Walt white
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 258
- 670
Smart GangMwenyewe nakitafuta mkuu wangu. Am sorry sina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Smart GangMwenyewe nakitafuta mkuu wangu. Am sorry sina.
Mbona sijatajwa jina mkuu[emoji1787]Aisee nimecheka sana kwenye coment deep pond kaambiwa kazi ya duka ni ya kimama, wakati jamaa ana stress za mchepuko, pole jamaangu. Alafu kupitia comments nimejua watanzania ni wajuaji sana aisee, yan mara jamaa katekwa mara jamaa kapigwa za kichwa yan tafrani... Wakuu kuwen na subira jamaa atakuja tu na mwendelezo
Nikienda kivu na mamaj namuachia Nani?Tulia mzee wamesema wewe unauza maduka sana uende congo uende North Kivu huko vyuma vinapolia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Seema mwamba Ni jasiri Sana aisee,Aisee nimecheka sana kwenye coment deep pond kaambiwa kazi ya duka ni ya kimama, wakati jamaa ana stress za mchepuko, pole jamaangu. Alafu kupitia comments nimejua watanzania ni wajuaji sana aisee, yan mara jamaa katekwa mara jamaa kapigwa za kichwa yan tafrani... Wakuu kuwen na subira jamaa atakuja tu na mwendelezo
Mi mwnyw nakusubir mkuuNtajitahidi as soon as possible. Ngoja hawa wengine nao wamalizie zao
Me nimekubali mwamba Mwanaume kweli kweli me ningepindulia njianiSeema mwamba Ni jasiri Sana aisee,
Kuna Watu Wana roho ngumu Sana mkuu[emoji4]
Aahh kumbe ndio Kigoma zimetoka GomaGoma tulipotokea Wagoma ni tofauti na hiyo Goma ya Kivu kaskazini,
Goma ya Wagoma ni Kivu kusini, Mwambao wa Zoni ya Fizi mpaka kaskazini ya Kalemi(Kabimba, Falls Bendera). Kwa kilugha hutamkwa G'oma(g'=voiced velar approximant), na siyo jina la eneo la kisiasa ni kama vile kusema Fipa=Wafipa, Manda=Wamanda, Buha=Waha n.k, pia kiasili lilikuwa ni jina la eneo kati ya vighuba vya Kasaba mpaka Yungu.
Ahahaha daah noma sana 😂😂Nikienda kivu na mamaj namuachia Nani?
Kwani si aliishia ya 2?Sehemu ya 4 inakuja kabla ya saa tano
Tunaomba uvumilivu
Ama kweli ukiwa muongo uwe na kumbukumbu 😂😂Kwani si aliishia ya 2?
Jamaa katuacha na arosto mbaya sana aiseeUzi wa kijeshi oporeshen maalum huu.
someni kwa makini hata mleta Uzi sio wa kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app