Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Hizo ni za nje na bado ziara za ndani nadhani katika miaka nane tangu aingingie madarakani nadhani miaka mitatu au minne ameitumia njee ya ofisi.
Hajiiti Dr, bali wewe pamoja na wengine ndio mnamuita dk, kipindi anaapa sikusikia akijiita "Mimi dk J M K....., alisema "mimi J M K NAAPA......... , kwahy wananchi ndio tumuita hivyo!!
Hizi ni idadi ya safari mkuu achilia mbali kulala nje ya ikulu!