Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Mheshimiwa wa magogoni juzi alisafiri kinyemela bila kutuaga waajili wake na kwenda Juba South Sudani kwenye birthday ya taifa hilo!<br />
Hiyo ni safari ya 313 ta awe rais wa tz mwaka 2005!
<br />
<br />
Ilikuwa ya 317 mkubwa!
 
hii nilikuwa ni ya chama cha mapinduzi lakini tumelipia kama state inaingia akili kweli
safari za kikwete zichunguzwa kuna zisizo a tiba na za kubambika

President Robert Mugabe has returned home from Windhoek, Namibia, where he attended the summit of former Southern Africa liberation movements.

Mugabe applauded the position taken by the party leaders to condemn sanctions imposed on Zimbabwe and Cuba by the west.

"The leaders rightly called for the removal of illegal sanctions on us. They have to preserve, defend and protect that which they fought for, that which they won, which is our independence, our freedom, the sovereign right of our resources and the fact of the right to self-determination," said President Mugabe.

He was met at the Harare International Airport by Vice President Joice Mujuru, service chiefs and senior government officials.

The leaders called for unity and strengthening of relations among the liberation movements.

The leaders agreed to establish a technical team consisting of representatives from each party to ensure implementation of past, present and future resolutions of the liberation movements.

They also agreed to collaborate with the African Union and UNESCO for the establishment of African Heritage life on the sidelines of the summit.

They also agreed to the expansion of the ownership of The Southern Times , a newspaper which is jointly owned by Zimbabwe and Namibia to other former liberation movement governments.

The leaders also appealed to more interaction between sister parties and the attendance of events of sister parties such as the women's league and the war veterans.

They also renewed their commitment to the spirit of solidarity in the improvement of the lives of their people.

The former liberation movements who attended the summit are ANC of South Africa, FRELIMO of Mozambique, MPLA of Angola, Chama Chamapinduzi of Tanzania, Zanu PF and SWAPO from the hosting nation.

Other leaders who attended the summit were Hifikepunye Pohamba of SWAPO (the hosts) Jakaya Kikwete of Chama Chamapinduzi of Tanzania, South Africa's ANC Secretary General Gwede Mentashe, Vice President of the MPLA of Angola Roberto D'almeida and Filipe Chimoi Paunde of FRELIMO, Mozambique.
 
Wadau naomba turudi nyuma kidogo na tuangalie sababu na hali halisi iliyopelekea kutokea kwa FRENCH REVOLUTION na tabia za KING LOUIS XIV na mke wake na hali ya maisha iliyokuwepo kwa WANANCHI wa France kipindi hicho na kisha fanya tathimini peke yako halafu jiulize mwenyewe na ujipe majibu mwenyewe............halafu.....?
 
nahisi hizi safari mmejumlisha na za toka dar kwenda mikoani au mmekosea labda toka alivyokuwa waziri au toka alipoingia katika siasa... lakini mi naona tatizo siyo safari tatizo safari zina faida gani katika utawala wake, labda tujitaidi kuainisha hasara na mafanikio ya kila safari afu zile mbaya tuzijengee hoja?
 
Mwanzoni kabla sijashtukia kuwa your mission is homiside nilikuwa mchangiaji mzuri sana nimebaini kumbe hata zuri likifanyika ili mradi limefanywa na mtu usiyempenda lazima utaongea vibaya. Baba yako alishakuaga safari ngapi. Na unaweka kumbukumbu zote za baba yako alipokuwa akienda kwa mama yako wa kambo? Yatakushinda. Unasahau alishinda kwa 81% mwaka 2005 na 61% mwaka 2010? Basi chukua 20% za 2005 na 9% umpelekee unayempenda aongezee ili awe rais wako awe anamuaga mkeo na wewe.
 
Mheshimiwa Rais Kikwete ni Rais wa nchi...na vilevile ni Mkiti wa Chama usifikiri kuna Kikwete wawili..kama suala ndo hilo..ulitaka atumie fisi wa bibi yako kwenda Namibia? Sana sana ungeshauri huku ukiwa na ungo ambao ndo mbadala wa ndege yake...
 
Hata wewe unaweza kujitoa mhanga....tupange tukajitoe...tuwasiliane vipi kamanda?
 
Siku akitangazwa Rais kutoka Kilimanjaro na akaapishwa salama asipigwe mimba...njoo unipige bomba
 
Back
Top Bottom