Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Naona hakuna muendelezo hapa... Ndio mwisho
 
Nmeshindw kuisoma yote , hakuna app ya kubali maandish kuw audio
 
Kuna watu hamna akili na mnaonyesha n jinsi GANI uelewa kwenu n mdogo yan ujinga umewatawala alafu kuna mwingine kila Uzi lazima alete kujuana na watu.

ELEKEZO - elewa mada husika changia kama mada inavyosema huna cha kuchangia Kaa kimya mambo ya kijinga ya kujuana na kukumbushana ujinga wenu angalia juu ya simu Yako kulia kuna kibahasha bonyeza hicho na umwandikie huo ujinga mwenzako.

Mjue mnaharibu Uzi za watu
 
Justine Marack tulia tu taratibu ukipata muda shusha madini mengine kwa kina usifiche kitu. Na mtu akikusumbua mimi nita deal naye. Tunataka watu wenye shuhuda za kutafuta pesa Kiume wasipewe bughudha. Siyo mtu anakuja simulia uzi wa kupata pesa kwa kupewa tender ya kumgegeda msukule. Hizo tabia zinasababisha vijana wengi wawe mashoga.

Ila huu uzi wako unakomaza zaidi wanaume wanakomaa na kuzidi kuimalika kuwa maisha ni vita. So uwe na amani tupo humu watu wazima na tutakulinda utoe ushuhuda wako kwa utulivu. Huu uzi tuta uhifadhi uje kuwa uzi bora wa kiume wa kutafuta njuruku.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]shenzi ww umenichekesha mpaka watu wananiona chizi hapa eti uzi wa kugegedana na msukule [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…