Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Haa haa haa usinichekeshe [emoji23][emoji23][emoji23], nikutakie usiku mwema!Sawa Bwana PGO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa haa haa usinichekeshe [emoji23][emoji23][emoji23], nikutakie usiku mwema!Sawa Bwana PGO
Zote ziko chini ya Mkandarasi anaitwa CHICO. Sharti ni kwamba mkandarasi akikabidhiwa Barabara lazima ahakikishe inapitika bila kikwazo, ni mbaya yes!
Tafuta mke uoe uache kuzurura mabarabaraniUle usiku nilipitia Bambalaga Mkuu, ulikua offline
Hahahahah haya usiku mwema nimecheka sanaTafuta mke uoe uache kuzurura mabarabarani
Nasikia kuja Wakandarasi CHICO, SINOHYDRO, ZCCC na STECOLUnachosema ni kweli Kasulu to Kibondo kuna mkandarasi, nilivyohamishiwa huku kikazi barabara ilinikatisha tamaa as kulikuwa hakuna mkandarasi..ilikuwa vumbi kuanzia Nyakanazi till Kasulu, you can imagine
Shukrani sana Mpwa kwa kunielewaSawa Bwana PGO
Ni kweli Mkuu. Hats Mimi naunga mkono. Kutembea usiku in hatari sana.Hongera kutalii.
Siku nyingine jaribu route hizi
1. Dar - Lindi - Mtwara - Masasi - Songea - Mbinga hadi Mbamba bay Nyasa ziwani, kisha rudu Dar kupitia Njombe - Iringa - Moro.
2. Dar - Moro - Iringa - Makambako - Mbeya - Tunduma - Sumbawanga hadi Katavi (Mpanda) Kisha rudi Dar kupitia Stalike - Majimoto - Muze - Mtowisa hadi utokee Mlowo ili uende Mbeya kisha Chunya - Makongolosi hadi Tabora ndio uende Dar kupitia Itigi - Manyoni - Dom - Moro.
Amini nakuambia, ukimaliza route hizo, utakuwa umejifunza mengi sana.
Tembea kwa saa kumi au kumi na moja kwa siku. Kisha pumzika kwenye mji, furahia maisha kisha siku ya pili uendelee. Usitembee usiku kwa safari za kitalii.
Umejuaje hajaoaTafuta mke uoe uache kuzurura mabarabarani
Asante kwa kunipa kumbukizi amazingHabari za wakati huu, nimeona niwashirikishe kidogo Wazee wenzangu wa Road trip haka kamsafara kangu kadogo.
Nilipanga kuwa mwaka huu nizunguke kwa gari baadhi ya mikoa, LENGO ikiwa ni kupunzisha ubongo tu na kujionea huko kwingine...LENGO ilikua nianzie Dar-Lindi-Songea-Njombe- Mbeya-Rukwa-Katavi-Kigoma-Bukoba-Mwanza-Mara-Simiyu-Shinyanga-Singida-Dodoma-Moro-Dar ila baada ya kuwaza sana nikaona kwa mwaka huu nijaribu route fupi kidogo.
Safari yangu ilianza tarehe 5/12/2021 kutoka Dar mchana kwenda Njombe, niliondoka Dar saa kumi jioni, nikapumzike Moro kidogo then nikapumzika Mafinga Kisha nikamalizia safari Hadi Njombe, nikifika muda wa saa tisa usiku, nikaenda giraffe pale nikamalizia usiku hapo.
Siku iliyofuata nikatembea hapa na pale kidogo ila kesho yake Ikawa nataka kwenda Kitulo kupitia Makete nikalale Kitulo Kisha nidondokee Mbeya, kwa bahati mbaya sana baada ya kufika Makete almost two or three kilometers kutoka Makete nikapotea njia... nilikuta junction sasa baada ya kwenda kulia nikapita kushoto. Nikatembea mwendo mrefu tu huku Barabara ikiwa mbaya, ikafika mahali mlimani na msituni nikakwama, nikaamua kurudi, ndio nikauliza wenyeji wakasema nimepotea sana. Nikaghadhibika nikarudi Njombe Mjini. Siku Ikawa imeisha.
Siku iliyofuata mchana nikaamua kuondoka Njombe, kuanza safari ya Kigoma. Saa nane mchana baada ya kupata lunch pale Glory Hotel nikaondoka taratibu sana.
Nikafika Dodoma usiku wa saa Tano, nikaamua nisogee Hadi Manyoni. Nikapumzika Manyoni pale Pretoria Hadi saa Moja asubuhi nikaondoka zangu.
Saa nne nikafika Tabora, nikapumzika one hour nikapata supu. Muda wa saa Tano nikaondoka sasa kuitafuta Kigoma, Barabara ilikua mbaya baadhi ya maeneo, kuna maeneo kuna lami na kwingine hakuna lami Hadi uvinza. Nikafika Uvinza saa 11 jioni.
Nikatembea sasa kwenye lami Hadi Kigoma, Nikalala Mwitongo Hotel, asubuhi nikazunguka mjini nikaenda kuonana na wadau wangu siku Ikawa imeisha.
Asubuhi nikaondoka kwenda Kasulu, nikafika Kasulu nikatafuta kifungua kinywa nikaendelea na safari, kuanzia Kasulu Hadi Kibondo mjini ni rough road Moja matata sana, lami Iko Pale mjini tu, nikaonana na Wadau wangu hio ni saa tisa mchana sasa nimeshapunzika. Jamaa wakanishauri nisiondoke, tukabadilishana mawazo pale na networking.....
Asubuhi nikaondoka kutoka Kibondo na penyewe ni rough road ya maana tu sema Kuna Ujenzi inaendelea kwa MKOPO kutoka AfDB. Lami nikaikuta Kakonko sasa, nikasimama nikapiga picha kuagana na rough road.
Nikatembea Hadi Nyakanazi, Runzewe, Masumbwe to Kahama. Kahama nikapumzika kidogo maeneo ya kule kwenye maegesho ya serikali, Kahama Pana starehe aiseeee.
Nikatembea zangu saa tisa mchana Shelui, nikapata Company nikajivuta Hadi Singida. Nikalala sikutaka kuendelea na ligi na yule kijana, alinikuta kule mizani namwaga Maji kidogo, akasimama tukaagana nikamwambia sitaweza kuendelea na safari.
Asubuhi nikaanza safari Hadi Dodoma nikapumzika, mchana nikaanza safari Tena Hadi nafika Dar ilikua saa sita usiku.
Hivi ndivyo nilivyoitumia Likizo yangu ya December 2021 kwa kutembelea maeneo hayo kujenga network na kubadilisha mazingira kidogo.
View attachment 2050099
View attachment 2050102
View attachment 2050103
View attachment 2050106
View attachment 2050107
View attachment 2050109
View attachment 2050110
View attachment 2050112
View attachment 2050113
View attachment 2050114
View attachment 2050115
View attachment 2050116
View attachment 2050118
View attachment 2050121
Umeni-inspire sana japo sipendi safari kabisaHongera kutalii.
Siku nyingine jaribu route hizi
1. Dar - Lindi - Mtwara - Masasi - Songea - Mbinga hadi Mbamba bay Nyasa ziwani, kisha rudu Dar kupitia Njombe - Iringa - Moro.
2. Dar - Moro - Iringa - Makambako - Mbeya - Tunduma - Sumbawanga hadi Katavi (Mpanda) Kisha rudi Dar kupitia Stalike - Majimoto - Muze - Mtowisa hadi utokee Mlowo ili uende Mbeya kisha Chunya - Makongolosi hadi Tabora ndio uende Dar kupitia Itigi - Manyoni - Dom - Moro.
Amini nakuambia, ukimaliza route hizo, utakuwa umejifunza mengi sana.
Tembea kwa saa kumi au kumi na moja kwa siku. Kisha pumzika kwenye mji, furahia maisha kisha siku ya pili uendelee. Usitembee usiku kwa safari za kitalii.
Hiyo route ya majimoto hadi kamsamba sio mchezo!!cjajua kwa sasa hivi ila 2019, nilipita huko, daa sio kwa ubovu ule wa barabara hasa madaraja!!ni mengi mno halafu una kuta baadhi ya maeneo ina bidi upite tu kwani daraja hakuna limeshasombwa na maji, sema ilikuwa kipindi cha kiangazi, na gari ilikuwa ni hizi za kazi toyota pick up!!kama ni ist kule unaiacha kabisa!!!kamsamba hadi mlowo kuna msitu mzito pale unajulikana kama (BOT)sehemu ya wazee (majambazi)kuchukulia pesa zao!!!Hongera kutalii.
Siku nyingine jaribu route hizi
1. Dar - Lindi - Mtwara - Masasi - Songea - Mbinga hadi Mbamba bay Nyasa ziwani, kisha rudu Dar kupitia Njombe - Iringa - Moro.
2. Dar - Moro - Iringa - Makambako - Mbeya - Tunduma - Sumbawanga hadi Katavi (Mpanda) Kisha rudi Dar kupitia Stalike - Majimoto - Muze - Mtowisa hadi utokee Mlowo ili uende Mbeya kisha Chunya - Makongolosi hadi Tabora ndio uende Dar kupitia Itigi - Manyoni - Dom - Moro.
Amini nakuambia, ukimaliza route hizo, utakuwa umejifunza mengi sana.
Tembea kwa saa kumi au kumi na moja kwa siku. Kisha pumzika kwenye mji, furahia maisha kisha siku ya pili uendelee. Usitembee usiku kwa safari za kitalii.
Karibu Kiteto, Kongwa, Ilala, Ngorongoro, Ileje, Ikungi, Masasi na Korogwe, Kikwajuni na NairobiHaa haa haa usinichekeshe [emoji23][emoji23][emoji23], nikutakie usiku mwema!
Na bwana yule katurudisha nyuma Sana,haiingii akilini mikoa ya western hadi leo hii inaogelea kwenye mavumbi tena barabara kuu,huu ni upuuzi.Tanzania chini ya serikali sikivu ya CCM tukiacha uchawa na ujinga tunaweza kuwa Donor Country seriously
Nyie wakazi wa Kigoma na Wale wa Kagera kueni wapole mpo karibu na nchi Tata kiusalama hatuwezi kuweka lami sehemu zote isije kikanuka siku1 jamaa wakatuingilia mpk ndani kirahisi rahisi(Na ndio maana Congo barabara zake Ni mbaya ili kupunguza kasi ya waasi walitaka kuja kuteka jiji Lao).Hongera sana. Nami pia nilikuwa likizo, almost njia hiyo hiyo, ingawa mimi nilipitia mbeya, Rukwa, Katavi, kuingilia uvinza.
Niseme ukweli, Mkoa wa Kigoma umesahauliwa sana, na hasa kwenye Miundombinu! Kile kipande cha Kaliua-Nguruka na Malagarasi-Uvinza kina zaidi ya miaka 5 kiko vile vile,
Kiukweli kabisa inauma mnoo, kwakuwa haikupaswa mpaka muda huu kiwe vile, sababu imekuwa muda sana na kiasi kwamba mtu unajiuliza je, Sirikali ina agenda ya siri juu ya watu wa Kigoma juu ya maendelo yao??
Lakin pia wakati narudi nilipitia njia ulosema kwa maana ya kasulu-Nyakanazi! hali ya barabara inatisha mnoo!
Serikali iwakumbuke wakazi hawa, maana nadhan umebaki mkoa pekee ambao haujaunganishwa kwa lami hapa Tanganyika.
Sehemu kame hizo hazinaga picha za kuvutia.Nilipenda nione picha za akiwa
Dodoma na Manyoni Ila sijaziona
Alitaka aone mawe mazuri, nitamtumiaSehemu kame hizo hazinaga picha za kuvutia.