Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Story za ukwel hua na mafunzo sio Yale mastory ya kuburudisha ...jamaa kanipa somo sio kila mwanAmke Ni wa kumla kimasihara yeye yuko kikazi .ujasiri wa kuchukua chumba kingine na kuacha mwanamke chumba kingine .
aione mzabzab
 
Baada ya kumuona jamaa ana elements za Bakayoko maana Kuna sehemu alisema yeye anamkubali sana Magu nikajua hamna mtu hapa. Jamaa amekaa kimchongo.... Atakuwa alikuwa Dr Congo Kwa mission za UN piece keepers, amekariri majina ya baadhi ya miji.
 
Baada ya kumuona jamaa ana elements za Bakayoko maana Kuna sehemu alisema yeye anamkubali sana Magu nikajua hamna mtu hapa. Jamaa amekaa kimchongo.... Atakuwa alikuwa Dr Congo Kwa mission za UN piece keepers, amekariri majina ya baadhi ya miji.
Hahaha! Mzee wa legasi
 
Mwenye uliandika Uzi wako
Na Sasa umeuzila bila kuundeleza
Huna sababu yoyote Ile ya msingi basi nasema hivi wewe ni mtu fulani hivi Ambae ni -------- sana .
 
Usifikiri huwa wanataka mazoea kirahisi rahisi ukikutana nao kuna mawili au manne utoke salama, utoke na ulemavu, wakuunganishe uwe Askari wao au wakuue mambo siyo rahisi kama kwenye movie
Yea hawataki mazoea ya ovyo hao watu we ka mind business zako kuwa nao peace tu
 
Back
Top Bottom