PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Watu mnafarikiPeti uko fasi ya wapi??
Leta mwendelezo aisee..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu mnafarikiPeti uko fasi ya wapi??
Leta mwendelezo aisee..
Mkaldayo unataka kula ugali na ngozi ya ng'ombe?Peti uko fasi ya wapi??
Leta mwendelezo aisee..
Jamaa alete mambo aisee..Mkaldayo unataka kula ugali na ngozi ya ng'ombe?
Unachoomba Ni nini hapo mkuu?Justine Marack naomba uutende haki huu uzi tunajua una Mambo mengi lakini pia tunaomba ujue kwenye hayo Mambo mengi na shughuli zako za kufanya Basi na kuendelea kuweka simulizi hapa n sehemu ya hsyo majukumu yako tafadhali
Kafanye kazi nyingine, au kasome simulizi nyingine.Justine Marack naomba uutende haki huu uzi tunajua una Mambo mengi lakini pia tunaomba ujue kwenye hayo Mambo mengi na shughuli zako za kufanya Basi na kuendelea kuweka simulizi hapa n sehemu ya hsyo majukumu yako tafadhali
Mtu mnaesema Yuko bize ndio huyu aaanzisha uzi saa 10 kasoro asubuhi?😄😄Justine Marack naomba uutende haki huu uzi tunajua una Mambo mengi lakini pia tunaomba ujue kwenye hayo Mambo mengi na shughuli zako za kufanya Basi na kuendelea kuweka simulizi hapa n sehemu ya hsyo majukumu yako tafadhali
Vile unasubiria angalao kimoko😁😁😁Bado kimya
😁😁 Anatuchora kumbeMtu mnaesema Yuko bize ndio huyu aaanzisha uzi saa 10 kasoro asubuhi?😄😄
Magufuli 'oil chafu' ukiigusa unachafuka mwenyewe
Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu. Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa...www.jamiiforums.com
Yule mama wawili anakula kirahisi?"Utakula kwa jasho".
Wanaume tunapitia mengi bana!
Huenda ameficha code tuWap amesema yupo uwanja wa vita.. embu angalia apo kwenye alama kama ni kitu cha leo.. inaonekana wewe hata kusoma kwako ni changamoto
Jamaa limetutelekeza[emoji23]Mtu mnaesema Yuko bize ndio huyu aaanzisha uzi saa 10 kasoro asubuhi?[emoji1][emoji1]
Magufuli 'oil chafu' ukiigusa unachafuka mwenyewe
Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu. Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa...www.jamiiforums.com
Mshenzi huyo ametelekeza thread yake amehamia jukwaa la siasaJamaa limetutelekeza[emoji23]
Code zipi izo ambazo na wewe inaonekana unazihisi huna uhakika nazo..Huenda ameficha code tu
Huna akili
Achana naye.Bwana mkubwa endelea basi au ukimya nao n jibu
Jamaa kazingua sana harafu taahira ajiitae chizi maarifa alimsifia sana ajabu kamuangushaMkurugenzi, Boss, Mheshimiwa sana, Kiongozi wetu, kwanza pole sana na majukumu.
Nakuomba sana sana, weka uzi uendelee!!