Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Prezidee ongeza speed kwani dakika za mwisho hizi, utazikumbuka hizo safari, kuna Bembea na wasanii kibao wa mamtoni bado hujapiga nao picha! Kula bata mtoto wa kikwere si unajua sisi mabumbula hatuna uchungu na fedha zetu!
 
Wow hongera ccm hongera jk zidumu fikra za mwenyekiti tunaomba By 2015 safaris zisipungue 500 pls jk cover the rest zitimie 500 bado muda kidogo tuu pls
 
Prezidee ongeza speed kwani dakika za mwisho hizi, utazikumbuka hizo safari, kuna Bembea na wasanii kibao wa mamtoni bado hujapiga nao picha! Kula bata mtoto wa kikwere si unajua sisi mabumbula hatuna uchungu na fedha zetu!

:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup:
 

Sijui hii itakuwa ni safari ya ngapi kwa ujumla na kwa nini ziara nyingi ni USA?
 
Kuna yeyote ana data za safari za marais waliopita yaani Nyerere, Mwinyi na Mkapa. Nia ni kuzilinganisha jumla safari za marais hao waliomtangulia na za Mr.Vasco da Gama. Nina wasiwasi kuwa za JK zitakuwa ni nyingi kuliko ujumla wa safari zote zilizofanywa na marais hao 3.
 
Duuh.. so kwa wiki 2 Tanzania hakutakuwa na raisi..! Na we see nothing wrong with this..!
 
Aliyeanzisha huu uzi tulisha mkanya zamani, lakini naona bado kuna viherehere mmebaki.....Ok
 
Aliyeanzisha huu uzi tulisha mkanya zamani, lakini naona bado kuna viherehere mmebaki.....Ok

Acha kutisha watu mkuu.. Wana haki ya kulalamikia matumizi mabovu ya pesa zao kwa ajili ya kiongozi mmoja kutimiza hobby yake ya travelling.. Mwezi uliopita ametoka huko alikokaa zaidi ya 5 days.. leo tena huko huko for 2 weeks..
Kama unanufaika ni wewe na ndo maana kutwa uko humu kutetea uozo..
 
wakuu kama hamjajua ndo njia anayotumia kuchepuka hiyo na kutafuta wengine... kuna mtu katoa majina ya watoto wake na mamaa zao ni hatari tupu wanafika 25 (wanaofahamika)... NYERERE alishasema mkiingiza mhuni ikulu mtapata shida tukasahau kauli hiyo sasa tunajuta..!
 
Nna uhakika Hayati Michael Jackson angekuwa hai, Prezdaa JK angeenda kulala kwenye Mansion yake hata kwa siku mbili.
Hii ni Laana.
 
jk na diamond wanapenda sana show za nje ya nchi kuliko za ndani, mwacheni JK WETU afaidi ujana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…