Safi sana Uongozi wa Simba SC kwa 'Kumkomoa' hivi Kibu Denis

Safi sana Uongozi wa Simba SC kwa 'Kumkomoa' hivi Kibu Denis

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Klabu ya Simba SC ( kupitia Msemaji wake ) imesema kuwa kwa Klabu yoyote ambayo inamtaka Kibu Denis basi Dau la Kumsajili ni Dola za Kimarekani Bilioni Moja tu.

Si mnajifanya Wajanja kwa kutaka aende Norway kwa muda kisha Dirisha dogo arejee Kwenu Mafurikoni sasa Price Tag yake ni Dola hizo za Kimarekani Bilioni Moja.

Uzeni Magodoro yenu na Juice zenu Uchwara muipate hiyo Hela kisha mje Kumsajili. Mmeshashtukiwa na wenye Akili kuwazidi kuwa Jeuri hii yote mko nyuma yake.

Kudadadeki......Ubaya Ubwela tu.
 
Kwa hiyo Kibu Denis anarejea Simba kuja kucheza au kukaa benchi huku akila mshahara wa bure?

Aliyetuloga wanasimba huenda naye kalogwa.
Hivi unajua kuwa Kisaikolojia Mchezaji kukaa Benchi ni Mateso makubwa na anaathirika sana? Ulivyo Juha unashangaa Mchezaji kuwekwa Benchi kwa Makusudi kama Kumkomoa na ukisema kuwa anakula Mshahara wa bure na hapo hapo hujui kuwa hata Kipa wako Msaliti, Duka na Aliyetuumiza katika zile 5 kwa 1 Aishi Manula nae anapitia Adhabu hii hii ya Kisaikolojia japo Mshahara wake anapewa kama kawaida.

Mtafute sasa kisha muangalie hata akiwa anaongea utagundua kuwa Aishi Manula hayuko sawa tena Kisaikolojia na akihojiwa anazuga kuwa bado yuko Majeruhi wakati ukweli ni kwamba Kapigwa Pini ya maana Kumkomoa.

Kudadadeki......Ubaya Ubwela.
 
Kwa hiyo Kibu Denis anarejea Simba kuja kucheza au kukaa benchi huku akila mshahara wa bure?

Aliyetuloga wanasimba huenda naye kalogwa.
Sikutegemea ndani ya simba yangu kuna watu wenye akili smart za kuwaza kwa kina kama huyu mdau. Nakuahidi hutajibiwa na jibu smart zaidi ya kejeli, heshima kwako Rage
 
Kwa hiyo Kibu Denis anarejea Simba kuja kucheza au kukaa benchi huku akila mshahara wa bure?

Aliyetuloga wanasimba huenda naye kalogwa.
Wanaweza kuwa wanakosea kufanya hivo kwa namna ya kumlipa pesa pasi na namna ya kumtumia. Ila katika kitengeneza mazingira ya uwepo wa nidhani ndaani ya timu inawezakuwa njia nzuri.

Timu nyingi hutumia mfumo huu kuwaadhibu wachezaji wake. Kama ni mfuatiliaji mzuri utakumbuka Manchester United dhidi ya Sancho na hata CR7. Unakalishwa benchi mpaka unaomba kuondoka mwenyewe.
 
Kibu pale yanga anacheza wapi sasa? Kwa mpira wa juzi na kaizer, naona hata chama na pacome Wana kazi ya kuitafuta namba
Baada ya Simba SC kuwaambieni leteni Dola za Kimarekani Bilioni Moja ndiyo mumchukue na kwakuwa hamna kwani hata Magodoro yenu yenye Kunguni sasa hayauziki tena ndiyo mnazuga kwa Kumchana kuwa hafai na Kwenu akija hana Namba?

Hovyooooo......!!
 
Back
Top Bottom