Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inabore kinomaNdio ile mambo ya unughaka, mwendelezo baada ya wiki.
Mkuu na nimepiga screenshots kutoka YouTube hizi picha ni za juzi hapo Kitchanga mwamba mleta mada alipolala pekee yake kwa kutaa kulala na huyo demu.View attachment 2500525
Nilijua ni simu yangu tuMkuu Mbona picha hazifunguki?
Safari njema..mkipata mje mniuzie hizo 1.5kg GoldTuondoke wote mkuu bongo nyoso, nilipofikia hapa inatosha nikipata kampani nasepa aisee, get rich or die trying..
Nilipadharau sana Congo baada ya kusoma hii thread nikaingia youtube nakuona hii video ya Goma. Nilidhaniaga Goma ni kijiji flani hivi kumne mji tena msafi uliopangiliwa na Kuna msosi wa kila aina.
Mzee wakaz uzi wako ulikua wa moto sana nilikua nafatilia herufi kwa herufi nukta kwa nukta ulaibu flani ivi mara ghafla ghafla ghaflaaaa wakakuroga ukaingia miti nkasema dah kweli kizuri hakidumu 😁😁Mimi nimeandika sana. Nlishaenda Congo kutafuta pesa za kiganga. Ila jamaa amepitia hard time sana. Mimi nliondokea Kigoma. Ni masuala tu ya kuamua mtu unaandika unamaliza. So naelewa na nimeishi kwenye kuandika. Kama naandika reports za pages 300 mpaka 400 itakuwa hapa JF?
Congo kwenye vita ni mashariki, pande zingine za Congo ni mauno tu na bataIla amani ya DRC inachafuliwa na nchi za magharibi kwa kuwatumia vibaraka vyao kama Rwanda maana haiwezekani Congo Brazaville kuwe na amani halafu jirani zao Congo Kinshasa vita kila siku hasa miji iliyo karibu na Rwanda na hapa mleta uzi ameshasema miji mingi waliyopita wamejaa Watutsi na Wahutu so hawa jamaa sio watu wazuri kabisa ile genocide ni kama imewapa laana wanawaza kuuana na kuua tu muda wote.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Mwambieni
Mtoa mada alete mwendelezo Basi[emoji4]
Hii insitwa chukudu