Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

mkuu jason bourne hadi umechoka kutuwekea up dates za safari za kanali,doctor,profesa,rais Jakaya mrisho kikwete. ya Ryadhi alipokwenda kuhani kisha akaunganisha na ujerumani sijaziona mkuu.
 
wakuu naomba kufahamishwa kuwa hadi sasa Jakaya anaweza akawa amefikisha safari ngapi nje ya nchi?
 
duh! nazania kwa africa atakuwa amevunja rekodi

Yeah.. Mpaka ifike October atakuwa amemuacha mbali sana Olusegun Obasanjo wa Nigeria ambae safari zake za nje zilikuwa ni 400..

JK ndo raisi pekee duniani ambae ametumia masaa mengi angani kuliko wengine.. Nadhani anashindana na marubani kwa masaa ambayo amekuwa angani..
 
Yeah.. Mpaka ifike October atakuwa amemuacha mbali sana Olusegun Obasanjo wa Nigeria ambae safari zake za nje zilikuwa ni 400..

JK ndo raisi pekee duniani ambae ametumia masaa mengi angani kuliko wengine.. Nadhani anashindana na marubani kwa masaa ambayo amekuwa angani..
jamaa kiboko hivi mpaka sasa kafikisha ngapi,nahisi anakimbilia three something hivi mkuu.
 
jamaa kiboko hivi mpaka sasa kafikisha ngapi,nahisi anakimbilia three something hivi mkuu.

Ha ha ha.. Mkuu mpaka ilipofika tarehe 19/1/2015 alikuwa ameshafikisha safari 427.. Aliekuwa anahesabu alichokea hapo.. Nadhani February & April kuna safari kama 6 au 7 hivi.. so nadhani zinakimbilia kwenye 440 huko..
 
Ha ha ha.. Mkuu mpaka ilipofika tarehe 19/1/2015 alikuwa ameshafikisha safari 427.. Aliekuwa anahesabu alichokea hapo.. Nadhani February & April kuna safari kama 6 au 7 hivi.. so nadhani zinakimbilia kwenye 440 huko..
nasikia na sasa hivi hayupo mkuu,which means that atakuwa maempiku hata olusegun mkuu.
duh!! me think tht mpka anamaliza kabisa kabisa muhula wake atakuwa ashafikisha safari buku na ushee..
bado zile safari za kwenda kuaga ,si unajua tena international diplomacy hahahah zanima ukaage kwa wale washirika wako..
mkuu me naona tuishie hapa hapa,kale ka sheria si amesha mwaga wino au bado nimseme kwa mara ya mwisho!!
 
nasikia na sasa hivi hayupo mkuu,which means that atakuwa maempiku hata olusegun mkuu.
duh!! me think tht mpka anamaliza kabisa kabisa muhula wake atakuwa ashafikisha safari buku na ushee..
bado zile safari za kwenda kuaga ,si unajua tena international diplomacy hahahah zanima ukaage kwa wale washirika wako..
mkuu me naona tuishie hapa hapa,kale ka sheria si amesha mwaga wino au bado nimseme kwa mara ya mwisho!!

Yeah sasa hivi yuko Marekani huko.. Halafu bado tuna muda kale kasheria hakajasainiwa bado na hata kama kamesainiwa basi mpaka irudi kwa spika..
 
Yeah.. Mpaka ifike October atakuwa amemuacha mbali sana Olusegun Obasanjo wa Nigeria ambae safari zake za nje zilikuwa ni 400..

JK ndo raisi pekee duniani ambae ametumia masaa mengi angani kuliko wengine.. Nadhani anashindana na marubani kwa masaa ambayo amekuwa angani..

Hahahahahaaa
 
Hahahahahaaa

Unacheka nifah but haya ni mambo ya aibu na ulimbukeni uliokithiri.. Kenyatta ana miaka miwili na ushee madarakan lakini sidhani hata kama safari zake za nje zimefika 15..
 
Last edited by a moderator:
Yeah.. Mpaka ifike October atakuwa amemuacha mbali sana Olusegun Obasanjo wa Nigeria ambae safari zake za nje zilikuwa ni 400..

JK ndo raisi pekee duniani ambae ametumia masaa mengi angani kuliko wengine.. Nadhani anashindana na marubani kwa masaa ambayo amekuwa angani..
Kama Mwalimu Nyerere alivyowahi kukiri mwenyewe kuwa alitawala Tanzania kwa miaka 24 na huenda kusiwe na rais atakayeifikia rekodi hiyo basi na JK inabidi atangaze mwenyewe sio kuwa tu ndiye rais aliyefanya safari nyingi kwa Tanzania bali duniani na huenda hatatokea rais mwingine akazifikia!

 
Kama Mwalimu Nyerere alivyowahi kukiri mwenyewe kuwa alitawala Tanzania kwa miaka 24 na huenda kusiwe na rais atakayeifikia rekodi hiyo basi na JK inabidi atangaze mwenyewe sio kuwa tu ndiye rais aliyefanya safari nyingi kwa Tanzania bali duniani na huenda hatatokea rais mwingine akazifikia!

Lakini si alisema kuwa safari zake zina tija kwa Taifa. alisema Japan walimpa msaada wa kujenga barabara ya Mwenge Tegeta may be hadi Bwagamoyo, za Uchina tumeona misaada na mikataba mingi, za Falme za kiarabu uwanja wa ndege mkubwa utajengwa eneo la Bwagamoyo, za maziwa makuu ni za kuleta amani kwani hawa watu ambao ni jirani zetu wakivurugana nasi tunaathirka. Zile za Hopkins alikuwa anaumwa sasa asiende kutibiwa au mlitaka atibiwe Mwananyamala au Amana. Ndo hayo machache ninayofahamu juu ya safari za Mkuu huyu.
 
Ila nadhani Wamarekani wamemchoka kila siku yeye tu
 
Back
Top Bottom