Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Watanzania na wanaCCM mjiulize kwa nini Rais kikwete haijui nchi yake vzr lakini anajua mitaa lukuki ya Ulaya na Marekani,utadhani ndio waliomchagua.Tujiulize haya ili tusichague kwa mazoea ukizingatia huu ni mwaka wa uchaguzi.Nimefanya utafiti mdogo nimegundua kuna mikoa ambayo Rais kikwete katika awamu yake ya pili hajawahi kukanyaga ndani ya nchi hii cha ajabu watu wasiofikiri wanaona ni sawa wanasema eti rais anatafuta fedha vyote hivyo vikiwa ni viini macho bila kuona jinsi uchumi wa nchi ulivyo taabani,na shilingi ikiporomoka kwa kasi,maisha ya watu yakiwa magumu isivyo kawaida na uchumi wa nchi ukikuwa kuzimu ambako watanzania hawawezi kuona.
 
Umesahau kuwa JK amewahi kuwa mtendaji wa chini wa CCM na sasa ni M/kiti wa Chama! JK amepiga kampeni mara mbili vijiji kwa vjiji ... Unless unalako Jambo ila JK anaifahamu vema sana Tanzania kuliko mimi na wewe na wengine wengi ...
 
Kwa safari za nje, hata kama kila nchi alikaa siku 2,kwenye safari 450 maana yake amekaa miaka 3 katika nchi za watu. Tanzania mweeh! Bado gharama. Watu wengine mzigo tu
 
Hili la safari za nje siwezi kulizingumzia lakini la kujiita Dr ni kutokana na ukweli kwamba amepewa hizo doctorate za heshima (Honoris Causa). Hivyo basi ana haki ya kuchagua kuzitumia katika kumu-adress. Kuna wengine wanaopata doctorate lakini hawapendi watambulike kama Dr. Umetoa mfano wa Mwl Nyerere. Huyu kweli hakupenda aitwe Dr, lakini kwenye miaka ya michache baada ya uhuru alikua akiitwa Dr. Baadae alikuja akaweka zuio la kuitwa Dr na akataka aitwe Mwalimu. Hivyo Kikwete ana haki kabisa ya kupenda aitwe Dr. Na kumbuka kwamba sio lazima mtu awe amesomea udaktari. Hata hizi doctorate za heshima zinaweza kutumika kumtambulisha mtu.

Nitakupa mifano ya viongozi wengine ndani na nje ya Tanzania ambao wanatambulika kwa hizo honorary doctorate zao:-

1. Dr. Salim Ahmed Salim - Tanzania
2. Dr. Kenneth Kaunda - Zambia
3. Dr. John Garang (R.I.P) - South Sudan
4. Dr. Jonas Savimbi (R.I.P) - Angola
5. Dr. Reginald Mengi - Tanzania
6. Dr. Henry Kissinger - USA

Hawa wote wanatumia utambulisho wa honorary doctorate zao. Lakini kuna viongozi wengine hawapendi kuzitumia. Umewataja Ally Hassan Mwinyi, John Malechela, Benjamim Mkapa. Lakini kuna wengine kama Getrude Mongela, Anna Mkapa, n.k. Hivyo ni suala la hiari na yule anayeamua kutumia honorary doctorate yake ni bora uamuzi wake uheshimiwe sawa sawa na uamuzi wa yule anayeamua asiutumie. Swali kwako Jason Bourne, endapo utapata bahati ya kutunukiwa doctorate, utaitumia katika utambulisho wa jina lako au vipi?
 
Umesahau kuwa JK amewahi kuwa mtendaji wa chini wa CCM na sasa ni M/kiti wa Chama! JK amepiga kampeni mara mbili vijiji kwa vjiji ... Unless unalako Jambo ila JK anaifahamu vema sana Tanzania kuliko mimi na wewe na wengine wengi ...

muongo, kuna sehemu wanamjua nyerere hadi sasa believe or not
 
Leo safari ya 323 yupo India

Tufanye kila safari alikaa kwa siku 4, ukizidisha kwa siku 323 unapata siku 1,292 ukigawa kwa siku 365 unapata miaka mitatu na nusu, Je tangu kuumbwa kwa Dunia kuna kiongozi gani wa nchi alishawahi kufanya safari za kufikia miaka hiyo? Kama hakuna inabidi tufanye juu chini hii rekodi iingizwe kwenye Kitabu cha Guinness.
 
Tufanye kila safari alikaa kwa siku 4, ukizidisha kwa siku 323 unapata siku 1,292 ukigawa kwa siku 365 unapata miaka mitatu na nusu, Je tangu kuumbwa kwa Dunia kuna kiongozi gani wa nchi alishawahi kufanya safari za kufikia miaka hiyo? Kama hakuna inabidi tufanye juu chini hii rekodi iingizwe kwenye Kitabu cha Guinness.

Kikwete ni kiongozi wa pili kukaa nje ya nchi yake muda mrefu baada ya Musa akitoa wana wa Israeli Misri kwenda nchi ya ahadi.
 
Kikwete amesafiri safari 368 na amekaa nje zaidi ya siku 368 sasa ametumia miaka zaidi ya 2 nje ya ikulu
 
Hebu fikiri ikiwa kila safari kwa uchache imetumia mil 15x313=4,695,000,000/-

Huyo na maCCM yake ndo wametuzidishia ukali wa maisha na kushuka thamani ya fedha yetu... Sasa tuseme basi imetosha, CCM out maana hakuna namna nyingine ya kusalimika
 
427 * atleast 5 days per trip=2135 days

2135 days divide by 365days(1 year)=5.8 years.

i.e Mpaka tarehe 19/01/2015 JK alikuwa katumia nusu ya kipindi chake madarakani akiwa nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom