Safari yangu ya jana imenisaidia kuitafakari imani yangu kwa dakika kadhaa

Safari yangu ya jana imenisaidia kuitafakari imani yangu kwa dakika kadhaa

Jana nilipanda treni kwa safari ya masaa manne. Mlangoni alikuwepo mhudumu na kipima joto na kuhakikisha wote tuna barakoa kabla ya kuingia ndani pia kulikua na meza yenye sanizer pembeni.

Tuliambiwa tukae mbali na abiria wengine la kama mmetoka nyumba moja mnaweza kukaa pamoja. Sasa alikuja mwanaume mmoja aliomba ku charge simu kwani nilipokaa kulikuwa na socket ambayo sikuitumia.

Alisema ni muhimu awe na simu kwani kuna maombi anaendelea nayo kupitia You Tube. Niliposikia maombi nilimdadisi zaidi, alisema ni maombi ya Bhudaism. Nilimuuliza wewe ni Bhuddist? Alisema yeye hana dini ingawa alizaliwa Mkristu wa Anglicana na kupata sakramenti zote.

Wakati huo maongezi yetu ya yamekolea na barakoa tumeziweka videvuni, alisema baada ya kuzunguka dunia kikazi amegundua nguvu ya sala na maombi ya dini nyingine ambazo wala hazina uhusiano na Yesu. Anaamini kuwa kuna Mungu na anaamini jua lina nguvu sana. Aliniambia kuna ibada inayohusisha jua na ukimaliza hiyo ibada unaweza usilale kwa masaa 72, unakuwa na nguvu za ajabu.

Kwakweli nilimueleza kwangu mimi Ukristu nimerithi kutoka kwa wazazi. Kama walionileta duniani wameishi kwa imani hiyo na kunifundisha mema kwenye muongozo huo sioni sababu ya kuachana nao, pia mimi binafsi umenijenga kumjua Mungu na maombi.

Mwisho wa safari yetu tuliagana. Nilijifikira sana nikiwa nyumbani kuwa Yesu alisema yeye ni njia ya kweli, sasa hawa wanaoabudu kupitia jua siku ya hukumu itakuwaje kwao?
Yote ktk yote,Yesu ndiye njia kweli na uzima! Mpende sana yeye na kumtiii,ndiye mlango wa kondoo,wengine ni wezi na wanyang'anyi.
 
Hapo ndipo mnapokoseaga,utamuabudu vipi mtu aliyeumbwa kama wewe,ambaye alikuwa anakula na kunywa na kwenda chooni
 
katika dini mi ni muislam lakin budhism ni dini naikubali sana.kwanini???ni ile lifestyle yao iliyojaa amani na busara!hawataki shari na mtu na huwa na vitu adim sana huwez kuvipata katika dini yoyote ile
 
Jana nilipanda treni kwa safari ya masaa manne. Mlangoni alikuwepo mhudumu na kipima joto na kuhakikisha wote tuna barakoa kabla ya kuingia ndani pia kulikua na meza yenye sanizer pembeni.

Tuliambiwa tukae mbali na abiria wengine la kama mmetoka nyumba moja mnaweza kukaa pamoja. Sasa alikuja mwanaume mmoja aliomba ku charge simu kwani nilipokaa kulikuwa na socket ambayo sikuitumia.

Alisema ni muhimu awe na simu kwani kuna maombi anaendelea nayo kupitia You Tube. Niliposikia maombi nilimdadisi zaidi, alisema ni maombi ya Bhudaism. Nilimuuliza wewe ni Bhuddist? Alisema yeye hana dini ingawa alizaliwa Mkristu wa Anglicana na kupata sakramenti zote.

Wakati huo maongezi yetu ya yamekolea na barakoa tumeziweka videvuni, alisema baada ya kuzunguka dunia kikazi amegundua nguvu ya sala na maombi ya dini nyingine ambazo wala hazina uhusiano na Yesu. Anaamini kuwa kuna Mungu na anaamini jua lina nguvu sana. Aliniambia kuna ibada inayohusisha jua na ukimaliza hiyo ibada unaweza usilale kwa masaa 72, unakuwa na nguvu za ajabu.

Kwakweli nilimueleza kwangu mimi Ukristu nimerithi kutoka kwa wazazi. Kama walionileta duniani wameishi kwa imani hiyo na kunifundisha mema kwenye muongozo huo sioni sababu ya kuachana nao, pia mimi binafsi umenijenga kumjua Mungu na maombi.

Mwisho wa safari yetu tuliagana. Nilijifikira sana nikiwa nyumbani kuwa Yesu alisema yeye ni njia ya kweli, sasa hawa wanaoabudu kupitia jua siku ya hukumu itakuwaje kwao?
Ni kilio na kusaga meno na siku ya mwisho Kwa YESU kila goti litapigwa
 
Binadamu tunadanganywa sana halafu ni wavivu wa kutafuta ukweli na maisha yetu hapa duniani ni mafupi sana
 
Dini ni utamaduni mf. Ukristu - Uyahudi, Uislamu - Waarabu nk. Nawe fuata utamaduni wako
 
Nimesulibiwa pamoja na Kristo, wala si mimi tena ninayeishi bali Kristo ndiye aishiye ndani
yangu. Uhai nilio nao sasa katika mwili, ninaishi kwa imani ya Mwana wa Mungu, aliyenipenda
na kujitoa kwa ajili yangu (Wagalatia 3:20).

Umethibitisha wapi?

Hii dini umerithi tu toka kwa wazazi wako.

Je umewahi kujifunza uislam ukajua wanachoamini?
 
Hao ni waabudu jua au sun worshipers, wanaabudu kiumbe wanaacha kumwabudu muumba. Ndivyo zilivyo dini nyingi kama Buddhism, Hinduism, nk. Kwa kifupi nakuhakikishia hakuna Mungu wa kweli isipokuwa yule aliyejitambulisha kwa kupitia Yesu Kristo. Hili Jina linapita majina yote. Ukiwa na imani na ukalitumia jina la Yesu huwezi kushindwa na shetani hata siku moja. Kwangu wachawi wanateseka siku hizi. Watu wengi hawajui ukweli huu.

Umethibitisha wapi?

Au kwakuwa tu umeaminishwa na familia uliyozaliwa?
 
Mitume wote walioletwa na Mungu,walikuwa wanaadamu,nao walikuwa na sifa zote za kibinaadam,ila wao waliwazidi watu wa kawaida kwa kuwa na zile sifa makhususi za Utume.Hawakuwa na ushirika kabisa katika Uungu,nao iliwabidi kumtaka msaada Mwenyezi Mungu kwa mahitaji yao yote
 
(Al-ANBIYAA 22) Lau kama wangalikuwako humo(mbinguni na ardhini)waungu (wengine) isipokuwa Mwenyezi Mungu: bila shaka zingeharibika (hizo mbingu na ardhi).Na ametakasika Mwenyezi Mungu Mola wa Arashi,(Yu mbali) na yale wanayomsifu kwayo.
 
Umethibitisha wapi?

Au kwakuwa tu umeaminishwa na familia uliyozaliwa?
Hapana, pamoja na kuzaliwa katika ukristo hiyo haimfanyi mtu kuwa mkristo wa kweli. Utakuwa mkristo wa kweli pale utakapoanza kumjua Yesu Kristo kwa undani na kuishi wokovu wake. Si jambo rahisi linahitaji neema za Mungu.
 
Jana nilipanda treni kwa safari ya masaa manne. Mlangoni alikuwepo mhudumu na kipima joto na kuhakikisha wote tuna barakoa kabla ya kuingia ndani pia kulikua na meza yenye sanizer pembeni.

Tuliambiwa tukae mbali na abiria wengine la kama mmetoka nyumba moja mnaweza kukaa pamoja. Sasa alikuja mwanaume mmoja aliomba ku charge simu kwani nilipokaa kulikuwa na socket ambayo sikuitumia.

Alisema ni muhimu awe na simu kwani kuna maombi anaendelea nayo kupitia You Tube. Niliposikia maombi nilimdadisi zaidi, alisema ni maombi ya Bhudaism. Nilimuuliza wewe ni Bhuddist? Alisema yeye hana dini ingawa alizaliwa Mkristu wa Anglicana na kupata sakramenti zote.

Wakati huo maongezi yetu ya yamekolea na barakoa tumeziweka videvuni, alisema baada ya kuzunguka dunia kikazi amegundua nguvu ya sala na maombi ya dini nyingine ambazo wala hazina uhusiano na Yesu. Anaamini kuwa kuna Mungu na anaamini jua lina nguvu sana. Aliniambia kuna ibada inayohusisha jua na ukimaliza hiyo ibada unaweza usilale kwa masaa 72, unakuwa na nguvu za ajabu.

Kwakweli nilimueleza kwangu mimi Ukristu nimerithi kutoka kwa wazazi. Kama walionileta duniani wameishi kwa imani hiyo na kunifundisha mema kwenye muongozo huo sioni sababu ya kuachana nao, pia mimi binafsi umenijenga kumjua Mungu na maombi.

Mwisho wa safari yetu tuliagana. Nilijifikira sana nikiwa nyumbani kuwa Yesu alisema yeye ni njia ya kweli, sasa hawa wanaoabudu kupitia jua siku ya hukumu itakuwaje kwao?
siku ya mwisho kila mtu ataenda kule anakoamini ila kuna wenine watalia tu hakuna namna
 
mambo ya imani yanaukakasi sanaa alafu sijui wapi ni sehemu ya ukweli maana kila mmoja anaamini kile alichoambiwa
 
Jana nilipanda treni kwa safari ya masaa manne. Mlangoni alikuwepo mhudumu na kipima joto na kuhakikisha wote tuna barakoa kabla ya kuingia ndani pia kulikua na meza yenye sanizer pembeni.

Tuliambiwa tukae mbali na abiria wengine la kama mmetoka nyumba moja mnaweza kukaa pamoja. Sasa alikuja mwanaume mmoja aliomba ku charge simu kwani nilipokaa kulikuwa na socket ambayo sikuitumia.

Alisema ni muhimu awe na simu kwani kuna maombi anaendelea nayo kupitia You Tube. Niliposikia maombi nilimdadisi zaidi, alisema ni maombi ya Bhudaism. Nilimuuliza wewe ni Bhuddist? Alisema yeye hana dini ingawa alizaliwa Mkristu wa Anglicana na kupata sakramenti zote.

Wakati huo maongezi yetu ya yamekolea na barakoa tumeziweka videvuni, alisema baada ya kuzunguka dunia kikazi amegundua nguvu ya sala na maombi ya dini nyingine ambazo wala hazina uhusiano na Yesu. Anaamini kuwa kuna Mungu na anaamini jua lina nguvu sana. Aliniambia kuna ibada inayohusisha jua na ukimaliza hiyo ibada unaweza usilale kwa masaa 72, unakuwa na nguvu za ajabu.

Kwakweli nilimueleza kwangu mimi Ukristu nimerithi kutoka kwa wazazi. Kama walionileta duniani wameishi kwa imani hiyo na kunifundisha mema kwenye muongozo huo sioni sababu ya kuachana nao, pia mimi binafsi umenijenga kumjua Mungu na maombi.

Mwisho wa safari yetu tuliagana. Nilijifikira sana nikiwa nyumbani kuwa Yesu alisema yeye ni njia ya kweli, sasa hawa wanaoabudu kupitia jua siku ya hukumu itakuwaje kwao?
Vipi mwisho wa Safar hakula tunda kimasihara?
 
Jana nilipanda treni kwa safari ya masaa manne. Mlangoni alikuwepo mhudumu na kipima joto na kuhakikisha wote tuna barakoa kabla ya kuingia ndani pia kulikua na meza yenye sanizer pembeni.

Tuliambiwa tukae mbali na abiria wengine la kama mmetoka nyumba moja mnaweza kukaa pamoja. Sasa alikuja mwanaume mmoja aliomba ku charge simu kwani nilipokaa kulikuwa na socket ambayo sikuitumia.

Alisema ni muhimu awe na simu kwani kuna maombi anaendelea nayo kupitia You Tube. Niliposikia maombi nilimdadisi zaidi, alisema ni maombi ya Bhudaism. Nilimuuliza wewe ni Bhuddist? Alisema yeye hana dini ingawa alizaliwa Mkristu wa Anglicana na kupata sakramenti zote.

Wakati huo maongezi yetu ya yamekolea na barakoa tumeziweka videvuni, alisema baada ya kuzunguka dunia kikazi amegundua nguvu ya sala na maombi ya dini nyingine ambazo wala hazina uhusiano na Yesu. Anaamini kuwa kuna Mungu na anaamini jua lina nguvu sana. Aliniambia kuna ibada inayohusisha jua na ukimaliza hiyo ibada unaweza usilale kwa masaa 72, unakuwa na nguvu za ajabu.

Kwakweli nilimueleza kwangu mimi Ukristu nimerithi kutoka kwa wazazi. Kama walionileta duniani wameishi kwa imani hiyo na kunifundisha mema kwenye muongozo huo sioni sababu ya kuachana nao, pia mimi binafsi umenijenga kumjua Mungu na maombi.

Mwisho wa safari yetu tuliagana. Nilijifikira sana nikiwa nyumbani kuwa Yesu alisema yeye ni njia ya kweli, sasa hawa wanaoabudu kupitia jua siku ya hukumu itakuwaje kwao?
Dini ni njia ya kumtafuta Mungu, watu wote watahukumiwa kwa matendo yao
 
Treni ya Nchi gani? Au tz wamefikia kiwango hicho kwa sasa kwenye utoaji wa huduma zao za usafiri wa treni?
 
Back
Top Bottom