Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Au sio alogwe tena😃😃😃😃😃😅🤣🤣Naunga mkono Hoja yako. Huyu Mpuuzi Kibu Denis anatakiwa Akomolewe zaidi ya hapa na ikibidi hata Kurogwa Arogwe.
Kweli ubaya ubwela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sio alogwe tena😃😃😃😃😃😅🤣🤣Naunga mkono Hoja yako. Huyu Mpuuzi Kibu Denis anatakiwa Akomolewe zaidi ya hapa na ikibidi hata Kurogwa Arogwe.
Sisi ndio wanaume angalau tunaweza kukustiri maana umeshakuwa mshangazi, alafu usivyo na akili eti unatutana, khaaWewe hizo Akili zako za Kupiga Mluzi / Kubinua Mchanga ndiyo unaona ni Akili za Kujivunia?
Sawa Mpiga Mluzi / Mbinua Mchanga / Msukuma Ukuta.Sisi ndio wanaume angalau tunaweza kukustiri maana umeshakuwa mshangazi, alafu usivyo na akili eti unatutana, khaa
kwahyo uaiambiwe wew nani?Kamuelimishe Msemaji wa Simba SC Ahme Ally aliyesema hivyo na Nimemnukuu. Acha Kuwashwawasha nami sawa?
hahahahaha kwahyo jamaa ni mshangazi?Sisi ndio wanaume angalau tunaweza kukustiri maana umeshakuwa mshangazi, alafu usivyo na akili eti unatutana, khaa
Hiyo pesa ukii convert kwa hela ya kibongo ni 2.5 trillion ni ukweli Kaka ???Klabu ya Simba SC ( kupitia Msemaji wake ) imesema kuwa kwa Klabu yoyote ambayo inamtaka Kibu Denis basi Dau la Kumsajili ni Dola za Kimarekani Bilioni Moja tu.
Si mnajifanya Wajanja kwa kutaka aende Norway kwa muda kisha Dirisha dogo arejee Kwenu Mafurikoni sasa Price Tag yake ni Dola hizo za Kimarekani Bilioni Moja.
Uzeni Magodoro yenu na Juice zenu Uchwara muipate hiyo Hela kisha mje Kumsajili. Mmeshashtukiwa na wenye Akili kuwazidi kuwa Jeuri hii yote mko nyuma yake.
Kudadadeki......Ubaya Ubwela tu.
Atakula mshahara wa bure ila mkataba ukiisha sio kibu yule tena,hasara itakua kubwa kwake kuliko kwa simba.Kwa hiyo Kibu Denis anarejea Simba kuja kucheza au kukaa benchi huku akila mshahara wa bure?
Aliyetuloga wanasimba huenda naye kalogwa.
Shoboka tena nami nikuripoti upewe BAN nyingine sawa?kwahyo uaiambiwe wew nani?
Do you really expect that 'authentic nincompoop' to Understand you?Atakula mshahara wa bure ila mkataba ukiisha sio kibu yule tena,hasara itakua kubwa kwake kuliko kwa simba.
Kabla hapaja kucha lazima mtoane ngeu.Klabu ya Simba SC ( kupitia Msemaji wake ) imesema kuwa kwa Klabu yoyote ambayo inamtaka Kibu Denis basi Dau la Kumsajili ni Dola za Kimarekani Bilioni Moja tu.
Si mnajifanya Wajanja kwa kutaka aende Norway kwa muda kisha Dirisha dogo arejee Kwenu Mafurikoni sasa Price Tag yake ni Dola hizo za Kimarekani Bilioni Moja.
Uzeni Magodoro yenu na Juice zenu Uchwara muipate hiyo Hela kisha mje Kumsajili. Mmeshashtukiwa na wenye Akili kuwazidi kuwa Jeuri hii yote mko nyuma yake.
Kudadadeki......Ubaya Ubwela tu.
Anafikiri simba itapata hasara ,,simba ipo toka 1930s na pengine itakuepo hadi mwisho wa dunia ila Kibu hawezi cheza mpira hata kwa miaka 20. Ili apate tena hela kama hii au zaidi ambayo kaipata sasa, ni kwasababu alikua anacheza na Simba ilimuamini. Ndo maana wachezaji wenye akili akipigwa benchi anaomba kuhama kwasababu anajua asiponekana ataua kiwango ,carier yake na mwisho atakosa hata ile pesa ndogo aliyokua anapata.Do you really expect that 'authentic nincompoop' to Understand you?
Kwa Bangi / Bange nyingi anazovuta kama asemavyo Mdogo wake wa Damu aishie Kawe nyuma ya Hoteli Kongwe ya Maifea ya Marehemu Mzee Shayo unategemea kweli kabisa huyu Juha awe na Uwezo huu mkubwa wa Akili ya ama Kukuelewa au Kuyajua haya yenye Athari kubwa Kwake na kwa Kiwango chake?Anafikiri simba itapata hasara ,,simba ipo toka 1930s na pengine itakuepo hadi mwisho wa dunia ila Kibu hawezi cheza mpira hata kwa miaka 20. Ili apate tena hela kama hii au zaidi ambayo kaipata sasa, ni kwasababu alikua anacheza na Simba ilimuamini. Ndo maana wachezaji wenye akili akipigwa benchi anaomba kuhama kwasababu anajua asiponekana ataua kiwango ,carier yake na mwisho atakosa hata ile pesa ndogo aliyokua anapata.
Hayo ni kwa mujibu wa hasira,chuki zenu na wivu wenu kwa wananchi.Aliyekuwa Kocha wenu Mkuu Luc Eymael Raia wa Ubelgiji alisema ( ipo YouTube ) kuwa wana Yanga SC wote ni Mbwa, Sokwe na Nyani.
Kwanini Luc Eymael aliwaiteni wana Yanga SC wote Mbwa, Sokwe na Nyani Mkuu? au labda kuna Kitu alikiona huko Kwenu?Hayo ni kwa mujibu wa hasira,chuki zenu na wivu wenu kwa wananchi.
Kama mlivyo nyie na wazaz wenu MAMMBWA NA MANYANI..by Luc Eymael.Rage alisema wengi wenu ni mbumbuu[emoji23]
Mkuu unaielewa vizuri dola bilioni moja au ume quote vibaya?Klabu ya Simba SC ( kupitia Msemaji wake ) imesema kuwa kwa Klabu yoyote ambayo inamtaka Kibu Denis basi Dau la Kumsajili ni Dola za Kimarekani Bilioni Moja tu.
Si mnajifanya Wajanja kwa kutaka aende Norway kwa muda kisha Dirisha dogo arejee Kwenu Mafurikoni sasa Price Tag yake ni Dola hizo za Kimarekani Bilioni Moja.
Uzeni Magodoro yenu na Juice zenu Uchwara muipate hiyo Hela kisha mje Kumsajili. Mmeshashtukiwa na wenye Akili kuwazidi kuwa Jeuri hii yote mko nyuma yake.
Kudadadeki......Ubaya Ubwela tu.
Sisi ndio wanaume angalau tunaweza kukustiri maana umeshakuwa mshangazi, alafu usivyo na akili eti unatutana, khaaWewe hizo Akili zako za Kupiga Mluzi / Kubinua Mchanga ndiyo unaona ni Akili za Kujivunia?
Anajichetua tu lakini ni mshangazi sio jamaa huyo ni demuhahahahaha kwahyo jamaa ni mshangazi?
Kwani kuna wachezaji wangapi wanakaa benchi na wanalipwa?KIBU NANI?Kwa hiyo Kibu Denis anarejea Simba kuja kucheza au kukaa benchi huku akila mshahara wa bure?
Aliyetuloga wanasimba huenda naye kalogwa.
... Can I Dare To Talk Openly?Klabu ya Simba SC ( kupitia Msemaji wake ) imesema kuwa kwa Klabu yoyote ambayo inamtaka Kibu Denis basi Dau la Kumsajili ni Dola za Kimarekani Bilioni Moja tu.
Si mnajifanya Wajanja kwa kutaka aende Norway kwa muda kisha Dirisha dogo arejee Kwenu Mafurikoni sasa Price Tag yake ni Dola hizo za Kimarekani Bilioni Moja.
Uzeni Magodoro yenu na Juice zenu Uchwara muipate hiyo Hela kisha mje Kumsajili. Mmeshashtukiwa na wenye Akili kuwazidi kuwa Jeuri hii yote mko nyuma yake.
Kudadadeki......Ubaya Ubwela tu.