf Sasa Kama n hvyo kwann jf inashindwa kuwapa watu kile wanatka vipi huyu jamaa akaenda kuweka hii stori pahala pengine?
 
Hapa ndipo linapokuja swala la uongozi wa JamiiForums na Moderator Active na wengineo kumfuta mleta uzi na kumsihi aendeleze either kwa kumuomba au kumuahidi chochote kitakochomfaa sababu jamii forum inapata pesa kupitia watu ambao n memba na wanoperuz jf Sasa Kama n hvyo kwann jf inashindwa kuwapa watu kile wanatka vipi huyu jamaa akaenda kuweka hii stori pahala pengine?
Maxence Melo tunakuomba tu atafutwe huyu ndugu yetu tupate kufahamu muendelezo wa hii safari yake.
 
Kapigwa risasi
Screenshot_20230721-105333~2.png
 
Back
Top Bottom