United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Cocroch ilikuwa tusi kubwa sana kipindi cha genocide. Hapo umemtukana sana proKagame yyte yaani leo wanaweza wasile kwa hasira manake watakumbuka yale machete ya 1994 hahaaaaaaMtema kuni ya nyoko !?, hapo makambi ya Benako wakimbizi wa kiNyarwanda wanashindia kwa kula biskuti na juice hebu kawahudumie (if you can even do that, mkimbizi mwenzao) kwanza achana na kutishia Simba wakati wewe ni Sungura mgonjwa. Taifa la wakimbizi mnaitishia Tanzania inayotunza wakimbizi wenu, you must be very stupid to think you can stand against us.
Nyie mkileta ujinga tunawapiga kwa majeshi ya mkoa wetu mmoja tu tunakazingira hako kakitongoji kenu kila upande stupid concroches.
"Charismatic fella and pure talented" .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila charismatic fella. Unanivunja mbavu mno.
Yani huo ugomvi natamani ingekuwa ni mimi ningepambana naye hadi tone la mwisho.Unadhani jamaa kabisa kabeba wanajeshi ananiwinda kisa mbunye tu yani
Huo muda ambao aninitafuta mimi si angeitumia kwa kukamata kobe wetu waliotoroshwa [emoji2][emoji2][emoji2]
Nilijua uzi wa maana kumbe Kuna utoto ndani yakeNa ninawatieni Ndimu ( Nawapanikisha ili Mkasirike ) kwa Makusudi ili mkasirike na muanze Kujitapa kwa kusema Intelligence and Defence Strong Points zenu ili mnirahisishie Jukumu Kuu nililokabidhiwa na Kuaminiwa nalo la Taifa la Rwanda.
Kosa kubwa alilofanya genius wako uchwara ni kutowafanya wanyarwanda kuwa wa1,siku akiondoka pale patakua apatoshi zaidi ya 1994Poleni kwa Kumkosa. Mtegeni wa Burundi yule Zuzu mnayemmudu na kumfanya mtakavyo, ila siyo kwa 'Genius' wa Rwanda sawa?
Kwahiyo kwenu huyo Paulo kwenu ndo genius?Tanzania tunauwezo wa kunywa chai Asubuhi na mapema kwenye ikulu yenu.Poleni kwa Kumkosa. Mtegeni wa Burundi yule Zuzu mnayemmudu na kumfanya mtakavyo, ila siyo kwa 'Genius' wa Rwanda sawa?
Huyo jamaa akuwahi hata kufika chalinze,alifinywa hapa hapa,kupunguza maswali ya familia yake ikawa amekimbilia rwanda,hiyo familia yake mpaka leo hata huko rwanda haijui pakumpataKagame tells Kikwete "I will hit you......"
.....Those people [Tanzanian President Jakaya Kikwete] you just heard siding with Interahamwe and FDLR and urging negotiations negotiations? Me, I do not even discuss this topic, because I will just wait for you [Tanzanian President Jakaya Kikwete] at the right place and I will hit you...www.jamiiforums.com
Tujikumbushe kidogo PAKA alipompiga mkwara JK in 2013.
Mziki uliofuata kuna karnali wa JWTZ aliedhani wenzake awamjui kukimbilia Rwanda haraka sana kwa usalama wake bila ya kufuatwa na mtu yeyote; halafu kuna mziki uliopelekwa Rwanda kimya-kimya wahusika wanadai Kagame hakuwa akilala Ikulu kwa miezi sita anajificha.
Baada ya hapo neno Tanzania na raisi wake anapowaongelea ni kwa adabu na heshima; ajawahi thubutu tena kuropoka upuuzi kuhusu Tanzania.
Mkuu hao wazungu ndy wamemplant PK afanye yote DRCNikitafakali kwa kina Sana nakubaliana na kagame,ni heri Mali ya DRC na yy afaidi ,kuliko wafaidi wazungu ambao sio bara lao na sio wa Africa,wao DRC wameshindwa kuzilinda zisipolwe na wazungu ,wanahangaika na ndg Yao kagame!!
Why hakushughulikiwa mapema kama alikuwa anajulikana?..nipe story kidogo kuhusu hili mkuuHuyo jamaa akuwahi hata kufika chalinze,alifinywa hapa hapa,kupunguza maswali ya familia yake ikawa amekimbilia rwanda,hiyo familia yake mpaka leo hata huko rwanda haijui pakumpata
Mkuu wewe elewa tu alikimbilia rwanda 😀Why hakushughulikiwa mapema kama alikuwa anajulikana?..nipe story kidogo kuhusu hili mkuu
Mmeshachelewa kwani wapo ( tupo ) huko Kwenu ( tena maeneo very Strategic and Sensitive ) kabla na hata baada ya 1994 Rwanda Genocide.
Udhaifu wenu wa Akili unatusaidia Kujipenyeza Kiurahisi na kuyajua mengi na pia Kujipanga vyema jinsi ya Kujilinda nanyi na Kuwakabili kama mkilianzisha nasi.
Na Nawaonya msije mkathubutu kwani hamtoamini pamoja na Udogo wetu wa Kijiografia na msisahau kuwa Rwanda ndiyo Israel ya East Africa Community.
Nimemaliza.
Tz ina ujinga mwinga sana, kuna Wanyarwanda wapo kwenye sekta nyeti na vyombo vyetu vya usalama vimebaki kukimbizana na CHADEMA. Tena hawa watu wana mpaka vikao vyao na wanajuana ni yupi yupo wapi.Kama nimekupata vzr umetusaidia haja ya kufanya vetting ya kufa mtu.
Asante
Another Fool once again.Wewe kiazi to the maximum hauna ubongo wa kumpanikisha yeyote aliyetimamu
Kuna mahala popote nilikuita uje Uusome? Idiot.....!!!!Nilijua uzi wa maana kumbe Kuna utoto ndani yake
Nimegundua kuwa licha ya kuwa ni Fool naturally lakini pia hauko up to date na Current News.Hivi kwenye hizi nchi za maziwa makuu Allies wa Rwanda ni nani?
Uganda pekee ndie alikua na mafungamano na PK, ila baada ya kutibuana na Mu7 wameingia kwenye uadui mkubwa ilibakia kidogo tu waanze kutwangana.
Kanchi kenyewe kadogo badala ya kuimarisha urafiki na majirani wanaokuzunguka ili uishi kwa amani wewe ndio kwanza unazidisha chokochoko na kila jirani uliepakana nae.
Burundi, Congo, Uganda, TZ yaani hapo umebakiza kumchokonoa Mkenya tu ili ukamilishe hesabu. Hata huyo Mkenya mwenyewe mngekua mna share nae mipaka mngekua tayari mshagombana.
Akiendelea naweka ID yake open publicYani huo ugomvi natamani ingekuwa ni mimi ningepambana naye hadi tone la mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app