The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kijiji kikubwa cha Wavuvi cha Mwanza haliwezi fikia Miji yenye hadhi kama Arusha 👇Sheikh hawa vijana waache dharau na misifa isiyokuwepo.
Baada ya miaka miwili watakuja kutuambia babati ni zaidi ya Dubai 🤣
Kuifananisha jiji la mwanza na kijiji cha arusha ni kuikosea heshima kanda ya ziwa.
Kijiji kikubwa cha Wavuvi cha Mwanza haliwezi fikia Miji yenye hadhi kama Arusha 👇
View attachment 2203516
View attachment 2203517
View attachment 2203518
View attachment 2203521
View attachment 2203522
View attachment 2203523
View attachment 2203524
View attachment 2203525
View attachment 2203526
View attachment 2203527
View attachment 2203528
View attachment 2203529
View attachment 2203530
View attachment 2203531
View attachment 2203532
View attachment 2203533
View attachment 2203534
View attachment 2203535
😂😂😂😂 Baada ya kibinyo,tuonyeshe vigorofa vipya kutoka fishing town yenu.Kila siku mnatuwekea vigorofa vile vile, vimechakaa, vyakizamani,,,hapo katikati minyumba tangu enzi za mwinyi kama ckosei. Arusha bado sana kwa mwanza. Labda mujilinganishe na mikoa mingine mzehe.
😂😂😂😂 Baada ya kibinyo,tuonyeshe vigorofa vipya kutoka fishing town yenu.
Nikajua umeweka picha hata ya barabara kumbe ni maumivu 😆😆
Kama Jiwe 😂😂Wasukuma sio watu wa kujisifu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣😂😂hii nchi ngumu sana umenikumbusha majambazi wa njiro containerBila kusahau sifa ya majambazi hatari yametokea huko!
Ni miaka 10 tu imepita tangu mji huu maarufu kama Geneva of Africa utangazwe kuwa jiji.
Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, lakini licha ya upya wake.
Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za Private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania sambamba na international schools.
Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.
Arusha inaongoza kwa kuwa na vyuo vya kimataifa vingi mf. Esami, TMA, na Nelson Mandela
Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.
Ujenzi wa satellite cities ambazo zimepimwa kwa asilimia 100 mf. Safari city na Bondeni city
Ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotosheleza Arusha yote na maeneo ya jirani sambamba na ujenzi wa sewage system unaoufanya kuwa mji wa kwanza nchini kuunganishwa na sewage system mji mzima.
Usafiri wa haraka kutoka sehemu moja hadi nyingine.
Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.
Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.
Kuzungukwa na kambi nyingi za Jeshi mf. Makuyuni, Ngaramtoni, Moshono, Oljoro na Duluti
Ufikaji wa urahisi Arusha kutoka kwenye miji mikubwa ya jirani mf. Nairobi, Mombasa, Dar es salaam na mji wetu mkuu Dodoma
Pia ni katikati ya Barabara ya mwanzo kabisa kuunganisha miji mikuu miwili ya utawala wa waingereza barani Afrika yaani Cape town na Cairo na kuwa na alama yake pale Clock tower jijini Arusha.
Uwepo wake karibu na vivutio bora zaidi vya utalii duniani ikiwemo mt. kilimanjaro, serengeti na ngorongoro
Bila kusahau leisure & conference facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nchi yetu.
Zote hizi zimeshawishi uwepo wa ofisi kuu za mashirika na taasisi kubwa za ndani na nje ya nchi kama vile EAC, Mahakama ya Afrika, Papu, Tanapa n.k
Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.
View attachment 2038839
View attachment 2038840
View attachment 2038841
View attachment 2038842
View attachment 2038843
.
View attachment 2043041
Iyo ni nchi nzima bossMaisha ya watu wa kawaida ni magumu jombaa acha kabida
Kabisa ,mimi mwenyewe Nyumbani kwangu ukija hutotamani kuondoka
Well maintained attractive place
Arusha ndio number 1kwa sasa Tz
Tungekuwa na Bandari hii nchi ingekuwa
Mji mmoja Kama huko Canada TORONTO 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mi
Arusha ni mji wa kistaarabu sana Tanzania nzima hakuna mfano wake. Mji unaozoea kupokea watalii kila mwaka ni lazima uwe na mvuto fulani wenye sifa tofauti.Ni miaka 10 tu imepita tangu mji huu maarufu kama Geneva of Africa utangazwe kuwa jiji.
Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, lakini licha ya upya wake.
Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za Private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania sambamba na international schools.
Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.
Arusha inaongoza kwa kuwa na vyuo vya kimataifa vingi mf. Esami, TMA, na Nelson Mandela
Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.
Ujenzi wa satellite cities ambazo zimepimwa kwa asilimia 100 mf. Safari city na Bondeni city
Ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotosheleza Arusha yote na maeneo ya jirani sambamba na ujenzi wa sewage system unaoufanya kuwa mji wa kwanza nchini kuunganishwa na sewage system mji mzima.
Usafiri wa haraka kutoka sehemu moja hadi nyingine.
Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.
Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.
Kuzungukwa na kambi nyingi za Jeshi mf. Makuyuni, Ngaramtoni, Moshono, Oljoro na Duluti
Ufikaji wa urahisi Arusha kutoka kwenye miji mikubwa ya jirani mf. Nairobi, Mombasa, Dar es salaam na mji wetu mkuu Dodoma
Pia ni katikati ya Barabara ya mwanzo kabisa kuunganisha miji mikuu miwili ya utawala wa waingereza barani Afrika yaani Cape town na Cairo na kuwa na alama yake pale Clock tower jijini Arusha.
Uwepo wake karibu na vivutio bora zaidi vya utalii duniani ikiwemo mt. kilimanjaro, serengeti na ngorongoro
Bila kusahau leisure & conference facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nchi yetu.
Zote hizi zimeshawishi uwepo wa ofisi kuu za mashirika na taasisi kubwa za ndani na nje ya nchi kama vile EAC, Mahakama ya Afrika, Papu, Tanapa n.k
Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.
View attachment 2038839
View attachment 2038840
View attachment 2038841
View attachment 2038842
View attachment 2038843
.
View attachment 2043041
View attachment 2043076
Mazingira ya Arusha yanavutia kuliko ya mikoa mingine iliyobakia. Mzungu akishaishi sehemu anaibadilisha na inakuwa inavutia.Sijajua kwa nini Arusha ni jiji. Ukiona nyumba yoyote imeangalia lami nenda nyuma ya hizo nyumba utakuta nyumba za udongo, tena sio mbali we anzia Sanawari, mianzini, Kwa Iddi kote huko nyuma ya nyumba nzuri unakutana na za udongo na hii hali huwezi kuikuta Dar wala Mwanza. Hivi hiyo barabara ya clock tower kwenda Kisongo unaiweka kwenye viwango vya barabara za Dar na Mwanza?
Hizo Hotel zinazoongelewa zinadaiwa maana zilishafilisika ni majengo yamebaki. Si unajua anguko la Snow crest, Impala, Ngurdoto, ile ya Sanawari yenye vioo vya bluu. Nenda Mwanza uone jinsi wenye Hotel na guest house walivyo wakarimu wanakupeleka hotelini au guest house na kukurudisha stand kwa gharama zao. Hili huwezi kulikuta Arusha wala Dar na hakuna hoteli iliyofilisika.
Hivyo viwanja vya Ndege angalia takwimu za abiria kwenye viwanja vya Tanzania uone ni uwanja gani unaingiza pesa nyingi.
Angalia stendi ya mabasi ya Singida na ya Arusha ipi bora, Soko la Kilombero na la Magomeni lipi bora?
Nafikiri ungeangalia takwimu na kutembelea nchi hii kwanza la sivyo hoja bila takwimu ni kufurahisha jukwaa.
Dar lazima ukae vizuriNi kweli Arusha ni pazuri ila mimi kusema kweli palinikataa lile vumbi na baridi la pale! Hapana Dar ndo naona nikikaa nakaa vizuri!
🤣🤣Dar lazima ukae vizuri
Kabisa💝Mazingira ya Arusha yanavutia kuliko ya mikoa mingine iliyobakia. Mzungu akishaishi sehemu anaibadilisha na inakuwa inavutia.
Mdazi naona unacheka ukiona Arusha ikipewa sifa za kinafiki😁😁😁