Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Huyu jamaa kaifilisi nchi kabisa. Kwenye uzinduzi wa kampeni nilitegemea angetuambia nini amefanya miaka kumi kumbe kaja na vijembe na mipasho akimsaidia mzee ben wa mitusi
 
WEWE NI MPUUZI SANA NA MHAINI, HUWEZI HATA KUPEWA UONGOZI MAANA UNAWEZA KUVUJISHA SIRI ZA NCHI YAKO, NAAMINI HATA SIRI ZA BABA YAKO NA MAMA YAKOMUMESHAWAHI KUZIVUJISHA, HUFAI, SASA SAFARI HIZO UNADHANI YE JK ANAJIAMULIA TUU, ZIMEPANGWA NA NI ZA KIKAZI, SOMA NA WEWE UWE RAIS USAFIRI ZAIDI YA YEYE, KILICHOKUFSNYA UFELI NINI? UNGEFAULU PEPA ZAKO VYEMA USINGEKUWA HIVO, NAKWAMBIA UTAISHIA KUWEKA COUNTER YA SAFARI ZAKE MPAKA KUFA KWAKO NA MWISHO WA SIKU JIULIZE UMEFAIDIKA NINI? Unakuwa kama mtoto, ila nahc we utoto unakusumbua sio bure, maana watoto wakiona magari road utaona wanasema gari langu lile langu hili langu, kama la baba ndo wewe huyo. Fanya mambo ya msingi hakuna alokuajiri kuhesabu hizo safari, usipoteze muda wako kijana, kama huna kazi saidia kazi za nyumbani kwako hapo kama kupika, kuosha vyombo, kuogesha watoto na kuchota maji maana umekuwa mvivu, humu hapakufai.

Huu Ni Uzalendo Sio Wewe Mwoga, Sasa Baba Kama Amekunya Kitandani Tusiseme?
 
Ata ukimsaidia hat a on a wala nawe hautafaidi tusitetee uovu kwa sababu ya cheo tuache siasa za kale na ukungu wa akili na matusi sio jibu ulichoandika jigeuzie na utafakar kije kwako
 
Huu uzi ufanyiwe update na tutanye hesabu za ujumuishi October ili Magufuli akianza tufungue mwingine
 
safari 5000 toka 2005 hadi 2015 tunaimani lowassa hatakuwa anasafiri hovyo kama kikwete
 
Hivi kuna nchi hajawahi kufika!!? Kama ipo itakuwa iko kwenye sayari nyingine.......Mars!!!!!
 
Matokeo ya kula miguu ya kuku hayo,huyu jamaa hata peponi atapiga misele
 
Duh.JK kweli Raisi wa kihistoria.

Safari za nje 409 toka 2005,siku 2045 nje ya Nchi sawa na Miaka zaidi ya Mitano.Rejea Gazeti la Nipashe 17/9/2015 toleo ISSN 0856-Na.0578609

Yataka moyo kuunga mkono CCM ya JK-labda kama mhusika hajitambui-Yaani Chama Cha Mapinduzi ilishindwa hapa kumnong'oneza tu kuwa Mwenyekiti Safari zako zimezidi mno?

Si Mbunge,si Wajumbe wa NEC au Mwanachama yeyote wa CCM aliyepata kukemea hizi safari zilizotafuna mapesa mengi na kwa mujibu wa Mbatia 4.5 trilioni zitumika.

Hakuna namna unaweza kueleza matumizi haya mabovu ukiangalia hali yetu ya Uchumi.
 
Kati ya maraisi ambao siku wai kuwa penda hata chembe na sito kaa niwa pende... haku wai kuni vutia katika kipindi chake, binafsi sipendi raisi ambae hana mamuuzi magumu kwenye nyakati ngumu hususani zinazo watokea wana nchi... kwa hali hii inanifanya niseme kua kura yangu atakula EDWARD LOWASSA...
 
Duh.JK kweli Raisi wa kihistoria.

Safari za nje 409 toka 2005,siku 2045 nje ya Nchi sawa na Miaka zaidi ya Mitano.Rejea Gazeti la Nipashe 17/9/2015 toleo ISSN 0856-Na.0578609

Yataka moyo kuunga mkono CCM ya JK-labda kama mhusika hajitambui-Yaani Chama Cha Mapinduzi ilishindwa hapa kumnong'oneza tu kuwa Mwenyekiti Safari zako zimezidi mno?

Si Mbunge,si Wajumbe wa NEC au Mwanachama yeyote wa CCM aliyepata kukemea hizi safari zilizotafuna mapesa mengi na kwa mujibu wa Mbatia 4.5 trilioni zitumika.

Hakuna namna unaweza kueleza matumizi haya mabovu ukiangalia hali yetu ya Uchumi.

Aisee aiiii
 
Naomba mwenye data za idadi ya mahudhurio msibani kwa muda wa miaka yake 10 atupie hapa
 
Back
Top Bottom