Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aione mzabzabStory za ukwel hua na mafunzo sio Yale mastory ya kuburudisha ...jamaa kanipa somo sio kila mwanAmke Ni wa kumla kimasihara yeye yuko kikazi .ujasiri wa kuchukua chumba kingine na kuacha mwanamke chumba kingine .
Kuna niniaione mzabzab
Hahaha! Mzee wa legasiBaada ya kumuona jamaa ana elements za Bakayoko maana Kuna sehemu alisema yeye anamkubali sana Magu nikajua hamna mtu hapa. Jamaa amekaa kimchongo.... Atakuwa alikuwa Dr Congo Kwa mission za UN piece keepers, amekariri majina ya baadhi ya miji.
Pengine kauawa na waasi.Story za congo huwa hazifiki mwisho, tatizo nini?
Alipouiba kakuta umefutwa..Itakuwa na yeye kasimuliwa huu uzi kwahiyo anasubiri apate next episode
Atakuwa kafichwa tu na Mama wa samaki [emoji3][emoji3]Jamani huyu mzee wa Kichanga tureport polisi atakuwa ametekwa na na yule mmama wa samaki
Yea hawataki mazoea ya ovyo hao watu we ka mind business zako kuwa nao peace tuUsifikiri huwa wanataka mazoea kirahisi rahisi ukikutana nao kuna mawili au manne utoke salama, utoke na ulemavu, wakuunganishe uwe Askari wao au wakuue mambo siyo rahisi kama kwenye movie
Dawa yake huyu ni ndogo sana, akija kuendekeza uzi wake usiusome ili kumkomoaWatu wengine huwa mnalazimisha watu kuwatukana kama huyu mleta uzi
Una umri ganiUnataka JF Ife, hao ndio wanafanya JF iwepo, maana hawalipwi hata Mia lakini wanafanya Kwa mapenzi yao