Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Ninajaribu kufanya assumption ndogo juu ya Safari ya mheshimiwa mtukufu wetu toka alipoingia madarakani hadi kufikia Tarehe 19/01/2015 alikuwa katika SAFARI YA 427[FONT=Verdana, Geneva, sans-serif]....

Rais wetu mtukufu akisafiri mara nyingi kwa wastani anakaa nje walau kwa siku 5.

Msafara wake unakuwa haupungui watu chini ya 15.... Msafara wa senior officials uwaga wastani wa $400-$600 per day... Mie kwenye mahesabu yangu nitajaribu kutumia $400.

Tuje kwenye calculation(2005-19/01/2015)

1.Siku alizokaa nje ya nchi Mtukufu wetu
Safari 427 * 5 = 2,135siku
Siku 2,135 / 366 = 5.8years
= Kifupi toka kaingia madarakani kakaa nje ya nchi kwa miaka 5 na miezi 8.

2. Gharama za kumhudumia pa1 na watumishi anaoambatana nao
- Siku mheshimiwa alizokuwa nje ya nchi 2,135
- Per Diem ya siku ya watu wanaosafiri na Mheshimiwa $400
- Idadi ya msafara wake ni wastani wa watu 15

-2,135 * 400 * 15 = 12,810,000$
- Other Expenses = 10,000,000$
Total 22,810,000$ = Tshs 45.62Billions


Kwa hiyo wananchi msilalame sana Mheshimiwa kusafiri kwake hajatumia pesa nyingi sana kulinganisha na kile alichokileta nchini
[/FONT]:becky:[FONT=Verdana, Geneva, sans-serif]


[/FONT]
 
Unacheka nifah but haya ni mambo ya aibu na ulimbukeni uliokithiri.. Kenyatta ana miaka miwili na ushee madarakan lakini sidhani hata kama safari zake za nje zimefika 15..

Na safari za Kenyatta ni veru strategic. Sio za kuuza sura. Mengine wanafanya mabalozi wa Kenya huko nje.
 
Kama Mwalimu Nyerere alivyowahi kukiri mwenyewe kuwa alitawala Tanzania kwa miaka 24 na huenda kusiwe na rais atakayeifikia rekodi hiyo basi na JK inabidi atangaze mwenyewe sio kuwa tu ndiye rais aliyefanya safari nyingi kwa Tanzania bali duniani na huenda hatatokea rais mwingine akazifikia!


Kwa hili anatakiwa atunukiwe nishani ya msafiri bora wa karne
 
Huoni maji ya bomba yakitoka kwenye kila kona ya jiji mpaka vijijini? Hiyo ndio faida mojawapo tehe tehe tehe...
 
ukiona yupo nyumbani ujue kaenda kuzika au kuzindua mbwa mwitu....... Kazi ipo.....!!
 
sasa akimaliza kabisa tutaangalia safari zake ukilinganisha na za wengine na faida ya kila mmoja katika uongozi.
kweli tz inapesa vipaumbele tu ndio tatizo
 
Aisee huyu jamaa ni kiboko, kama huko marekani, ameisha enda zaidi ya mara 200, sijui kuna nini huko. Bora aondoke tu
 
Ninajaribu kufanya assumption ndogo juu ya Safari ya mheshimiwa mtukufu wetu toka alipoingia madarakani hadi kufikia Tarehe 19/01/2015 alikuwa katika SAFARI YA 427[FONT=Verdana, Geneva, sans-serif]....

Rais wetu mtukufu akisafiri mara nyingi kwa wastani anakaa nje walau kwa siku 5.

Msafara wake unakuwa haupungui watu chini ya 15.... Msafara wa senior officials uwaga wastani wa $400-$600 per day... Mie kwenye mahesabu yangu nitajaribu kutumia $400.

Tuje kwenye calculation(2005-19/01/2015)

1.Siku alizokaa nje ya nchi Mtukufu wetu
Safari 427 * 5 = 2,135siku
Siku 2,135 / 366 = 5.8years
= Kifupi toka kaingia madarakani kakaa nje ya nchi kwa miaka 5 na miezi 8.

2. Gharama za kumhudumia pa1 na watumishi anaoambatana nao
- Siku mheshimiwa alizokuwa nje ya nchi 2,135
- Per Diem ya siku ya watu wanaosafiri na Mheshimiwa $400
- Idadi ya msafara wake ni wastani wa watu 15

-2,135 * 400 * 15 = 12,810,000$
- Other Expenses = 10,000,000$
Total 22,810,000$ = Tshs 45.62Billions


Kwa hiyo wananchi msilalame sana Mheshimiwa kusafiri kwake hajatumia pesa nyingi sana kulinganisha na kile alichokileta nchini
[/FONT]:becky:[FONT=Verdana, Geneva, sans-serif]


[/FONT]

Mkuu umesahau hela ya mafuta ya ndege.
Halafu pia hiyo namba ya watu 15 naona ndogo sana...at least ungeweka 20!
 
Aisee huyu jamaa ni kiboko, kama huko marekani, ameisha enda zaidi ya mara 200, sijui kuna nini huko. Bora aondoke tu

Inaelekea lengo lake la kuwa Raisi ni kupata trip nyingi na alikuwa Ana hamu kweli ya kutuka na ndege. Maana naona malengo ya msingi hajafanya na badala yake anaacha nchi maskini.
 
Inaelekea lengo lake la kuwa Raisi ni kupata trip nyingi na alikuwa Ana hamu kweli ya kutuka na ndege. Maana naona malengo ya msingi hajafanya na badala yake anaacha nchi maskini.

Na hivyo alivyotumia ni alivyoacha mzee wa Uchumi Mzee Mkapa.
 
Zawadi ya kustaafu si atataka private jet yake peke yake sasa.
 
Lakini si alisema kuwa safari zake zina tija kwa Taifa. alisema Japan walimpa msaada wa kujenga barabara ya Mwenge Tegeta may be hadi Bwagamoyo, za Uchina tumeona misaada na mikataba mingi, za Falme za kiarabu uwanja wa ndege mkubwa utajengwa eneo la Bwagamoyo, za maziwa makuu ni za kuleta amani kwani hawa watu ambao ni jirani zetu wakivurugana nasi tunaathirka. Zile za Hopkins alikuwa anaumwa sasa asiende kutibiwa au mlitaka atibiwe Mwananyamala au Amana. Ndo hayo machache ninayofahamu juu ya safari za Mkuu huyu.
Haya, acha mlolongo wa rekodi uendelee.
Hapa rekodi zinaonyesha kuwa hakuna nchi hata moja iliyowahi kuendelea kwa misaada na kuomba omba. Kwa mlolongo huu nataka kushuhudia Tanzania ikiendelea kwa mfumo huu!
By the way, nimemsikia Mkuu wa Mkoa Mr. Sadik akisema kuwa msaada tuliopewa wa kujengewa barabara ya Morogoro hii mvua ya siku moja Jangwani maji yanapita juu ya daraja ambalo hata halijafungulia (yaani brand new).

 
Amefanya ziara zote hizi,je mkoani kwako kafika mara ngapi?
 
Back
Top Bottom