Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Justine Marack naomba uutende haki huu uzi tunajua una Mambo mengi lakini pia tunaomba ujue kwenye hayo Mambo mengi na shughuli zako za kufanya Basi na kuendelea kuweka simulizi hapa n sehemu ya hsyo majukumu yako tafadhali
Kafanye kazi nyingine, au kasome simulizi nyingine.
Uache kulilia hapa.
 
Justine Marack naomba uutende haki huu uzi tunajua una Mambo mengi lakini pia tunaomba ujue kwenye hayo Mambo mengi na shughuli zako za kufanya Basi na kuendelea kuweka simulizi hapa n sehemu ya hsyo majukumu yako tafadhali
Mtu mnaesema Yuko bize ndio huyu aaanzisha uzi saa 10 kasoro asubuhi?😄😄
 
Bado kimya
Vile unasubiria angalao kimoko😁😁😁
aAABjc.jpg
 
Mtu mnaesema Yuko bize ndio huyu aaanzisha uzi saa 10 kasoro asubuhi?😄😄
😁😁 Anatuchora kumbe
 
Mtu mnaesema Yuko bize ndio huyu aaanzisha uzi saa 10 kasoro asubuhi?[emoji1][emoji1]
Jamaa limetutelekeza[emoji23]
 
Back
Top Bottom