Safari yangu ya jana imenisaidia kuitafakari imani yangu kwa dakika kadhaa

Safari yangu ya jana imenisaidia kuitafakari imani yangu kwa dakika kadhaa

Jana nilipanda treni kwa safari ya masaa manne. Mlangoni alikuwepo mhudumu na kipima joto na kuhakikisha wote tuna barakoa kabla ya kuingia ndani pia kulikua na meza yenye sanizer pembeni.

Tuliambiwa tukae mbali na abiria wengine la kama mmetoka nyumba moja mnaweza kukaa pamoja. Sasa alikuja mwanaume mmoja aliomba ku charge simu kwani nilipokaa kulikuwa na socket ambayo sikuitumia.

Alisema ni muhimu awe na simu kwani kuna maombi anaendelea nayo kupitia You Tube. Niliposikia maombi nilimdadisi zaidi, alisema ni maombi ya Bhudaism. Nilimuuliza wewe ni Bhuddist? Alisema yeye hana dini ingawa alizaliwa Mkristu wa Anglicana na kupata sakramenti zote.

Wakati huo maongezi yetu ya yamekolea na barakoa tumeziweka videvuni, alisema baada ya kuzunguka dunia kikazi amegundua nguvu ya sala na maombi ya dini nyingine ambazo wala hazina uhusiano na Yesu. Anaamini kuwa kuna Mungu na anaamini jua lina nguvu sana. Aliniambia kuna ibada inayohusisha jua na ukimaliza hiyo ibada unaweza usilale kwa masaa 72, unakuwa na nguvu za ajabu.

Kwakweli nilimueleza kwangu mimi Ukristu nimerithi kutoka kwa wazazi. Kama walionileta duniani wameishi kwa imani hiyo na kunifundisha mema kwenye muongozo huo sioni sababu ya kuachana nao, pia mimi binafsi umenijenga kumjua Mungu na maombi.

Mwisho wa safari yetu tuliagana. Nilijifikira sana nikiwa nyumbani kuwa Yesu alisema yeye ni njia ya kweli, sasa hawa wanaoabudu kupitia jua siku ya hukumu itakuwaje kwao?
Dada umenitisha sana sana nikajua umeamua kwenda CCM! Achana na hao watu usiogope, Shika sana ulichonacho asije mtu akaichukua taji yako....Revelation 3:....
 
Jana nilipanda treni kwa safari ya masaa manne. Mlangoni alikuwepo mhudumu na kipima joto na kuhakikisha wote tuna barakoa kabla ya kuingia ndani pia kulikua na meza yenye sanizer pembeni.

Tuliambiwa tukae mbali na abiria wengine la kama mmetoka nyumba moja mnaweza kukaa pamoja. Sasa alikuja mwanaume mmoja aliomba ku charge simu kwani nilipokaa kulikuwa na socket ambayo sikuitumia.

Alisema ni muhimu awe na simu kwani kuna maombi anaendelea nayo kupitia You Tube. Niliposikia maombi nilimdadisi zaidi, alisema ni maombi ya Bhudaism. Nilimuuliza wewe ni Bhuddist? Alisema yeye hana dini ingawa alizaliwa Mkristu wa Anglicana na kupata sakramenti zote.

Wakati huo maongezi yetu ya yamekolea na barakoa tumeziweka videvuni, alisema baada ya kuzunguka dunia kikazi amegundua nguvu ya sala na maombi ya dini nyingine ambazo wala hazina uhusiano na Yesu. Anaamini kuwa kuna Mungu na anaamini jua lina nguvu sana. Aliniambia kuna ibada inayohusisha jua na ukimaliza hiyo ibada unaweza usilale kwa masaa 72, unakuwa na nguvu za ajabu.

Kwakweli nilimueleza kwangu mimi Ukristu nimerithi kutoka kwa wazazi. Kama walionileta duniani wameishi kwa imani hiyo na kunifundisha mema kwenye muongozo huo sioni sababu ya kuachana nao, pia mimi binafsi umenijenga kumjua Mungu na maombi.

Mwisho wa safari yetu tuliagana. Nilijifikira sana nikiwa nyumbani kuwa Yesu alisema yeye ni njia ya kweli, sasa hawa wanaoabudu kupitia jua siku ya hukumu itakuwaje kwao?
Hao achana nao wewe gonga injili tu, binafsi mimi nimeziona nguvu za Yesu Kristo na ukizilitea mchezo tu unapata adhabu kali sana.
Yesu Kristo ndio njia ya kweli na uzima,

Hakuna mwingine kama yeye, nguvu za Yesu Kristo zipo ndani ya Biblia soma Biblia kwa kuelewa na kuyashika Yale maneno utaziona nguvu zinakuja zenyewe.
 
Yesu anatupenda kweli!ila usiwekeze imani ya kristo kwa hzi taasisi za kiroho hasa makanisa!usije ukavunjika moyo kabisa!!nimeamua kuishi maisha yangu mwenyewe !!makanisa hayaaminiki kama taasisi kimbilio kwa waliovunjika moyo!!watakufinyanga wakukamue zaidi!!!yesu awe wako mwenyewe wala usichanganywe na mtu!!!
 
Jana nilipanda treni kwa safari ya masaa manne. Mlangoni alikuwepo mhudumu na kipima joto na kuhakikisha wote tuna barakoa kabla ya kuingia ndani pia kulikua na meza yenye sanizer pembeni.

Tuliambiwa tukae mbali na abiria wengine la kama mmetoka nyumba moja mnaweza kukaa pamoja. Sasa alikuja mwanaume mmoja aliomba ku charge simu kwani nilipokaa kulikuwa na socket ambayo sikuitumia.

Alisema ni muhimu awe na simu kwani kuna maombi anaendelea nayo kupitia You Tube. Niliposikia maombi nilimdadisi zaidi, alisema ni maombi ya Bhudaism. Nilimuuliza wewe ni Bhuddist? Alisema yeye hana dini ingawa alizaliwa Mkristu wa Anglicana na kupata sakramenti zote.

Wakati huo maongezi yetu ya yamekolea na barakoa tumeziweka videvuni, alisema baada ya kuzunguka dunia kikazi amegundua nguvu ya sala na maombi ya dini nyingine ambazo wala hazina uhusiano na Yesu. Anaamini kuwa kuna Mungu na anaamini jua lina nguvu sana. Aliniambia kuna ibada inayohusisha jua na ukimaliza hiyo ibada unaweza usilale kwa masaa 72, unakuwa na nguvu za ajabu.

Kwakweli nilimueleza kwangu mimi Ukristu nimerithi kutoka kwa wazazi. Kama walionileta duniani wameishi kwa imani hiyo na kunifundisha mema kwenye muongozo huo sioni sababu ya kuachana nao, pia mimi binafsi umenijenga kumjua Mungu na maombi.

Mwisho wa safari yetu tuliagana. Nilijifikira sana nikiwa nyumbani kuwa Yesu alisema yeye ni njia ya kweli, sasa hawa wanaoabudu kupitia jua siku ya hukumu itakuwaje kwao?




Safari ya masaa 4 (a 4 hrs journey???), kutoka wapi hadi wapi??, au SGR imeanza kazi??.

Juu ya yote ni Mungu pekee ndiye ukimuomba kwa dhati anaweza kukuongoza katika njia yake sahihi, usifuate njia uliyorithi kutoka kwa wazazi wako kwani siku ya hukumu kila mmoja ataulizwa kile alichofanya, pia kumbuka hao wazazi wako pia nao wana wazazi wao (Bibi na babu yako), sasa kama kila mtu atamtegemea mzazi wake kwa wema au ubaya aliofanya utakuta kwamba wale wazazi wa kwanza kuumbwa ndio watakuwa "responsible".

Kuna bwana mmoja ambaye alifanya maombi haya kwa Mungu akitafuta njia ya haki alisema: " Ewe Mungu wangu nakuomba unionyeshe njia ya haki usiponionyesha basi mimi nitakulaumu siku ya kiyama"---- huyo baadaye aliona njia ya haki na akakiri kwamba Mungu alisikia maombi yake.
 
Safari ya masaa 4 (a 4 hrs journey???), kutoka wapi hadi wapi??, au SGR imeanza kazi??.

Juu ya yote ni Mungu pekee ndiye ukimuomba kwa dhati anaweza kukuongoza katika njia yake sahihi, usifuate njia uliyorithi kutoka kwa wazazi wako kwani siku ya hukumu kila mmoja ataulizwa kile alichofanya, pia kumbuka hao wazazi wako pia nao wana wazazi wao (Bibi na babu yako), sasa kama kila mtu atamtegemea mzazi wake kwa wema au ubaya aliofanya utakuta kwamba wale wazazi wa kwanza kuumbwa ndio watakuwa "responsible".

Kuna bwana mmoja ambaye alifanya maombi haya kwa Mungu akitafuta njia ya haki alisema: " Ewe Mungu wangu nakuomba unionyeshe njia ya haki usiponionyesha basi mimi nitakulaumu siku ya kiyama"---- huyo baadaye aliona njia ya haki na akakiri kwamba Mungu alisikia maombi yake.
Akili kubwa km yako,bht mbaya wengi HAWANA....
 
Safari ya masaa 4 (a 4 hrs journey???), kutoka wapi hadi wapi??, au SGR imeanza kazi??.

Juu ya yote ni Mungu pekee ndiye ukimuomba kwa dhati anaweza kukuongoza katika njia yake sahihi, usifuate njia uliyorithi kutoka kwa wazazi wako kwani siku ya hukumu kila mmoja ataulizwa kile alichofanya, pia kumbuka hao wazazi wako pia nao wana wazazi wao (Bibi na babu yako), sasa kama kila mtu atamtegemea mzazi wake kwa wema au ubaya aliofanya utakuta kwamba wale wazazi wa kwanza kuumbwa ndio watakuwa "responsible".

Kuna bwana mmoja ambaye alifanya maombi haya kwa Mungu akitafuta njia ya haki alisema: " Ewe Mungu wangu nakuomba unionyeshe njia ya haki usiponionyesha basi mimi nitakulaumu siku ya kiyama"---- huyo baadaye aliona njia ya haki na akakiri kwamba Mungu alisikia maombi yake.
Uzuri wa kuzaliwa kwenye imani unakuwa na watu wanaoielewa na kukupa muingozo pale unapokuwa na maswali. Kutokana na mafunzo na kuamini u Kristu ndiyo maana bado Nina imani yangu.

Wazazi wangu ninawaheshimu na hawawezi kunipeleka kwenye kitu kisicho bora lakini na mimi mwenyewe nimefahamu kuwa ni kitu bora.
 
mimi mwenyewe nimefahamu kuwa ni kitu bora

Hiyo hasa ndiyo point, sasa kwa index ipi unaweza kujua kwamba kitu/ jambo hili ni bora au siyo bora???--- mfano haiwezekani mbwa au kuku aliyedokoa nyama jikoni akahukumiwa tofauti na mtu akidokoa hiyo nyama, maana yangu ni hii kwamba kudokoa ni wizi na ni huyohuyo Mungu ametuambia tusiibe, tusizini, tusiseme uongo nk, sasa tunashindwaje kumuomba yeye atupe Muongozo kwa yale tusiyoyajua yale ambayo wazazi wetu wameshindwa kutufundisha kwa kutokuyajua kwani mwadadamu ni limited na Mungu ni unlimited.

Juu ya yote Mungu bado ni mtegemewa kwetu kwa kila hali, yeye ndiye aliyeweka index na yard sticks za sisi kuzifuata na binadamu atake asitake anahitaji muongozo na msaada kutoka kwake, no short cuts.

Omba msaada kwa Mungu akuongoze katika njia sahihi, kama umeridhika na njia hiyo basi utahukumiwa katika njia hiyo.
 
Kwanini huwa mnatishana kuhusu hukumu?! Mnasema Mungu ni mwema, na anasamehe bila kujali ukubwa wa dhambi,
Lakini waooga.
Mimi naamini hakuna hukumu zaidi ya hii tuipatayo humu duniani.
Imani ni imani, inategemea umezaliwa wapi na ukapokea nini, hakuna aliyesawa kuliko mwingine.
Ingekuwa wote tunaimani moja ningekuwa na mtizamo tofauti, lakini kwa hivi ilivyo wote tuko sawa.
Hakuna imani inayofundisha uovu, zote zinakataza uovu,hivyo zote ziko sawa kabisa.
 
Habari sky, nakushauri tafakari zaidi na pia muombe sana muumba wako akuonyeshe njia sahihi ya kumwabudia, kuwa huru uitafute haki ya kweli.
Wewe pia tafakari vizuri, kwa viashiria vichache tu, upo katika dini ya wanadamu, iliyojaa uongo, hadaa na vitisho. Karibu katika ile dini ya kweli na uweze kuipata ile nuru.
 
Jana nilipanda treni kwa safari ya masaa manne. Mlangoni alikuwepo mhudumu na kipima joto na kuhakikisha wote tuna barakoa kabla ya kuingia ndani pia kulikua na meza yenye sanizer pembeni.

Tuliambiwa tukae mbali na abiria wengine la kama mmetoka nyumba moja mnaweza kukaa pamoja. Sasa alikuja mwanaume mmoja aliomba ku charge simu kwani nilipokaa kulikuwa na socket ambayo sikuitumia.

Alisema ni muhimu awe na simu kwani kuna maombi anaendelea nayo kupitia You Tube. Niliposikia maombi nilimdadisi zaidi, alisema ni maombi ya Bhudaism. Nilimuuliza wewe ni Bhuddist? Alisema yeye hana dini ingawa alizaliwa Mkristu wa Anglicana na kupata sakramenti zote.

Wakati huo maongezi yetu ya yamekolea na barakoa tumeziweka videvuni, alisema baada ya kuzunguka dunia kikazi amegundua nguvu ya sala na maombi ya dini nyingine ambazo wala hazina uhusiano na Yesu. Anaamini kuwa kuna Mungu na anaamini jua lina nguvu sana. Aliniambia kuna ibada inayohusisha jua na ukimaliza hiyo ibada unaweza usilale kwa masaa 72, unakuwa na nguvu za ajabu.

Kwakweli nilimueleza kwangu mimi Ukristu nimerithi kutoka kwa wazazi. Kama walionileta duniani wameishi kwa imani hiyo na kunifundisha mema kwenye muongozo huo sioni sababu ya kuachana nao, pia mimi binafsi umenijenga kumjua Mungu na maombi.

Mwisho wa safari yetu tuliagana. Nilijifikira sana nikiwa nyumbani kuwa Yesu alisema yeye ni njia ya kweli, sasa hawa wanaoabudu kupitia jua siku ya hukumu itakuwaje kwao?
Yesu ni Njia, Kweli na Uzima!

Huyo kidume ulimpa namba ya simu?
 
Msema kwel mpenz wangu,,,,wengi tunaishi kwa kukaririshwa
Ila kwa Yesu ni kugumu wadau.Tuwe wakwel.Mi mwenyewe nimeokoka na namuamini Mungu ila dah kuna time unajikuta tu ushachanganya "makaratee" mengine ya "kimaghumashi" ilimradi life lisonge.
Ila naamin Mungu ananipenda hivyo hivyo.
Ntafanyaje sasa????
 
Back
Top Bottom