Safi sana Rais Kagame; kama kawaida yako Umenusa 'Tego' la 'Geneva ya Afrika' na 'Ukachomoa' kwenda, hivyo imekula kwao

Kosa kubwa alilofanya genius wako uchwara ni kutowafanya wanyarwanda kuwa wa1,siku akiondoka pale patakua apatoshi zaidi ya 1994
Tena angeandaa katiba nzuri mno kwamba Rais siyo msemaji wa Mwisho pia Anaweza wajibishwa akia madarakani kama atavunja Haki za Binadamu NDANI ya NCHI!!

Sasa yeye kang'ang'ania madaraka Hadi Leo tena anaandaa Mtoto wake nadhani Ivan kushika hatamu na museven nae ivo ivo!!

Pia Rais anakuwa chini ya uangalizi wa the State Yaani east African state ambapo ndani yake wapo makomando wa majeshi yote ya nchi za Africa mashariki!marais wastaafu wa Africa na wastaafu pia na majenerali wa majeshi ya nchi za Africa mashariki!!Rais alizingua TU ananyofolewa kirahisi,pia hana Kinga ya kutoshtakiwa!!

Pk angefanya hayo leo angekuwa Baba wa wanyarwanda kuliko ilivyo Sasa!!
 
Suali lako ni la kiu
MKUU

Kama pk ni smart hivyo alishindwaie na mkwere kumuweka mtu wake pale Burundi kipindi kile cha Neyombare alipotaka kupindua jk akagoma!!?

Vijana wa kigali walishindwaje kumpachika mtu wao Neyombare!!?
Huwezi kumweka Mtutsi ndani ya system ya Burundi ambayo wengi ni wahutu.

Pili, Neyombare in mhutu hivyo hata kama angetumiwa na PK kupindua angekuwa ni kama kipepeo.

Wote hao walikuwa ni waasi hivyo sidhani kama ni waasi walosoma uzuri kiasi cha kupanga mipango sahihi ya kupindua serikali.

Hata hivyo ni vigumu kufikia jibu sahihi kwani bado jeshi la Burundi wengi ni watutsi na wahutu ni wale walio kwenye serikali ambayo imejaa waasi wa zamani ambao wana nguvu kubwa nyuma yao ya wapnzani.

Lakini hiyo hiondoi ukweli kwamba PK aliliga mahesabu uzuri kabla ya kufikia uamuzi wa kutomweka mtu wake pale kwa kuhofia machafuko ambayo yangezidi yale ya Kimbari.
 
Watu wadhaifu huwa wanawadha kupinduliwa kila siku. Huo mkoa sisi hatuna interest nao, naona unavyojaribu kujitutumua na kujipa umuhimu. Mtu anayeshirikiana na wahuni nae ni wa kumsifia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…