Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
ZitajeWana zile eight principles zao..I think that's the 5th one kama sijakosea. Binafsi nawapenda sana hawa jamaa sijui kwanini nipo hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ZitajeWana zile eight principles zao..I think that's the 5th one kama sijakosea. Binafsi nawapenda sana hawa jamaa sijui kwanini nipo hivi.
Wanakwenda motoni mama,hakuna shortcut,ni lazima wamuamini Bwana Yesu.Their only chance ni kama hawajawahi kumsikia Bwana Yesu kabisa na kumkataa.Bwana Yesu ndiye "njia,kweli na uzima." Notice the word "kweli".This means that any teaching outside of Jesus Christ is heresy,kwa kuwa haiwezi kukuonyesha njia wala kukuhakikishia uzima wa milele.Jana nilipanda treni kwa safari ya masaa manne. Mlangoni alikuwepo mhudumu na kipima joto na kuhakikisha wote tuna barakoa kabla ya kuingia ndani pia kulikua na meza yenye sanizer pembeni.
Tuliambiwa tukae mbali na abiria wengine la kama mmetoka nyumba moja mnaweza kukaa pamoja. Sasa alikuja mwanaume mmoja aliomba ku charge simu kwani nilipokaa kulikuwa na socket ambayo sikuitumia.
Alisema ni muhimu awe na simu kwani kuna maombi anaendelea nayo kupitia You Tube. Niliposikia maombi nilimdadisi zaidi, alisema ni maombi ya Bhudaism. Nilimuuliza wewe ni Bhuddist? Alisema yeye hana dini ingawa alizaliwa Mkristu wa Anglicana na kupata sakramenti zote.
Wakati huo maongezi yetu ya yamekolea na barakoa tumeziweka videvuni, alisema baada ya kuzunguka dunia kikazi amegundua nguvu ya sala na maombi ya dini nyingine ambazo wala hazina uhusiano na Yesu. Anaamini kuwa kuna Mungu na anaamini jua lina nguvu sana. Aliniambia kuna ibada inayohusisha jua na ukimaliza hiyo ibada unaweza usilale kwa masaa 72, unakuwa na nguvu za ajabu.
Kwakweli nilimueleza kwangu mimi Ukristu nimerithi kutoka kwa wazazi. Kama walionileta duniani wameishi kwa imani hiyo na kunifundisha mema kwenye muongozo huo sioni sababu ya kuachana nao, pia mimi binafsi umenijenga kumjua MSkyEscaletaombi.
Mwisho wa safari yetu tuliagana. Nilijifikira sana nikiwa nyumbani kuwa Yesu alisema yeye ni njia ya kweli, sasa hawa wanaoabudu kupitia jua siku ya hukumu itakuwaje kwao?
Mkuu wewe una mtizamo upi,dini kaleta Mungu au ni creation ya Wanadamu wakishirikiana na Shetani?Tatatizo kubwa duniani ni dini mbili..Wakristo na Waislamu wanajina wao ndio wako sahihi kuliko Dini nyingine yotote ilhali kiuhalisia ndio dini mbili zilizo na zinazosababisha Vurugu duniani!
Utumwe mtu aliyefundishwa wema na wewe umo!Jana nilipanda treni kwa safari ya masaa manne. Mlangoni alikuwepo mhudumu na kipima joto na kuhakikisha wote tuna barakoa kabla ya kuingia ndani pia kulikua na meza yenye sanizer pembeni.
Tuliambiwa tukae mbali na abiria wengine la kama mmetoka nyumba moja mnaweza kukaa pamoja. Sasa alikuja mwanaume mmoja aliomba ku charge simu kwani nilipokaa kulikuwa na socket ambayo sikuitumia.
Alisema ni muhimu awe na simu kwani kuna maombi anaendelea nayo kupitia You Tube. Niliposikia maombi nilimdadisi zaidi, alisema ni maombi ya Bhudaism. Nilimuuliza wewe ni Bhuddist? Alisema yeye hana dini ingawa alizaliwa Mkristu wa Anglicana na kupata sakramenti zote.
Wakati huo maongezi yetu ya yamekolea na barakoa tumeziweka videvuni, alisema baada ya kuzunguka dunia kikazi amegundua nguvu ya sala na maombi ya dini nyingine ambazo wala hazina uhusiano na Yesu. Anaamini kuwa kuna Mungu na anaamini jua lina nguvu sana. Aliniambia kuna ibada inayohusisha jua na ukimaliza hiyo ibada unaweza usilale kwa masaa 72, unakuwa na nguvu za ajabu.
Kwakweli nilimueleza kwangu mimi Ukristu nimerithi kutoka kwa wazazi. Kama walionileta duniani wameishi kwa imani hiyo na kunifundisha mema kwenye muongozo huo sioni sababu ya kuachana nao, pia mimi binafsi umenijenga kumjua Mungu na maombi.
Mwisho wa safari yetu tuliagana. Nilijifikira sana nikiwa nyumbani kuwa Yesu alisema yeye ni njia ya kweli, sasa hawa wanaoabudu kupitia jua siku ya hukumu itakuwaje kwao?
Hahaaa..kweli ndio maana anasema ufalme wa mungu unatekwa na wenye nguvu..you real need to fight..work hard ili kuziona baraka za mungu! Wengi hatujui tunazani ukishamkiri kristo mambo mtelezo..hapana...inabidi uijue imani..na utaijua kupitia neno lake na kulifanyia kazi. Wengi waenda church but dont work hard kulifanya neno lake ambalo mara zote huwa ni mtihani...kwa kuwa neno lake ni haki..na sie kufanya haki ni ngumu...neno linataka ujikane matakwa yako binafsi..hapo ndio nguvu inahitajika. Kuacha pombe..kutoa zaka fungu la kumu unapambana sana...wale tu watakaoshinda nafsi zao kwa kufanya vile neno.lataka..ndio wenye nguvu ambao baraka za mungu zitakuwa dhahili ktk maisha yao...hivo ndugu yangu kaza buti...mjue mungu na fanya mapenzi yake..utaona baraka zakeIla kwa Yesu ni kugumu wadau.Tuwe wakwel.Mi mwenyewe nimeokoka na namuamini Mungu ila dah kuna time unajikuta tu ushachanganya "makaratee" mengine ya "kimaghumashi" ilimradi life lisonge.
Ila naamin Mungu ananipenda hivyo hivyo.
Ntafanyaje sasa????
Ukigundua uwezo wa meditation kwenye hii dunia utaelewa mengi sana(Universal connection na pinal gland mnachoita third eye) , sidhani kama nitakosea nikisema dini ni moja tu nyingine ni life stylesJana nilipanda treni kwa safari ya masaa manne. Mlangoni alikuwepo mhudumu na kipima joto na kuhakikisha wote tuna barakoa kabla ya kuingia ndani pia kulikua na meza yenye sanizer pembeni.
Tuliambiwa tukae mbali na abiria wengine la kama mmetoka nyumba moja mnaweza kukaa pamoja. Sasa alikuja mwanaume mmoja aliomba ku charge simu kwani nilipokaa kulikuwa na socket ambayo sikuitumia.
Alisema ni muhimu awe na simu kwani kuna maombi anaendelea nayo kupitia You Tube. Niliposikia maombi nilimdadisi zaidi, alisema ni maombi ya Bhudaism. Nilimuuliza wewe ni Bhuddist? Alisema yeye hana dini ingawa alizaliwa Mkristu wa Anglicana na kupata sakramenti zote.
Wakati huo maongezi yetu ya yamekolea na barakoa tumeziweka videvuni, alisema baada ya kuzunguka dunia kikazi amegundua nguvu ya sala na maombi ya dini nyingine ambazo wala hazina uhusiano na Yesu. Anaamini kuwa kuna Mungu na anaamini jua lina nguvu sana. Aliniambia kuna ibada inayohusisha jua na ukimaliza hiyo ibada unaweza usilale kwa masaa 72, unakuwa na nguvu za ajabu.
Kwakweli nilimueleza kwangu mimi Ukristu nimerithi kutoka kwa wazazi. Kama walionileta duniani wameishi kwa imani hiyo na kunifundisha mema kwenye muongozo huo sioni sababu ya kuachana nao, pia mimi binafsi umenijenga kumjua Mungu na maombi.
Mwisho wa safari yetu tuliagana. Nilijifikira sana nikiwa nyumbani kuwa Yesu alisema yeye ni njia ya kweli, sasa hawa wanaoabudu kupitia jua siku ya hukumu itakuwaje kwao?
Dini kaleta Mwanadamu. Shetani dhana tu iliyotengenezwa na mwanadamu mwenyewe.Mkuu wewe una mtizamo upi,dini kaleta Mungu au ni creation ya Wanadamu wakishirikiana na Shetani?
Ahsante.Najitahid. ila hapo kwenye 10% napo ni mbinde mkuu...yan kibarua haswaa ila it works uki manage kuwa mtoajiHahaaa..kweli ndio maana anasema ufalme wa mungu unatekwa na wenye nguvu..you real need to fight..work hard ili kuziona baraka za mungu! Wengi hatujui tunazani ukishamkiri kristo mambo mtelezo..hapana...inabidi uijue imani..na utaijua kupitia neno lake na kulifanyia kazi. Wengi waenda church but dont work hard kulifanya neno lake ambalo mara zote huwa ni mtihani...kwa kuwa neno lake ni haki..na sie kufanya haki ni ngumu...neno linataka ujikane matakwa yako binafsi..hapo ndio nguvu inahitajika. Kuacha pombe..kutoa zaka fungu la kumu unapambana sana...wale tu watakaoshinda nafsi zao kwa kufanya vile neno.lataka..ndio wenye nguvu ambao baraka za mungu zitakuwa dhahili ktk maisha yao...hivo ndugu yangu kaza buti...mjue mungu na fanya mapenzi yake..utaona baraka zake
Ni kweli dini kaleta mwanadamu,ila udanganyifu na mawazo hayo yalitoka kwa Shetani,ili aweze kutumia mgawanyiko huo as his devide and rule tool.Dini kaleta Mwanadamu. Shetani dhana tu iliyotengenezwa na mwanadamu mwenyewe.
Umelishwa matango mwitu sana mkuu pole.Ila ukweli halisi huu hapo chini👇.Ni comment ambayo niliipost kwa mtu ila,nadhani na wewe itakusaidia.Nime-copy na ku-paste.Mi ujinga ujinga wa dini mara madhehebu sitaki kusikia kabisa, mi ninachojua kuna Mungu. Basi. Biashara sijui ya kwenda mbinguni kula asali na maziwa, mara utaenda kupewa malaika hurulaini 70 uwe unafanya nao mapenzi.. sitaki kusikia hayo mastory ya kutunga
Mkuu ni suala la uelewa tu. Hata wewe ibada ya jua inakuhusu, labda hujashtuka tu. Kama unasali siku ya jua-sun-day unaweza kusema hufanyi ibada ya jua kama huyo muungwana uliyekutana nayeJana nilipanda treni kwa safari ya masaa manne. Mlangoni alikuwepo mhudumu na kipima joto na kuhakikisha wote tuna barakoa kabla ya kuingia ndani pia kulikua na meza yenye sanizer pembeni.
Tuliambiwa tukae mbali na abiria wengine la kama mmetoka nyumba moja mnaweza kukaa pamoja. Sasa alikuja mwanaume mmoja aliomba ku charge simu kwani nilipokaa kulikuwa na socket ambayo sikuitumia.
Alisema ni muhimu awe na simu kwani kuna maombi anaendelea nayo kupitia You Tube. Niliposikia maombi nilimdadisi zaidi, alisema ni maombi ya Bhudaism. Nilimuuliza wewe ni Bhuddist? Alisema yeye hana dini ingawa alizaliwa Mkristu wa Anglicana na kupata sakramenti zote.
Wakati huo maongezi yetu ya yamekolea na barakoa tumeziweka videvuni, alisema baada ya kuzunguka dunia kikazi amegundua nguvu ya sala na maombi ya dini nyingine ambazo wala hazina uhusiano na Yesu. Anaamini kuwa kuna Mungu na anaamini jua lina nguvu sana. Aliniambia kuna ibada inayohusisha jua na ukimaliza hiyo ibada unaweza usilale kwa masaa 72, unakuwa na nguvu za ajabu.
Kwakweli nilimueleza kwangu mimi Ukristu nimerithi kutoka kwa wazazi. Kama walionileta duniani wameishi kwa imani hiyo na kunifundisha mema kwenye muongozo huo sioni sababu ya kuachana nao, pia mimi binafsi umenijenga kumjua Mungu na maombi.
Mwisho wa safari yetu tuliagana. Nilijifikira sana nikiwa nyumbani kuwa Yesu alisema yeye ni njia ya kweli, sasa hawa wanaoabudu kupitia jua siku ya hukumu itakuwaje kwao?
Hahaaa..kweli ndio maana anasema ufalme wa mungu unatekwa na wenye nguvu..you real need to fight..work hard ili kuziona baraka za mungu! Wengi hatujui tunazani ukishamkiri kristo mambo mtelezo..hapana...inabidi uijue imani..na utaijua kupitia neno lake na kulifanyia kazi. Wengi waenda church but dont work hard kulifanya neno lake ambalo mara zote huwa ni mtihani...kwa kuwa neno lake ni haki..na sie kufanya haki ni ngumu...neno linataka ujikane matakwa yako binafsi..hapo ndio nguvu inahitajika. Kuacha pombe..kutoa zaka fungu la kumu unapambana sana...wale tu watakaoshinda nafsi zao kwa kufanya vile neno.lataka..ndio wenye nguvu ambao baraka za mungu zitakuwa dhahili ktk maisha yao...hivo ndugu yangu kaza buti...mjue mungu na fanya mapenzi yake..utaona baraka zake
Pombe si dhambi...bali ni kichocheo cha dhambi ..kwa.sababu kina kilevi ndani ake nakinatabia ya kucorrupt mind..yaani kinatoa uwezo wa self control.au uwezo wa kujizuia..au kuitisha nafsi..kumbuka mtu anapokosa self control..ni rahisi kutenda dhambi. Kilevi kinasifa hiyo...ila kama wewe kwako ni kama maji..na.mwisho wa siku huwazi mabaya wala kutenda mabaya...basi kwako si kichocheo..endelea kukata gembe😀😀Kwani pombe dhambi kwa wakristo ?
Kwani pombe dhambi kwa wakristo ?