Safari yangu ya Dar-Njombe-Iringa-Dodoma-Tabora-Kigoma-Kasulu-Kibondo-Nyakanazi-Kahama-Singida-Dom-Dar

Mkuu Bwana PGO
Safari yako ulitumia muda gani na kama hautajali ukiweka gharama ulizotumia aidha kwa ujumla au kwa mchanganuo

Je unafahamu organisers wanaofanya utalii huu wa road trip in groups
Shukrani sana, nilitumia takribani siku kumi, sio za kusafiri. Nazungumzia safari nzima, Kuna sehemu nilikua napumzika kidogo na kuonana na wadau.

Mafuta Nina baadhi ya risiti haifiki 700,000....kwa Mafuta.

Njiani nilikua nakula matunda zaidi Ili kubalance tumbo, ndizi, maepo (apples) 🍎🍏 za Makete, Karanga etc . Gharama halisi Sina ila haikuzidi 1.2m.
 
Ni kweli Mkuu. Hats Mimi naunga mkono. Kutembea usiku in hatari sana.
Anza safari walau saa moja asubuhi, maximum mpaka saa mbili usiku, lengo kutafuta sehemu ya kulala.
Na ni kweli, mchana unainjoi sana.
Na pia usiwe na haraka. Nenda mdogomdogo.
Usiku Wala hakuna hatari yoyote, hakikisha tu huna uchovu, gari Ina taa zenye mwanga wa kutosha na acha ku-overtake kijinga
 
Niliwaza kutumia Nissan Xtrail nikahofia kama nikipata breakdown, zile gari ni umeme 100% na mafundi wetu wa mkoani hawa
Umeme 100%! Sasa ulikuwa unaichaji wapi? Sijui kama tayari tunavyo vituo vya kuchaji magari au ulikuwa unaichaji mwenyewe hotelini!
 
Ni kweli Mkuu. Hats Mimi naunga mkono. Kutembea usiku in hatari sana.
Anza safari walau saa moja asubuhi, maximum mpaka saa mbili usiku, lengo kutafuta sehemu ya kulala.
Na ni kweli, mchana unainjoi sana.
Na pia usiwe na haraka. Nenda mdogomdogo.
Ukiwa na 4x4 na silaha usiku ni muda mzuri kusafiri. Hamna traffic wala magari mengi unatumia muda mfupi kufika eneo husika.
 
You deserve my salute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…