Kibu ameyatimbahakuna alichoambiwa.zaidi anatakiwa arudi kambini.kwani timu gani inayomtaka kibu?
Kumbuka kibu ameingia mkataba na simba miaka 2.
nilisema kibu LAZMA ATARUDI SIMBA kama sio kucheza basi atarudi kuomba KUONDOKA.alikuwa anajitekenya mwenyewe tu.dunia ya sasa hauwezi kuhama timu kienyeji.
Nyuma mwiko wana roho mbaya sana.Hujui hiyo adhabu ni mbaya sana, mchezaji kukaa nje muda mrefu kunamuharibu kisaikolojia na match fitness anapoteza, hii itasababisha kushusha kiwango chake na mwishowe thamani yake sokoni itashuka pia, usijekushangaa hao waliomdanganya sasa hivi wakamkimbia baadae.
Hafai mchezaji hivyo anayeweza kurubuniwa. Kumbuka ile issue ya Ngoma wakati Hersi anamuelezeaSi nyie wenyewe mumemshobokea hadi mkamuingiza chaka?
Kutukana ni kushindwa hoja na malezi mabovu uliyoyapata kutoka kwa wazazi wako.Wewe nae ni kei tu kwani alishikiwa bunduki kusaini maktaba mpya.Hivi kumbe wajinga mpo wengi
Mimi ni shabiki wa Simba tangu 1978. Ni mwanachama wa Simba tangu 1984! Wewe je?Itakua ume anza kufatilia mpira jana jioni
Hakuna aliyempa laana ila huyo dogo ana ufala tena nilishangaaa alivyotoa shombo kwa yule meneja ambaye alihojiwa na wasafi,pale ndo nikaona upuuzi wake.Mbona laana kama zote,mwombeeni baraka nanyi mbarikiwe.Mkimlaani nanyi mtalaaniwa.
Yule mrundi ni mshamba sana sijui hata kama amesoma hata darasa moja, huwezi kudanganywa kijinga vile na ukajaa, umesaini mkata mpya hata hujaanza kuutumikia unafikiri kutoroka kwenda kucheza nje , ni akili matope kabisa huyu, ngoja dunia imfunze. Alikuwa na uwezo wa kukataa kabisa kuongeza mkataba Simba na mambo yake yangenyooka lakini karamu mbili zilimshinda fisi.Hakuna aliyempa laana ila huyo dogo ana ufala tena nilishangaaa alivyotoa shombo kwa yule meneja ambaye alihojiwa na wasafi,pale ndo nikaona upuuzi wake.
Nitakachosikitika unaweza kukuta kuna stori ya uongo ikaandaliwa na viongozi ili kumsafisha KIBU na akarudi kucheza, pale tuna viongozi wa hovyo kuliko hovyo yenyewe ndo maana hata Chama aliisumbua sana club au makocha katikati ya msimu ataacha timu halafu utaambiwa kaenda kusoma kozi fupi🚮Yule mrundi ni mshamba sana sijui hata kama amesoma hata darasa moja, huwezi kudanganywa kijinga vile na ukajaa, umesaini mkata mpya hata hujaanza kuutumikia unafikiri kutoroka kwenda kucheza nje , ni akili matope kabisa huyu, ngoja dunia imfunze. Alikuwa na uwezo wa kukataa kabisa kuongeza mkataba Simba na mambo yake yangenyooka lakini karamu mbili zilimshinda fisi.
Kabiiiiiiiiiisa lo.
manara alisema utopolo hawana akili isipokuwa Jkikwete na sunday manara basiiiiiiRage alisema wengi wenu ni mbumbuu😂