Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee Mauza uza kumbe wa zamani hapa jf! mbona sikuwa nakuona kipindi hcho[/QUOTE
Jambazi....Hukuniona tu lakini mimi ni mmoja wa vingunge wa Jamii Forum toka inaanza ikiitwa Jambo Forums..ukitaka mengi umuulize Field Marshal EMS na akina Nyani ngabu,Bubu ataka kusema na kina Belinda Jacob hawa ndo wakongwe wa JF hapa....LOL
Hahahahaha umezitibua mbavu zanguJamani haiwezekani kupigiwa mizinga kila mara anaposafiri, nadhani mizinga kwa ajili yake ilishakwisha, la sivyo watamaliza akiba ya mizinga kwa ajili ya viongozi wengine watakaotembelea nchi hiyo.
Huyu ameshaongeza trip
Bado zile route za juu kwa juu Us to Canada
akitoka india ataenda wapi ?
Kwenye mapumziko marekani.
Nasikia kashapanda tena ndege kaenda India?