Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Muda wa mechi ya uefa sio kulala
Mnasubiri kipigo cha USG kwa Mkapa ili mumpakishe ndege Kocha siyo? Na mlivyomsema Morrison hafai sasa imekuwaje Baniani mbaya kiatu chake kimekuwa dawa Niamey? Mhindi amewaroga na zile 20 b alizochikichia hadi leo. Kwa taarifa yenu Manara kaonekana Niamey jana.
 
Kesho tunakwenda Dubei. Kwenye maonesho ya nane nane.
 
Huyu mama ni mshamba, huwezi kuwa Rais na ukas nje for 3 weeks. Anakula kodi yetu. Matunda ya Mwungano hayo
 
RAIS HAZURURI
Lengo la ninachokiandika ni kutaka kuonesha umuhimu wa safari za Rais ndani na nje ya Bara la Afrika kwa maslahi ya Tanzania na katika Umoja wa Nchi za Kusini kwa jangwa la Sahara hususani zilizopo katika umoja wa SADC.

Zipo Nchi ttakribani 8 ndani ya bara la Afrika na Nchi 5 nje ya bara la Afrika hivyo kufanya jumla ya Nchi 13. Zipo Nchi alizozitembelea zaidi ya mara moja mfano Uganda (Mara mbili), Msumbiji (Mara mbili), na Marekani ( Mara mbili).

Orodha ya Nchi hizo ni hii:

1.Kenya
2. Uganda
3. Mozambique
4. Malawi
5. Zambia
6. Egypt
7. Belgium
8. Burundi
9. France
10. United Arab Emirates(UAE)
11. United Kingdom
12. Rwanda
13. United States of America( USA)

KENYA
Safari hii ililenga kuimarisha mahusiano na ujirani mwema kati Tanzania na Kenya, uhusiano ambalo ulikuwa umezorota. Kipindi cha awamu ya sita utawala ulikuwa kama umejitenga kiasi na masuala ya umoja katika EAC. Zipo kumbukumbu za maumivu waliyoyapata m aWakenya mfano mwaka 2018 vifaranga vya kuku takribani 11,000 viliteketezwa kwa moto. Haya majeraha yote wakihitaji tiba.

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta alisema " ujio wako ametupa nafasi ya kurejesha mahusiano yetu" hii inaonesha mahusiano kati ya Tanzania na Kenya kuna wakati yalizorota. Ziara hii pia iliambatana na utiaji saini wa "liquefied petroleum gas" kutoka bandari ya Mombasa kuja Dar es Salaam.

UGANDA
Pamoja na masuala mengine katika ziara hii suala la mradi mkubwa wa mafuta " Tripatite East Afrucan Crude Oil Pipeline ( EACOP).

MSUMBIJI

Katika ziara hii Rais alihudhuria Mkutano wa Jumumuiya ya Afrika Mashariki "East African Community". Hapa yalijadiliwa masuala mengi muhimu kwa uhai wa jumuiya hii mathalani masuala ya; chakula, ulinzi, jinsia na maendeleo, mwitikio wa jumuiya kupambana na ugonjwa la Ukimwi na janga la UVIKO-19.

MALAWI
Taifa hili ni la kwanza kuwa Rais Mwanamke katika ukanda wa Nchi za Kusini mwa jangwa la Sahara. Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania alisema pamoja na maendeleo mazuri yaliyopo katika ukanda huu wa Nchi za kusini mwa jangwa la Sahara (SADC) bado hatupaswi kuridhika na badala yake tunatakiwa kupambana na umasikini, kasi ndogo ya ukuaji wa uchumi, maginjwa, ugaidi n.k..

ZAMBIA

Tarehe 24/8/2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzan
ia alikwenda Nchini Zambia kuhuhudia kuapishwa kwa Rais Hakainde Hichilema aliyemshinda mgombea mwenzake Edgar Lungu. Aliwapongeza namna walivyopokezana nafasi. Hii inaonesha lipo alillojifunza huko.

EGYPT
Hapa Rais alikwenda kusaini mkataba mmoja na makubaliano mengine kati ya Misri na Tanzania. Maeneo ya ushirikiano kati ya Tanzania na Misri ni; Diplomasia, Uchumi, Siasa,Elimu na Huduma za kijamii.

BELGIUM
Katika ziara hii Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliuomba Umoja wa Ulaya kuisafia nchi ya Burundi kwa kuonesha umuhimu wa umoja huo kwa Nchi ya Burundi. Tarehe 17/2/2022 alimtembelea Tundu Antipas Lisu anateishi uhamishoni tangu mwaka 2017 akikwepa kuuawa. Walijaduliana takribani saa moja.

Itaendelea.......
Hapa inaonesha kuwa Rais amefanya ziara muhimu sana za kuifungua Tanzania na haipo ziara ambayo haina nia njema kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Kwa lugha nyingine ni uvivu tu wa kufikiri, kuamini au kukubali kuamishwa kuwa Rais anazurura.
 
Ziara zote zina tija
Hakuna ziara ameenda kutembea bila faida
Kazi iendelee
 
Samia Suluhu Hassan aliapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Sita (6) wa Tanzania mnamo Machi 19, 2021 baada ya mtangulizi wake Rais John Pombe Magufuli kufariki dunia mnamo Machi 17, 2021

Tangu kuapishwa kwake Rais Samia amefanya mengi ikiwa ni pamoja na ziara katika nchi mbalimbali kwa ajili ya kukuza mahusiano na mataifa

Hizi ni Ziara alizofanya Rais Samia tangu alipopewa dhamana ya kuwa Rais wa Tanzania

Aprili 11, 2021 – Ziara nchini Uganda
Rais Samia alifanya ziara ya siku 1 – ambapo alifanya mazungumzo ya siri na Rais Yoweri Museveni na kisha kuhudhuria utiaji Saini wa mkataba kati ya Serikali ya Uganda na Kampuni ya Mafuta Ghafi ya Afrika Mashariki (EACOP) juu ya utekelezaji wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Tannga

Mei 04, 2021 - Ziara nchini Kenya
Rais Samia alifanya ziara ya siku 2 - ambapo alifanya mazungumzo na Rais Uhuru Kenyatta kisha kulihutubia Bunge lilijumuisha Wabunge wa Mabunge yote mawili. Pia, alihudhuria na kuhutubia Jukwaa la Wafanyabiashara wa Kenya na Tanzania kwa lengo la kujadiliana kuhusu fursa zilizopo za biashara na uwekezaji kwa Kenya na Tanzania

Julai 16, 2021 - Ziara nchini Burundi
Rais Samia alifanya ziara ya siku 2 - ambapo alishiriki shughuli mbali mbali ikiwemo kuhutubia mkutano wa jukwaa la wafanyabiashara wa Burundi na Tanzania

Agosti 2, 2021 - Ziara nchini Rwanda
Rais Samia alifanya ziara ya Siku 2 - ambapo alizungumza na Rais Paul Kagame pamoja na kushuhudia utiwaji saini wa hati za makubaliano na kuzungumza na vyombo vya habari

Novemba 10, 2021 - Ziara nchini Misri
Rais Samia alifanya ziara ya siku 3 - ambapo alizungumza na Rais Abdel Fattah Al Sisi kuhusu maeneo kadhaa ya ushirikiano na Tanzania ikiwemo nyanja za dipolomasia, uchumi, elimu, utalii na huduma za kijamii. Pia, alishuhudia usainiawaji wa mkataba mmoja na hati 7 za makubaliano kati ya Tanzania na Misri

Februari 14, 2022 - Ziara nchini Ufaransa
Rais Samia alifanya Ziara - amekutana na kuzungumza na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron. Pia amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Aundrey Axoulay wakati alipotembelea Makao Makuu ya Shirika hilo. Pia, atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani

Februari 18, 2022 - Ziara nchini Ubelgiji
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen leo Februari 18, 2022

Aprili 19, 2022 - Ziara nchini Marekani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo ashiriki kwenye uzinduzi wa makala maalumu iitwayo ‘Royal Tour’ jijini New York nchini Marekani.

Mei 10-11, 2022 - Ziara nchini Uganda
Rais Samia ziara ya siku 2 - atazungumza na Rais Yoweri Museveni ili kudumusha na kuimarisha zaidi historia iliyopo na mahusiano ya kidplomasia pamoja na ushirikiano wa kiuchumi na kijamii. Marais watajadili kuhusu nishati, bishara, usafiri, maendeleo ya miundombinu na sekta ya afya
Mwaka jana kaenda Marekani mara 2 mpaka akutana na Mangi Kimambi na wewe Bashite
 
Zi
Samia Suluhu Hassan aliapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Sita (6) wa Tanzania mnamo Machi 19, 2021 baada ya mtangulizi wake Rais John Pombe Magufuli kufariki dunia mnamo Machi 17, 2021

Tangu kuapishwa kwake Rais Samia amefanya mengi ikiwa ni pamoja na ziara katika nchi mbalimbali kwa ajili ya kukuza mahusiano na mataifa

Hizi ni Ziara alizofanya Rais Samia tangu alipopewa dhamana ya kuwa Rais wa Tanzania

Aprili 11, 2021 – Ziara nchini Uganda
Rais Samia alifanya ziara ya siku 1 – ambapo alifanya mazungumzo ya siri na Rais Yoweri Museveni na kisha kuhudhuria utiaji Saini wa mkataba kati ya Serikali ya Uganda na Kampuni ya Mafuta Ghafi ya Afrika Mashariki (EACOP) juu ya utekelezaji wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Tannga

Mei 04, 2021 - Ziara nchini Kenya
Rais Samia alifanya ziara ya siku 2 - ambapo alifanya mazungumzo na Rais Uhuru Kenyatta kisha kulihutubia Bunge lilijumuisha Wabunge wa Mabunge yote mawili. Pia, alihudhuria na kuhutubia Jukwaa la Wafanyabiashara wa Kenya na Tanzania kwa lengo la kujadiliana kuhusu fursa zilizopo za biashara na uwekezaji kwa Kenya na Tanzania

Julai 16, 2021 - Ziara nchini Burundi
Rais Samia alifanya ziara ya siku 2 - ambapo alishiriki shughuli mbali mbali ikiwemo kuhutubia mkutano wa jukwaa la wafanyabiashara wa Burundi na Tanzania

Agosti 2, 2021 - Ziara nchini Rwanda
Rais Samia alifanya ziara ya Siku 2 - ambapo alizungumza na Rais Paul Kagame pamoja na kushuhudia utiwaji saini wa hati za makubaliano na kuzungumza na vyombo vya habari

Novemba 10, 2021 - Ziara nchini Misri
Rais Samia alifanya ziara ya siku 3 - ambapo alizungumza na Rais Abdel Fattah Al Sisi kuhusu maeneo kadhaa ya ushirikiano na Tanzania ikiwemo nyanja za dipolomasia, uchumi, elimu, utalii na huduma za kijamii. Pia, alishuhudia usainiawaji wa mkataba mmoja na hati 7 za makubaliano kati ya Tanzania na Misri

Februari 14, 2022 - Ziara nchini Ufaransa
Rais Samia alifanya Ziara - amekutana na kuzungumza na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron. Pia amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Aundrey Axoulay wakati alipotembelea Makao Makuu ya Shirika hilo. Pia, atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani

Februari 18, 2022 - Ziara nchini Ubelgiji
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen leo Februari 18, 2022

Februari 24, 2022 - Ziara Falme za Kiarabu (UAE)
Rais Samia alifanya ziara ya siku 3, ameshuhudia utiaji saini hati za makubaliano ya mikataba 36 yenye thamani ya zaidi ya sh. trilioni 17.3 iliyohusisha sekta mbalimbali ikiwemo nishati, madini, miundombinu, kilimo na mawasiliano.

Pia, kuwa Mgeni rasmi na kuhutubia kwenye Siku Maalum ya Tanzania kwenye maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Biashara na Uwekezaji Dubai Siku ya Februari 26 pamoja na Kuhutubia kwenye Kongamano kubwa la Biashara na Uwekezaji Februari 27

Aprili 19, 2022 - Ziara nchini Marekani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo ashiriki kwenye uzinduzi wa makala maalumu iitwayo ‘Royal Tour’ jijini New York nchini Marekani.

Mei 10-11, 2022 - Ziara nchini Uganda
Rais Samia ziara ya siku 2 - atazungumza na Rais Yoweri Museveni ili kudumusha na kuimarisha zaidi historia iliyopo na mahusiano ya kidplomasia pamoja na ushirikiano wa kiuchumi na kijamii. Marais watajadili kuhusu nishati, bishara, usafiri, maendeleo ya miundombinu na sekta ya afya
Ziara za nenda rudiko ndo shida. Kwa nini safari moja usiainishe vya kujadili vyote? Au wadau wanafurahi kumuona karibu?
 
Kumbuka usije changanya Safari Na Ziara hiyo ya Belgium na ufaransa was the same route , maana huu Uzi baadae utatumika Kama referral ya safari za Rais Ulaya , atahesabiwa mara mbili wakati ilikuwa ya Belgium na France ni same Route


Britanicca
 
Samia Suluhu Hassan aliapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Sita (6) wa Tanzania mnamo Machi 19, 2021 baada ya mtangulizi wake Rais John Pombe Magufuli kufariki dunia mnamo Machi 17, 2021

Tangu kuapishwa kwake Rais Samia amefanya mengi ikiwa ni pamoja na ziara katika nchi mbalimbali kwa ajili ya kukuza mahusiano na mataifa

Hizi ni Ziara alizofanya Rais Samia tangu alipopewa dhamana ya kuwa Rais wa Tanzania

Aprili 11, 2021 – Ziara nchini Uganda
Rais Samia alifanya ziara ya siku 1 – ambapo alifanya mazungumzo ya siri na Rais Yoweri Museveni na kisha kuhudhuria utiaji Saini wa mkataba kati ya Serikali ya Uganda na Kampuni ya Mafuta Ghafi ya Afrika Mashariki (EACOP) juu ya utekelezaji wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Tannga

Mei 04, 2021 - Ziara nchini Kenya
Rais Samia alifanya ziara ya siku 2 - ambapo alifanya mazungumzo na Rais Uhuru Kenyatta kisha kulihutubia Bunge lilijumuisha Wabunge wa Mabunge yote mawili. Pia, alihudhuria na kuhutubia Jukwaa la Wafanyabiashara wa Kenya na Tanzania kwa lengo la kujadiliana kuhusu fursa zilizopo za biashara na uwekezaji kwa Kenya na Tanzania

Julai 16, 2021 - Ziara nchini Burundi
Rais Samia alifanya ziara ya siku 2 - ambapo alishiriki shughuli mbali mbali ikiwemo kuhutubia mkutano wa jukwaa la wafanyabiashara wa Burundi na Tanzania

Agosti 2, 2021 - Ziara nchini Rwanda
Rais Samia alifanya ziara ya Siku 2 - ambapo alizungumza na Rais Paul Kagame pamoja na kushuhudia utiwaji saini wa hati za makubaliano na kuzungumza na vyombo vya habari

Novemba 10, 2021 - Ziara nchini Misri
Rais Samia alifanya ziara ya siku 3 - ambapo alizungumza na Rais Abdel Fattah Al Sisi kuhusu maeneo kadhaa ya ushirikiano na Tanzania ikiwemo nyanja za dipolomasia, uchumi, elimu, utalii na huduma za kijamii. Pia, alishuhudia usainiawaji wa mkataba mmoja na hati 7 za makubaliano kati ya Tanzania na Misri

Februari 14, 2022 - Ziara nchini Ufaransa
Rais Samia alifanya Ziara - amekutana na kuzungumza na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron. Pia amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Aundrey Axoulay wakati alipotembelea Makao Makuu ya Shirika hilo. Pia, atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani

Februari 18, 2022 - Ziara nchini Ubelgiji
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen leo Februari 18, 2022

Februari 24, 2022 - Ziara Falme za Kiarabu (UAE)
Rais Samia alifanya ziara ya siku 3, ameshuhudia utiaji saini hati za makubaliano ya mikataba 36 yenye thamani ya zaidi ya sh. trilioni 17.3 iliyohusisha sekta mbalimbali ikiwemo nishati, madini, miundombinu, kilimo na mawasiliano.

Pia, kuwa Mgeni rasmi na kuhutubia kwenye Siku Maalum ya Tanzania kwenye maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Biashara na Uwekezaji Dubai Siku ya Februari 26 pamoja na Kuhutubia kwenye Kongamano kubwa la Biashara na Uwekezaji Februari 27

Aprili 19, 2022 - Ziara nchini Marekani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo ashiriki kwenye uzinduzi wa makala maalumu iitwayo ‘Royal Tour’ jijini New York nchini Marekani.

Mei 10-11, 2022 - Ziara nchini Uganda
Rais Samia ziara ya siku 2 - atazungumza na Rais Yoweri Museveni ili kudumusha na kuimarisha zaidi historia iliyopo na mahusiano ya kidplomasia pamoja na ushirikiano wa kiuchumi na kijamii. Marais watajadili kuhusu nishati, bishara, usafiri, maendeleo ya miundombinu na sekta ya afya
kuna ambazo hujaweka. Kuna moja ya mkutano wa tabia nchi (UK) aorund last year kabla ya ziara ya Misri.
 
Samia Suluhu Hassan aliapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Sita (6) wa Tanzania mnamo Machi 19, 2021 baada ya mtangulizi wake Rais John Pombe Magufuli kufariki dunia mnamo Machi 17, 2021

Tangu kuapishwa kwake Rais Samia amefanya mengi ikiwa ni pamoja na ziara katika nchi mbalimbali kwa ajili ya kukuza mahusiano na mataifa

Hizi ni Ziara alizofanya Rais Samia tangu alipopewa dhamana ya kuwa Rais wa Tanzania

Aprili 11, 2021 – Ziara nchini Uganda
Rais Samia alifanya ziara ya siku 1 – ambapo alifanya mazungumzo ya siri na Rais Yoweri Museveni na kisha kuhudhuria utiaji Saini wa mkataba kati ya Serikali ya Uganda na Kampuni ya Mafuta Ghafi ya Afrika Mashariki (EACOP) juu ya utekelezaji wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Tannga

Mei 04, 2021 - Ziara nchini Kenya
Rais Samia alifanya ziara ya siku 2 - ambapo alifanya mazungumzo na Rais Uhuru Kenyatta kisha kulihutubia Bunge lilijumuisha Wabunge wa Mabunge yote mawili. Pia, alihudhuria na kuhutubia Jukwaa la Wafanyabiashara wa Kenya na Tanzania kwa lengo la kujadiliana kuhusu fursa zilizopo za biashara na uwekezaji kwa Kenya na Tanzania

Julai 16, 2021 - Ziara nchini Burundi
Rais Samia alifanya ziara ya siku 2 - ambapo alishiriki shughuli mbali mbali ikiwemo kuhutubia mkutano wa jukwaa la wafanyabiashara wa Burundi na Tanzania

Agosti 2, 2021 - Ziara nchini Rwanda
Rais Samia alifanya ziara ya Siku 2 - ambapo alizungumza na Rais Paul Kagame pamoja na kushuhudia utiwaji saini wa hati za makubaliano na kuzungumza na vyombo vya habari

Novemba 10, 2021 - Ziara nchini Misri
Rais Samia alifanya ziara ya siku 3 - ambapo alizungumza na Rais Abdel Fattah Al Sisi kuhusu maeneo kadhaa ya ushirikiano na Tanzania ikiwemo nyanja za dipolomasia, uchumi, elimu, utalii na huduma za kijamii. Pia, alishuhudia usainiawaji wa mkataba mmoja na hati 7 za makubaliano kati ya Tanzania na Misri

Februari 14, 2022 - Ziara nchini Ufaransa
Rais Samia alifanya Ziara - amekutana na kuzungumza na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron. Pia amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Aundrey Axoulay wakati alipotembelea Makao Makuu ya Shirika hilo. Pia, atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani

Februari 18, 2022 - Ziara nchini Ubelgiji
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen leo Februari 18, 2022

Februari 24, 2022 - Ziara Falme za Kiarabu (UAE)
Rais Samia alifanya ziara ya siku 3, ameshuhudia utiaji saini hati za makubaliano ya mikataba 36 yenye thamani ya zaidi ya sh. trilioni 17.3 iliyohusisha sekta mbalimbali ikiwemo nishati, madini, miundombinu, kilimo na mawasiliano.

Pia, kuwa Mgeni rasmi na kuhutubia kwenye Siku Maalum ya Tanzania kwenye maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Biashara na Uwekezaji Dubai Siku ya Februari 26 pamoja na Kuhutubia kwenye Kongamano kubwa la Biashara na Uwekezaji Februari 27

Aprili 19, 2022 - Ziara nchini Marekani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo ashiriki kwenye uzinduzi wa makala maalumu iitwayo ‘Royal Tour’ jijini New York nchini Marekani.

Mei 10-11, 2022 - Ziara nchini Uganda
Rais Samia ziara ya siku 2 - atazungumza na Rais Yoweri Museveni ili kudumusha na kuimarisha zaidi historia iliyopo na mahusiano ya kidplomasia pamoja na ushirikiano wa kiuchumi na kijamii. Marais watajadili kuhusu nishati, bishara, usafiri, maendeleo ya miundombinu na sekta ya afya
tatizo lako umeandika na huna data, mbona alihudhuria na mkutano wa SADC? kusina mwa Afrika, vipi kuhusu Mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi UK?
 
Ametembelea mikoa mingapi, vijiji vingapi, kusikiliza matatizo ya Watanzania wengi?

Yeye kajikita kwenye ziara, holiday kila mwezi, shopping kila mwezi, kula bata. Hana muda wa kutatua matatizo ya Watanzania.
 
Back
Top Bottom