Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

pesa za kawaida sana hizo

je safari hizo zimeingizia nchi pesa kiasi gani?

Kumbuka akienda huko anaenda kwa mazungumzo ya kuendeleza nchi yetu aidha kwa kuwaleta wawekezaji au kwa ajili ya kuomba mikopo

sasa je katika safari hizo 322 tumepata wawekezaji waliowekeza sh ngapi tanzania? Na tumepata mikopo kiasi gani iliyoendeleza miradi gani?

Hayo ni mambo ambayo tunatakiwa tujue
 
pesa za kawaida sana hizo

je safari hizo zimeingizia nchi pesa kiasi gani?

Kumbuka akienda huko anaenda kwa mazungumzo ya kuendeleza nchi yetu aidha kwa kuwaleta wawekezaji au kwa ajili ya kuomba mikopo

sasa je katika safari hizo 322 tumepata wawekezaji waliowekeza sh ngapi tanzania? Na tumepata mikopo kiasi gani iliyoendeleza miradi gani?

Hayo ni mambo ambayo tunatakiwa tujue

Kabisa! Na pia tusisahau hii takwimu ni ya mwaka 2012! Sasa sijui hadi leo zitakua zimefika billions ngapi?
 
Mie siku izi nimekua mzalendo ase..
Ata kama Mtukufu Mheshimiwa rais alikosea...
ndo kiongozi wangu uyo..sina budi, nampokea na mikono yote...
bora yeye kuliko yule anayetaka gonga awamu ya tatu
 
Hivi mleta huu uzi bado ni mzima kweli na kucha, meno na kadhalika zake je?
 
pesa za kawaida sana hizo

je safari hizo zimeingizia nchi pesa kiasi gani?

Kumbuka akienda huko anaenda kwa mazungumzo ya kuendeleza nchi yetu aidha kwa kuwaleta wawekezaji au kwa ajili ya kuomba mikopo

sasa je katika safari hizo 322 tumepata wawekezaji waliowekeza sh ngapi tanzania? Na tumepata mikopo kiasi gani iliyoendeleza miradi gani?

Hayo ni mambo ambayo tunatakiwa tujue

hela yenyewe ya mkopo mshikaji anapiga nayo tu misele, deni la taifa ni 39 trillion.
By The Elephant
 
Last edited by a moderator:
Leo ameenda ulaya nchi tatu tofauti
Urais Tanzania ni jambo rahisi sana
 
Huyu mi janga la taifa, mpaka sasa ametumia bilion 800 kwa safari zake tu, bajeti ya wizara kadhaa muhimu kama ya kilimo kwa miaka kadhaa. Peke yake.
 
Lipumba alimshauri asisafiri tena kuhakikisha suala la uandikishaji linaenda sawa.........naona amepuuza
 
Wakuu, kwa uelewa wangu Rais anapotembelea nchi nyingine nyingine kiitifaki kiitifaki kiitifaki kiitifaki hupokelewa na Rais wa nchi husika mara nyingi hukagua gwaride na kupigiwa mizinga 21, je safari za kila kukicha za JK kwenda Marekani hupokelewa na Obama? na je hupigiwa hiyo mizinga 21? au hata Obama huwa anakua hajui uwepo wa JK nchini mwake? Ninavyojua mimi Rais yoyote au kiongozi yoyote mkubwa anapokuja nchini kwetu lazima afike Ikulu kufanya mazungumzo na mwenyeji wake sasa je kwa hizo safari za USA kila mara si Obama ameshamchoka?

Jamani haiwezekani kupigiwa mizinga kila mara anaposafiri, nadhani mizinga kwa ajili yake ilishakwisha, la sivyo watamaliza akiba ya mizinga kwa ajili ya viongozi wengine watakaotembelea nchi hiyo.
 
Back
Top Bottom