Lucas philipo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,039
- 2,676
Hao unaowaita wataalamu ndiyo watu wa hovyo kabisa kuwahi kutokea.Sidhani kama Rais anajipangia safari. Ana timu ya wataalamu wabobezi; mabingwa wa nyanja zote ambao hupanga safari zake. All options, possibilities, pros and cons; advantages and disadvantages zinakuwa zimezingatiwa by the time Rais anapokuwa anaelekea airport. Take that!
Kama ndiyo hao wanao engineer safari za nje basi kama taifa tunapigwa sana.
Niliwah kusikia kipindi cha Jiwe kuwa kuna watu walikuwa wanamuandalia ziara ili nyuma wapige deal zao. Na walikuwa wanafurah akiwa ziaran huko kwan walijipigia kadri wawezavyo.
Naunganisha dots. Hii isije ikawa ni mbinu yao ya kuendelea kupiga deal na actually wanakula kodi mambo ya Per diem si hatar hiyo mkuu...
Enewei hizo safari za nje sioni tija yake kabisa. Maji hakuna , umeme ndo usiseme kwa saa moja unakuta unakatika hata mara 10 halafu mtu unamhie habar za safari za nje???????
Tuamke!