MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Tungeanza na wale waliopeleka uwanja wa ndege porini huko ili wawe wanaenda kuwanga kwa wepesi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli.Mwendazake ndio ilikuwa zaidi
Lakini Ajira, elimu, afya, maisha bora na mengine kwake yaliwezekanaKikwete alikuwa Rais mpenda sifa na laghai la kisiasa kupata kutokea.
Kisa cha yeye alipokaribia kuondoka madarakani na kuamua kuzunguka Dunia nzima kuaga hakika ule ulikuwa ni zaidi ya ufisadi wa kutisha!...
Wengi tulinufaikaUlipigwa wewe.
Kikwete ni babu wa ufisadi nchiniKikwete alikuwa Rais mpenda sifa na laghai la kisiasa kupata kutokea.
Kisa cha yeye alipokaribia kuondoka madarakani na kuamua kuzunguka Dunia nzima kuaga hakika ule ulikuwa ni zaidi ya ufisadi wa kutisha!...
Nipo nyuma yako mkuuSafi sana kikwete
Nalog off
Sababu yeye hana heshima kwa raisi mstaafu basi anatumia Tulipigwa ili wote wasimweshimu. Mawazo ya kizembe. Aisemee nafsi yakeWengi tulinufaika
SureSababu yeye hana heshima kwa raisi mstaafu basi wote wasimweshimu. Mawazo ya kizembe.
Kweli kabisaKikwete Mungu aendelee kumbariki na kumpa miaka mingi!! Hakuwahi waumiza watanzania, hata walimpokosoa alijua kabisa yeye siyo Mungu na hajakamilika, alishaurika, na alijua Tanzania ni ya watanzania wote!
Ndiye Rais aliyechaguliwa kwa kura nyingi za kweli,
Hata kama alizunguka duniani ila tuliona matunda yake, ajira zilikuwepo, mishahara iliongezeka, huduma za afya zilikuwa bora, ndo aliyeunganisha mikoa na wilaya nyingi kwa barabara, shule nyingi za kata zilijengwa kipindi chake, na karibia zote zilikuwa na walimu wa kutosha, hakupendelea ukanda, ukabila,
Wafanyakazi kwa wafanyabiashara walinufaika.
Kwanini tusimuombee Mungu azidi kumuweka! Sala za watanzania zitaendelea kukulinda!!