Tetesi: Safisha safisha yaanza serikalini na idara zake

hivi watu wanamwangusha au anajiangusha mwenyewe!? ili ule usemi wa nyani haoni kundule utimie kwakuwa yeye hayupo wa kumtumbua kwa katiba yetu zaifu tuliyonayo
 
Hivi mushumbusi na slaa ni mabalozi wa nchi gani??
 
Mmmm

Mtazamo wako tu.

July majuzi kabadili madc na marc wawaza ateue Tena??

Nadhani hata wangeshuka MALAIKA kwenye uwanja IMPOSSIBLE jukumu lingewashinda. Panda mbegu bora na mimea yake uitunze, tena ipasavyo, then hata mavuno yake uyalinde yasipotee. Hapo utajihakikishia UPATIKANAJI wa lishe toka kwa mavuno yale. Else, hakuna kitu hapo. Hata iweje. Never ever! Haijawahi tokea. However, history has that nasty propensity for repeating ..... tunalijua hilo. Just a fact. Watch this space
 
Hata hii inaweza isimhusu, labda kwakuwa yule mwingine ni RAS pale TBR
 
sure, kuna kitu hakiko sawa awaondoe na hapo hazina pia awatazame wale wa mifuko ya hifadhi ya jamii pote kuna tatizo bila kusahau BRELA na TIC wote wanasuasua sana.
Mimi nilifikiri HAPA KAZI TU ilivyoingia kwa mbwembwe, baada ya miaka mitatu tusingekuwa bado tunahangaika na kuteu asubuhi na kutengua jioni!! What went wrong with HAPA KAZI TU (management na leadership vimeshindwa kutangamana?)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…