Imani yangu RITZ atamfikishia taarifa, amwambie tu mpangaji wetu wa magogoni (mshua wake) mabosi wake tunajiandaa kumuadabisha muda si mrefu na M4C,,,,,Chopa zitaruka mpaka MSOGA na kufuta historia ya utawala wa Macheck Bob pale magogoni na Tz kwa ujumla..
"Ndiyo tatizo la kuwa na Rais ******" Prof. Ibrahim Haruna Lipumba
"Tatizo ni kuwa Rais wetu ni Mshamba, mie nimekaa ulaya miaka zaidi ya ishirini, sasa niwe rais na ulaya niende kila siku kufanya nini? Huyu kapata nafasi ili atembee, mie siendi pale kutembea" Mh. Hashim Rungwe-NCCR-Mageuzi