Safi Sana: Marekani na ujanja wake kaingizwa mkenge na Venezuela kuhusu kuuziwa mafuta

Mkuu wewe soma tu hii ni kama Comedy ya kina Masanja.Nchi ni Superpower kweli kweli in all aspects halafu mtu anakuja kutuletea blah blah za 'US watakoma" 🙂
Hunakataa USA hawakwenda kumwangukia maduro??
 
"Anti-Russia sanctions ’are now backfiring on the Europeans and Americans through rising prices for gasoline, energy, food, and job losses'’ — Vladimir Putin


Biden kaminywa kende[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ila bongo utazipata. Maana sisi tupo karibu na Ikulu zote duniani.
Lakini pale Ikulu ya Magogoni au Chamwino hata kutia pua tu hatujawahi,ila HW,Kremlini na Ikulu zingine huwa tunavinjari kama tuko mitaa ya K.Koo tu😅
 
Watanzania wana siri za mataifa mengi sana duniani. Ila hawana siri za kujua ni namna gani watazitumia rasilimali walizonazo kujikwamua kiuchumi na kupunguza utegemezi.
Wana siri hadi za WH zile za ndani kabisa,lakini za pale Mgogoni hawana.
 
Wewe unafahamu chanzo cha huo ufalme wa Saudia au unajiongelesha tu hapo.
Mkuu,hapa ndiyo nimejua hatuna tulijualo kuhusu siasa za huu Ulimwengu zinavyokwenda.Na kwa mtaji huu acha US Aaendelee kuutawala Ulimwengu apendavyo huku sisi akitupa technologia yake ya Internet ,Youtube na Google ili tuendelee kupiga soga za vijiweni.
 
Hivi, unafahamu kuwa Canada ndo supply namba moja wa mafuta kwa Marekani kwa zaidi ya 61%? Marekani hajawahi kununua zaidi ya 3% ya mafuta kutoka Russia, hivyo gap ya mafuta atakayohitaji haizidi hiyo 3%.

3% pia ni nyingi sana mkuu
 
Yaani nilpoona kuwa USA inaelekea kupata tabu na kutapa tapa , ni baada ya kusikia mshirika wake saudia eti nae anamvimbia !!! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

What a flop!!!!!
Siku ya kufa Nyani🤣🤣🤣🤣
 
Ndio wakome!wanajikutaga wanajua kila kitu
 
Hivi kwanini pesa za Serikali Africa zinakaa America na Ulaya?
 
Wajaribu waone hiyo vita itakua kati ya USA vs Waislam wote duniani hatar sana wasije tuletea vita ya kidini hawa. People wapo radhi wapigane wafe ule mji ubaki na wanalijua hilo.
Ikitokea US anataka kuiondoa serikali ya Saudi Arabia halazimiki kuivamia. Anawapa silaha Washia wa Houthi pale Yemen wanavuka mpaka wanaingia Saudi kuleta usumbufu. Eti waislamu watapigana, Saddam Hussein alipoivamia Kuwait na kuelekea kuivamia Saudi Arabia mbona Saudi iliwaita Wamarekani kwani haikuwa inajua kuna waumini duniani.

Kwanza hakuna haja ya vita. Mfalme na Crown Prince wana wapinzani within Royal family na humohumo anatokea successor. Kwanza hii bloodline ya kifalme ya Saudi sio legitimate nayo iliingia kwa kubadilisha. Ni kumtoa King Salman na MBS ukaweka binamu au yeyote within anayekubaliana nao. US wako Saudi muda na wanawauzia silaha za billion of dollars hata wanajeshi wa US wapo
 
Kuna watu kujiunga jamii forum siku nyingi wanajiona wao ndo wamiliki ukisema jambo wasilopeanda utasikia vijana, ficheni upumbavu wenu na muwaache watu wajiachie. MTU AKISEMA ATAKOMA ANAMAANA KUMUUNGA MKONO MTU ULIYEMPINGA NI KUKOMA PIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…