Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Mkuu Shujaa Mwendazake , msitake kuleta mambo ya mwendazake hapa, atulie nyumbani kufanya nini?. Kila trip ina manufaa makubwa kwa nchi, mfano leo, Rais Samia ndie Mgeni rasmi.
Ukifanya a quick comparative analysis ya Rais Samia, kati ya kuhudhuria tukio hili na kuhudhuria UNGA, utakuta kuhudhuria tukio hili kuna carries more mileage.

Angalia hoja za umuhimu wa tukio hili. It's worth it.
P
Unatia aibu JF...wewe na Lucas mwashambwa lazima mtakuwa mapacha!
 
Yaani January mpaka March sijui kaishapiga ruti ngapi.
Nigeria nako ameenda kitafuta malisho ya wananchi ama?

Kwa nibi hatulii nyumbani hata mwezi mmoja, sasa hizo kero atatua lini kama alivyoahidi?

Gharama za misafara yake yote ina tija kwetu?
View attachment 2925657
Sasa ni nani angekosa kwenda kwenye opportunity kama hii?

African Development Bank imetushika MKONO sana kwenye Maendeleo -Viongozi wengi watatuonea gere but imagine huku tunalalamika ati kwanini asikae ofisini!

By the way is a day round trip!

Not a big deal!

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Sasa ni nani angekosa kwenda kwenye opportunity kama hii?

African Development Bank imetushika MKONO sana kwenye Maendeleo -Viongozi wengi watatuonea gere but imagine huku tunalalamika ati kwanini asikae ofisini!

By the way is a day round trip!

Not a big deal!

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Rais anaenda kusaidia nini zaidi ya kuzurura tu, waendee watalaamu, wawekezaji na waziri wa sekta husika
 
Chawa kazini
Mkuu Kipepeo wa chuma, Theironbutterfly , kwasababu hatujuani umri humu, tunatukanana na kuvunjiana sana heshima humu!, unaweza kujikuta unamtukana mtu mwenye umri wa baba yako, au mama yako!. Mimi nakwenda 60!, kuniita chawa ni sawa na kunitukana!.

Sio kila kusifu ni uchawa!. Chawa wao kazi yako ni kusifu tuu kila kitu kwa nyimbo na mapambio, mimi nasifu pale tuu panapostahili sifa, lakini akiboronga anapigwa tuu spana za kutosha!. Chawa wa Mama hawezi kuleta bandiko lenye hoja kama HII humu!.
Mimi sio chawa!.
P
 
Kweli kaenda Nigeria?
Screenshot_20240306_082909_Chrome.jpg
 
Unatia aibu JF...wewe na Lucas mwashambwa lazima mtakuwa mapacha!
Mkuu Mag3 , heshima, kitu cha bure!. Kunifananisha mimi na hawa machawa wa humu, sio kunitendea haki!.

Ni vile tuu hatujuani umri humu, tunatukanana na kuvunjiana sana heshima humu!, unaweza kujikuta unamtukana mtu mwenye umri wa baba yako, au mama yako!. Mimi nakwenda 60!, kuniita chawa ni sawa na kunitukana!, wewe Mkuu Mag3 , ni long timer humu, utakuwa unanijua what I stand for, kunifananisha na haya mazagazaga sio kunitendea haki hata kidogo!.

Sio kila kusifu ni uchawa!. Chawa wao kazi yako ni kusifu tuu kila kitu kwa nyimbo na mapambio, mimi nasifu pale tuu panapostahili sifa, lakini akiboronga anapigwa tuu spana za kutosha!. Chawa wa Mama hawezi kuleta bandiko lenye hoja kama HII humu!.
Mimi sio chawa!.
P
 
Anaimarisha Diplomasia ya uchumi
Hivi yeye ndo RAIS pekee anayehitajika huko?? Au wameona yeye ndo huwa na nafasi wakati wote?

Ni vizuri wenye akili wakamsaidia kuelewa, kwamba mialiko mingine Haina tija na inadhalilisha!!

Unawezaje kwenda kuwa Mwenyekiti wa tuzo Kwa mtu asiye na hadhi ya Urais?

Ila tabu kubwa inaanzia kwenu nyie CHAWA
 
Kazi ya January makambah hiyo,toka apangwe waziri wa mambo ya nje,daily anampangia ruti bi kizmkaz

Lakin Yuko sahihi,manake hata akikaa nchin Hakuna afanyalo,anaishia kuboeka tu,na kwenye mabotik na salon za kibongo hawez kwenda,so hiyo no njia moja wapo ya yeye kufanya shopping.

Mie ni mwanamke Ila siafiki aje achaguliwe raisi mwanamke ever again,manake wanapewa vilaza,wanawake smart,intelligent,wenye mission na vision,hawapewi hizo nafasi ,hata kwenye maofisi ya Umma ni ushahidi tosha.Smart women hawapewi nafasi za uongozi Tanzania,unless avuliwe kyup😢😢
Na tukibahatika kukuvua kyupi,,You're not Smart anymore!!
 
Hivi yeye ndo RAIS pekee anayehitajika huko?? Au wameona yeye ndo huwa na nafasi wakati wote?

Ni vizuri wenye akili wakamsaidia kuelewa, kwamba mialiko mingine Haina tija na inadhalilisha!!

Unawezaje kwenda kuwa Mwenyekiti wa tuzo Kwa mtu asiye na hadhi ya Urais?

Ila tabu kubwa inaanzia kwenu nyie CHAWA
Amealikwa
 
Back
Top Bottom