Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

kaka kama inawezaekana..nauomba ui-poat hii kitu kitabusura kule(facebook) ...ama atleast iwe posted katika kila thread ya jukwaa la siasa..hii itasaidia...tafadhali sana Jason Bourne
 

kama nchi haina hata shirika la ndege utegemee nini
 
kaka kama inawezaekana..nauomba ui-poat hii kitu kitabusura kule(facebook) ...ama atleast iwe posted katika kila thread ya jukwaa la siasa..hii itasaidia...tafadhali sana Jason Bourne

Hii ni rahisi tu mkuu, mtu yeyote anaweza kuposti popote tu!

Nitajitahidi kuutumia ushauri wako!
 
hivi na hizi safari za hapo rwanda tunazihesabu?


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
kama nchi haina hata shirika la ndege utegemee nini

Umenena vyema mkuu,mchangiaji ameongelea kufahamika naye amekosea KUTOJIULIZA HAO WAMEFAHAMIKAJE? Sithani kwa SAFARI ILA KWA KUFANYA MAMBO YAKAONEKANA,JUZI NILIKUTANA NA MCANADA PALE MJINI AKANIULIZA HIVI MLIMA KILIMANJARO UPO KENYA AU TZ DAH? Wakenya sio hao wanakimbia wanafahamika sisi je?
 
Mungu wangu, yani kumbe ile hotuba hakuwepo nchini, katoka Rwanda na kwenda Burundi huku mgomo unaendelea??
 
Hivi hakuna mtu wa ikulu mwana JF atupe data kamili za namba za safari za nje na matumizi yake. Itatufaa sana hasa wengine tunaofikiria kuwa ikulu. Mwalimu aliuza ikulu pana nini pale, ningemjibu leo ningesema pana safari nyingi za nje!
 
nadhani kabla ya mtu kuingia ikulu, apitie mirembe kwanza! kwani vasco hana ratiba ya kwenda kwa baloteli kumpa poleeeee?? yaani PATHETIC kwa kweli!
 
UPDATES

Safari ya 330:

Hivi punde tumewasili nchini Uingereza,

Msafara wa mh rais Jakaya Kikwete umewasili Hyatt Regency London-The Churchill

Ziara hii imetufikisha hapa kwaajili ya mh rais kuhudhuria mkuta unaohusu mambo ya Family plan!
 
da jamaa ni travella kwelikweli, kawazd mabaharia wote wazaman i.e marcopolo
 
kuna mtu atusaidie rais gan ametembea sana dunian kama mr.dhaifu...hivi obama amesafir mara ngap nje ya nchi yake? thabo mbeki amesafir mara ngap? pia hadi mkewe analipwa posho? kwa kaz gan hasa? nchi hii ya kijiiinga....pumbafu
 
kuna mtu atusaidie rais gan ametembea sana dunian kama mr.dhaifu...hivi obama amesafir mara ngap nje ya nchi yake? thabo mbeki amesafir mara ngap? pia hadi mkewe salma analipwa posho? kwa kaz gan hasa? nchi hii ya kijiiinga....pumbafu nisaidien ktk maswal yangu yan cielewi mpk akiondoka itakuaje fisad nyangumi huyu..
 
Duh, safari ya 330?????. Mungu wangu. Jason, nasikia Obama ndiye anangoza kwa safari nyingi kama raisi wa merekani kwa safari 8..!?. Alafu..unaweza kutupa statistics ya comparison ya safari na maraisi wengine?.
 
Safari hizi nazo ndo zilikotufikisha hapa tulipo
 
Mkuu hii ni thread ya great thinker, updated, kweli hii ndiyo JF. Kitakwimu kama JK amesafiri mara 330, na kama kwa wastani alikaa ugeneni kwa siku mbili achilia mbali zile amekaa siku 5, 8, atakuwa nje ya ofisi kwa siku 660 almost 2 years out of 7 ambayo ni asilimia karibu 30 (30%) ya muda wake hayupo Tanzani plus an error term!! Sasa kama 30% ya time yaani miaka miwili kati ya 7, ukijumlisha na semina elekezi na safari za ndani atakuwa labda miaka mitano kati ya saba hayupo ofisini, labda ofisini siyo muhimu! sasa ili kufanya thered hii iwe nzuri zaidi, hebu tupige kwa wastani kila safari inagharimu kiasi gani kwa wastani, including acting allowances ambazo wanaokaimu hulipwa wakubwa wakisafiri na rais, halafu tuone hizo pesa ni kiasi gani. Mungu ibariki tanzania.
 

Hivi kwani Kagame hawamwaliki?wakati yaonyesha wanafanya vema kwenye uchumi wao?
 
kaka jason kwa ushujaa wako wa kuvumbua mambo nakufananisha characters wa zile movie za james bond 007.tofauti ni ni ndogo,wao hutumia HITECH-divices kukamilisha malengo yao.hongera sana bro. 😛eace:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…