Safi sana Uongozi wa Simba SC kwa 'Kumkomoa' hivi Kibu Denis

Safi sana Uongozi wa Simba SC kwa 'Kumkomoa' hivi Kibu Denis

Muachieni kibu aende anapopapenda kwanini mnamng'ang'ania? Mchezaji yupo huru kuamua wapi acheze na wapi asicheze. Kama mlivyomchangia fei pesa za kwenda fifa na kibu tumchangie pia
Acheni kelele leteni Dola za Kimarekani Bilioni Moja mumchukue sawa?
 
Simba hela ipo apigwe benchi hizo milioni 400 zake za mkataba ndo azile mdo mdo...
Naunga mkono Hoja yako. Huyu Mpuuzi Kibu Denis anatakiwa Akomolewe zaidi ya hapa na ikibidi hata Kurogwa Arogwe.
 
We unaona kwa akili zako chache ( maana huna akili) pale yanga yule bob marley anamuweka nani benchi?
Wewe hizo Akili zako za Kupiga Mluzi / Kubinua Mchanga ndiyo unaona ni Akili za Kujivunia?
 
Na wanavyo ushabikia huo umbumbumbu wao sasa kwa hoja na mada za ki mbumbumbu
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC Luc Eymael Raia wa Ubelgiji alisema ( iko YouTube ) kuwa Yanga SC wote ni Mbwa, Sokwe na Nyani. Je, una Maoni gani na hii Kauli? Nasubiria mrejesho wako.
 
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC Luc Eymael Raia wa Ubelgiji alisema ( iko YouTube ) kuwa Yanga SC wote ni Mbwa, Sokwe na Nyani. Je, una Maoni gani na hii Kauli? Nasubiria mrejesho wako.
Hahahahaha kwakua wote Simba na Yanga ni watanzania atakua yuko sahihi tu
 
Wanaweza kuwa wanakosea kufanya hivo kwa namna ya kumlipa pesa pasi na namna ya kumtumia. Ila katika kitengeneza mazingira ya uwepo wa nidhani ndaani ya timu inawezakuwa njia nzuri.

Timu nyingi hutumia mfumo huu kuwaadhibu wachezaji wake. Kama ni mfuatiliaji mzuri utakumbuka Manchester United dhidi ya Sancho na hata CR7. Unakalishwa benchi mpaka unaomba kuondoka mwenyewe.
Unategemea kabisa huyo Juha ( Fool ) na Wenzake kadhaa hapa Wakuelewe kabisa kweli Mkuu?
 
Hivi unajua kuwa Kisaikolojia Mchezaji kukaa Benchi ni Mateso makubwa na anaathirika sana? Ulivyo Juha unashangaa Mchezaji kuwekwa Benchi kwa Makusudi kama Kumkomoa na ukisema kuwa anakula Mshahara wa bure na hapo hapo hujui kuwa hata Kipa wako Msaliti, Duka na Aliyetuumiza katika zile 5 kwa 1 Aishi Manula nae anapitia Adhabu hii hii ya Kisaikolojia japo Mshahara wake anapewa kama kawaida.

Mtafute sasa kisha muangalie hata akiwa anaongea utagundua kuwa Aishi Manula hayuko sawa tena Kisaikolojia na akihojiwa anazuga kuwa bado yuko Majeruhi wakati ukweli ni kwamba Kapigwa Pini ya maana Kumkomoa.

Kudadadeki......Ubaya Ubwela.
Nyie si mnasema hamkomoagi wachezaji na kipindi kile cha Fei mlituambia mchezaji kama hana furaha aachwe, kumbe na nyie mnakomoa wachezaji.

Ila za ndani Manula anataka kwenda Azam kwa Mkopo na Azam wamesha waandikia barua na ndio maana kakataa kusafiri na timu.
 
Aliyekuwa Kocha wenu Mkuu Luc Eymael Raia wa Ubelgiji alisema ( ipo YouTube ) kuwa wana Yanga SC wote ni Mbwa, Sokwe na Nyani.
🐕
1000011361.jpg
 
Sikutegemea ndani ya simba yangu kuna watu wenye akili smart za kuwaza kwa kina kama huyu mdau. Nakuahidi hutajibiwa na jibu smart zaidi ya kejeli, heshima kwako Rage
Kwako Wewe huyo Juha ndiyo ana Akili? au nawe pia ni Juha Mwenzake?
 
Aliwasema Simba SC ambao hata hajawahi Kuwafundisha au alikuwa anawasema nyie Yanga SC aliyowafundisha?
Hahahahaha suala u umbwa hata mm naona ni watanzania wote tu,we tulia soma post zako /zenu vzr utaona ujibwa wenu ulipo
 
Hahahahaha suala u umbwa hata mm naona ni watanzania wote tu,we tulia soma post zako /zenu vzr utaona ujibwa wenu ulipo
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC Luc Eymael Raia wa Ubelgiji alisema ( ipo YouTube ) kuwa wana Yanga SC wot ni Mbwa, Sokwe na Nyani. Je, unaweza kusema labda ni wapi Watu wa Simba SC alituita Mbwa, Nyani na Sokwe? Naanza Kukudharau....!!
 
Back
Top Bottom