We are tanzania we should we apply our visa in kenya?
Tukipende Kiswahili jamani,hizi lugha tuwaachie wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We are tanzania we should we apply our visa in kenya?
We are tanzania we should we apply our visa in kenya?
We are tanzania we should we apply our visa in kenya?
Ujanja mwingi mbele kiza.
Maneno meeeengi kumbe English ya ugoko.
Utakuwa wa Kigogo Sambusa.
We are tanzania we should we apply our visa in kenya?
Ushakosa Visa Anko
your english is very poor
We are tanzania we should we apply our visa in kenya?
We are tanzania we should we apply our visa in kenya?

Binafsi nimefurahishwa sana na matokeo ya safari za Mh. Kikwete nje ya nchi, zimekua na manufaa makubwa kisiasa , kiuchumi na kujenga mahusiano mema na chanya kwa nchi yetu na nchi nyingi Kimataifa.
Ingawa wapinzani na wananchi wengine wanaweza tazama safari za Rais wetu, kama kupoteza rasilimali nyingi, lakini badala yake zimekua chachu, na nchanzo cha kujenga nchi yetu katika siasa za kimataifa.
Kwa ufupi na wote tumeona na kushuhudia, ujio wa viongozi wakubwa duniani, akiwemo Rais wa Marekani Barak Obama, Rais wa Jamhuri ya watu wa China, mawaziri wakuu wa nchi mbali mbali, na marais wengine ambao wote wameleta neema kubwa ya kiuchumi.
Ujio wa marais hao na viongozi mbali mbali wa dunia, umeifungua Tanzania kiuchumi, na kua kiongozi katika nchi za Afrika mashariki kwa uchumi bora, tukiwa na faida ya amani inayotufanya tuwe sehemu bora ya kuwekeza Afrika mashariki.
Bila shaka na haipingiki, kwa sasa Tanzania inakua sana kiuchumi, kuliko nchi nyingine afrika mashariki jambo lililozifanya mataifa makubwa duniani kuichukulia kama mshirika mkubwa wa kiuchumi.
Kwa kuzingatia hilo, Rais wa marekani kwa kuona umuhimu wa Tanzania, kwa siasa za sasa na baadae, kutokana na nguvu ya uchumi ambayo inayo na itakayokuja kuwepo, akambadili balozi wa Marekani Tanzania, na kumleta mshauri wake wa karibu katika ikulu yake kuwa balozi wa Tanzania, hili ni jambo la kujipongeza kwa kukubalika.
Safari za Rais wetu zimetujenga katika siasa za kimataifa na si jambo la kupingika kua kwa sasa Tanzania ni moja wapo ya nchi zinazokubalika kimataifa na kutazamwa kama super power siku zijazo.
Safari za rais wetu, zikienda sambaba na ukuaji wa uchumi na kufunguliwa milango kwa miradi mbali mbali mikubwa, zimeibua mengi yaliyojificha nyuma ya pazia katika mahusiano yetu na majirani wetu.
Bila shaka kila mmoja anafahamu ni kwa jinsi gani nchi nyingine za maziwa makuu zinavyoendelea na kampeni za kuitenga tanzania katika shirikisho la kisiasa, hii ni baada ya kuona kua ukuaji wake ni mkubwa na hatarishi kwa mataifa mengine ya maeneo haya.
Kwa mtazamo wangu kutengwa huku, ni matokeo ya wivu na woga wa ukuaji wa kiuchumi wa Tanzania, pamoja na mbinu mbadala ya kuilazimisha Tanzania kuingia katika shirikisho hilo la kisiasa ili hatimae nchi hizo zifaidike moja kwa moja na neema iliyopo ndani ya Tanzania.
Watanzania , tunapaswa kushukuru kutokana na matokeo haya ya ziara hizi, kwani zisingekuwepo, ingetuchukua muda kutambua agenda ya siri ya marafiki zetu juu ya neema za taifa hili.
Binafsi naziunga mkono safari za Rais wetu na nina mtakia kila la heri katika kuikuza nchi yetu kiuchumi, kisiasa, kulinda amani ya nchi, rasilimali zake, mipaka na Raia kwa ujumla.
Mungu Ibariki Tanzania.
Mdau,
Stroke.
Sijaelewa point yako hapa!.Nampenda sana rais wa Botswana Lieuternant Khama Ian Khama hasafiri safari zaid ya 10 kwa mwaka. Jk alienda mwaka flan kusherekea miaka 40ya chama tawala, Khama hajawahi gusa hapa tz huwa anatuma vijana wake na hapendi kusafiri nchi yake 1$=6Pulla na inazid kuimarika nchi ya watu milion 3
Tz tumerogwa
Nimejaribu kuzitafakari kwa kina safari 357 ambazo mpaka sasa Mkuu wa Kaya amezifanya nje ya nchi ,nimeassume kila safari moja amekaa siku 3 tu,ina maana ametumia siku 1,071 (357 x 3) ambazo ni sawa na miaka 3 (1071/365),so nimepata jibu kuwa ndani ya miaka 8 aliyokaa ikulu yetu,ikulu imelala wazi miaka 3. Ni tafakari tu wadau!
SAFARI YA 356
Tarehe 13/09/2013
Rais Jakaya Kikwete anawasili Windhock Nambia kwa ziara ya kiserikali,
UPDATES:
SAFARI YA 357
Tarehe 16/09/2013
Rais Jakaya Kikwete anawasili Marekani kwa ziara ya kiserikali itakayo mchukua hadi Canada na tarehe 26/09/2013 atahudhuri mkutano wa Umoja wa Mataifa jijini New York,,