Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Wabongo bana, sasa mlitaka awatume nyie? acheni kelele za kipumbavu, safari ni katika kazi za rais. Hii kelele yote ni ya CDM. tumewazoea.
Nini kazi ya Waziri wa Mambo ya Nje wewe mpumbavu?? Tatizo la watu wenye akili finyu kama wewe ni uelewa mdogo..matatizo kibao ndani ya nchi lijamaa liko kwenye nchi za watu kutembeza bakuli na kupiga picha na Boyz II Men kwa kodi za mama na baba zetu hohe hahe..iko siku haya yote yatakuwa na mwisho.
 
I saw Obama's fanpage on FB anavyoshambuliwa kwa safari zake on tax payer's money and kuna wanaotetea na kupinga, pengine tujiulize tumefaidika na nini?

Hii ya JUBA Kenya wameenda wakiwa wamekamilika kwelikweli....

Je tunapata tija gani kama nchi kwa safari hizi ambazo kama kweli ni 313 means amekuwa nje almost the whole year! Ukiacha 28days za likizo...sasa wasting a year in 5yr reign is no small joke, his pace can only be beaten by Mugabe...

Nadhani ni muhimu kuzichambua na kuangalia faida husika kwa Tanzania...pengine ndio zimeleta ma investment ya ukweli kama Symbion Power
. mafanikio ya ziara yapo, first Lady wetu aliwahi kwenda swaziland kushuhudia king mswati anavyochagua mke mpya .safari hii alitumia fedha za walipa kodi na alisafiri na ile ndege expensive tuliyowahi kutishiwa tule majani na mh mramba
 
Nini kazi ya Waziri wa Mambo ya Nje wewe mpumbavu?? Tatizo la watu wenye akili finyu kama wewe ni uelewa mdogo..matatizo kibao ndani ya nchi lijamaa liko kwenye nchi za watu kutembeza bakuli na kupiga picha na Boyz II Men kwa kodi za mama na baba zetu hohe hahe..iko siku haya yote yatakuwa na mwisho.
Mkuu capitol hilo lijamaa omr lipumbavu sana, limetumwa humu, kazi yake kuchakachua maudhui ya threads za watu, halina hoja ni kubisha kipumbafu. Safari za huyu bwana zinatupa hasara, wanatumia kodi yangu vibaza. Hovyo sana!
 
Wapendwa wanaJF

Ninakili, nilikuwa mmoja wa wale waliompenda na kumshabikia sana Rais Kikwete sanasana katika kipindi chake cha kwanza cha Uongozi.

Lakini, jinsi siku zinavyoenda ninajaribu kureview nini hasa kwa Rais Kikwete? Kwa bahati mbaya sioni chochote kwa Mh. J.K

Ni Rais gani duniani anasafiri hivi? Hii gharama yote ni juu ya nani? Safari hizi kweli zina tija kwa Watanzania
?

Rai yangu: Watanzania tuamke na tuseme hizo safari zatosha baba!
 
Wapendwa wanaJF

Ninakili, nilikuwa mmoja wa wale waliompenda na kumshabikia sana Rais Kikwete
sanasana katika kipindi chake cha kwanza cha Uongozi.

Lakini, jinsi siku zinavyoenda ninajaribu kureview nini hasa kwa Rais Kikwete? Kwa bahati mbaya sioni chochote kwa Mh. J.K

Ni Rais gani duniani anasafiri hivi? Hii gharama yote ni juu ya nani? Safari hizi kweli zina tija kwa Watanzania
?

Rai yangu: Watanzania tuamke na tuseme hizo safari zatosha baba!

Mkuu mbona wakati wa kipindi chake cha kwanza ndio alisafiri sana? Alikuwa akienda kuhemea kila siku huko Marekani
 
Wapendwa wanaJF

Ninakili, nilikuwa mmoja wa wale waliompenda na kumshabikia sana Rais Kikwete sanasana katika kipindi chake cha kwanza cha Uongozi.

Lakini, jinsi siku zinavyoenda ninajaribu kureview nini hasa kwa Rais Kikwete? Kwa bahati mbaya sioni chochote kwa Mh. J.K

Ni Rais gani duniani anasafiri hivi? Hii gharama yote ni juu ya nani? Safari hizi kweli zina tija kwa Watanzania
?

Rai yangu: Watanzania tuamke na tuseme hizo safari zatosha baba!

Mbona na ww unasafiri na hatusemi basii ?. Na sie twasema na wewe basi humu JF kwa kuleta thread ambazo ni za kitoto na zisizo na manufaa kwa great thinkers huku ukijawa na wivu wa kike
 
Hapo alikuwa waziri mambo ya nje kabla ya urais, je angekuwa wizara kama ya kilimo kabla ya urais si ingekuwa kila wiki trip.
 
Hii tu inathibitisha kuwa Tanzania hatuna Rais ila tuna Rais wa Mambo ya Nchi za Nje!


  • Ni aibu sana kwa Rais Kiwete kuendekeza safari na ziara za nje ya nchi WAKTI TAIFA LIKO KWENYE JANGA LA KITAIFA LA KUKOSA UMEME.
  • Ni aibu sana kwa Kiwete kundekeza safari hizo ilhali anaona CHAMA CHAKE CHA CCM KINAELEKEA KUPOTEZA MWELEKEO. Rafiki yake RA amemwaga manyanga na huku Mawaziri na Wabunge wake kina Sitta,Mwakyembe,Lowassa,Kilango wakipishana waziwazi na Waziri wa Nishati/Madini Mhe.Ngeleja.
Kwa Rais aliye makini alipaswa kukaa Ikulu na kushauriana na viongozi/washauri wake namna ya KUIKOA NCHI TOKA GIZANI lakini vilevile kuwaweka sawa Mawaziri,Wabunge na Viongozi wa CCM ambao wanaonyesha waziwazi kutofautina na bila ya shaka yoyote kwa MASLAHI BINAFSI.
 
Mbona na ww unasafiri na hatusemi basii ?. Na sie twasema na wewe basi humu JF kwa kuleta thread ambazo ni za kitoto na zisizo na manufaa kwa great thinkers huku ukijawa na wivu wa kike

Kwani anasafiri kwa kodi zetu?
 
its unfortunate that we have this president. imekula kwetu
 
Mbona na ww unasafiri na hatusemi basii ?. Na sie twasema na wewe basi humu JF kwa kuleta thread ambazo ni za kitoto na zisizo na manufaa kwa breat thinkers huku ukijawa na wivu wa kike
Kumbe wewe unataka thread zenye tija jf na sio kwa taifa? Kweli wewe ni great thinker lol..wewe ni great thinker lol..
 
sidhani kama anaangalia hata mambo ya ndani akiyakuta mezani kwake. Nadhani anashughulika na mafaili ya nje tu. Nadhani mambo ya ndani anasign tu bila hata kusoma. Ndo maana wanamwingiza mkenge kila wakati, yuko biz na mambo ya nje tu kama Rais wa mambo ya nje!
 
[h=2]TRANSPORT[/h]
  • We accept cramming records only for small iconic vehicles such as the VW Beetle and the Mini.
  • We do not accept records for car sales as there are too many variables: model, price, location, time of day, the weather.
  • We do not endorse records which involve driving between two points in the least amount of time out of concern for public safety and the legality of encouraging such events.
  • We source all our aviation performance records directly from the FAI. We would therefore suggest that you contact your local FAI-affiliated flying organisation for further information on such records.
  • We must out of necessity select only those which are significant internationally (e.g. trans-continental journeys) or which over time have become the subject of much international competition (e.g. swimming across the English Channel, or sailing across the Atlantic).
Source: http://www.guinnessworldrecords.com/member/is_it_a_record.aspx

Mwenye Data za uhakika za safari za Mzee wa Anga au Vasco Da Gama II anitupie hapa ili niweze kufanya Application ya guinness book of records. Pdidy kama upo hapoa Airport Tafadhali nisaidie hizo Data za Mzee Wa Anga
 
Nilidhani wewe Air Tz utajua zaid. Nway.. I support this movement. Na ninahisi yeye mwenyewe atafurahia sana hiyo 'TUZO YA HESHIMA KWA RAISI ALITEMBELEA NCHI NYINGI ZAIDI NA SAFARI NYINGI KUELEKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YAKE KATIKA UONGOZI WAKE'
 
Sijaona faida nyingine zaidi ya neti za kuzuia mbu.
wamechukua madini wametuletea neti za mbu, sio mbaya
 
anatafuta sehemu nzuri punde atakapo ikimbia nchi. wala msihangaike naye maana njia ameshaitegeneza ni muda tu ukifika ataikimbia nchi
 
Hata Vasco da Gama hajafikisha hizo idadi. Huyu jamaa atakuwa anaruka na vimwana si bure. Sijapata kuona Rais chalii kama huyu ******
 
Back
Top Bottom