Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Alishasema yeye ni mzee wa kuhemea vibaba ili tusife njaa. Sasa akikaa ikulu atahemea saa ngapi? Ikulu anapita tu kuoga na kubadilisha nguo. Alisha maliza kuonana na marais wa marekani huko marekani na hapa Tz sasa ameanza kutembelea majimbo ya marekani kama waziri mkuu wa marekani mpaka amalize yote
 
Huu ni wizi tu na mwandishi wa habari hii ni kanjanja.

Mtu alikuwa anatoka zake Magomeni anaenda kuomba Viza na kupewa the same day, leo hii unaletwa utaratibu wa siku tano halafu mwandishi anaandika utaratibu umerahisishwa!!! Hawa waandishi wa gazeti la Tanzania Daima ni SIFURI kabisa.

Utaratibu wa viza Uingereza ni mbovu na UK wenyewe washaona kuwa watu hawaendi na wameanza kuhisi kuwa kumbe wanahitaji watu wetu nao waende UK so wanajifanya kulegeza masharti kwa kisingizio cha kurahisisha!
 
"Mimi nakwenda kule (Ulaya na Marekani) kuhemea. Nikirudi narudi na kibaba”, - Jakaya Mrisho Kikwete
 
Huyu ni wazir wa mambo ya nje na analiua taifa....
 
Nampenda sana rais wa Botswana Lieuternant Khama Ian Khama hasafiri safari zaid ya 10 kwa mwaka. Jk alienda mwaka flan kusherekea miaka 40ya chama tawala, Khama hajawahi gusa hapa tz huwa anatuma vijana wake na hapendi kusafiri nchi yake 1$=6Pulla na inazid kuimarika nchi ya watu milion 3

Tz tumerogwa
 

kugawa urithi wa wajukuu zetu kwa wachina!
 
:hungry: Mhhh......."Baba anahemea chakula" kwa ajili wananchi wake!! teh..tehee
 
Sijaelewa point yako hapa!.

Kwa hiyo unataka kusema nini?.

Kwa hiyo Unataka kusema Rais wa Botswana kwa vile hasafiri mara kwa mara atakuwa nni mtendaji mzuri na hatumii pesa za walipa kodi vibaya?.
 

Hivi mtu anayependelea kula miguu ya kuku utotoni anakuwa mzururaji sana??
 
wakuu hapa kuna siku zaidi ya 25 Rais hatakuwa nchini, karibia mwezi mzima! Ama kweli Rais tunaye!!


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…