Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanza sehemu gani?Itakuwa hujafika mwanza wewe
Home thweeet home
View attachment 2039352
wamepaboresha mno sasa hivi barabara nyingi ni lami tu
kuanzia mjini hadi ngusero
mjini hadi njiro atomic
chekereni hadi usa
barabara zote za levolosi ngarenaro na makao mapya sasa ni lami tu
karibu tena Arusha hakika utapapenda sana
Utakua mla chips wa dar wewe.Bila kusahau sifa ya majambazi hatari yametokea huko!
Una chuki binafsi mkuu au hujatembea Arusha?Arusha kwenye barabara tu mko vizuri. Kwingine huko ushuzi m2pu. Mjini vinyumba vya kizamani bora hata ya kahama
Ushakuwa mwarusha wewe[emoji28]Home thweeet home
View attachment 2039352
Kahama ni utopolo mtupuCha kwangu kama hakikidhi siwezi cfia,,,lakini wa kaskazini most of them ni kucficfia tu, mara oh moshi inastahili kuitwa jiji [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnalijuwa jiji ninyi!!! Na kahama iitweje?
Lami ishapigwa huko kitamboUkiondoa hali nzuri ya hewa, Arusha ni jiji la ovyo kabisa. Nyumba za ovyo zipo hadi ndani ya CBD, barabara ni nyembamba na hazina hadhi. Barabara nyingi hazina lami nenda makao mapya uone vumbi la ugoro. Arusha ndani ya miaka 60 ya uhuru inafaa kuitwa squalor of Africa
Mkuu nenda utaiona, sio baridi kama za miji mingine.Hali ya hewa ya kustajabisha ndo ipoje?
Kwa hiyo hizo ndio barabara za mitaa ya Mwanza sio? 😂😂Barabara ya kilimahewa to nyasaka.
Barabara ya sabasaba buswelu via kanyerere
Barabara ya kisesa usagara
Barabara ya nyakato busweru to kahama
Barabara ya iseni to sauti
Barabara ya mkuyuni butimba nk nk
Zipo barabara nyingi sana mwanza
Mkuu Dar ni no. 1 hata mleta hoja amesoma, anaiweka AR NO. 2 hapa nchiniNi kweli Arusha ni pazuri ila mimi kusema kweli palinikataa lile vumbi na baridi la pale! Hapana Dar ndo naona nikikaa nakaa vizuri!
Mkuu kama sio Awamu ya Tano hiyo miji ingepitwa hata na MakambakoMimi nimefika Arusha ila sioni maajabu. Zaidi ya serikali kulazimisha kuufanya mji wa utalii na makao makuu ya EAC hakuna kingine kipya.
Soon inapitwa hata na Dodoma.
Nielekezeni basi niende wapi ila nijue kweli Arusha ni hatari.
Una chuki binafsi mkuu au hujatembea Arusha?
Nina makazi arusha, mwanza, na dsm. Unasema kweli kuhusu nyumba za udongo kuwepo ndani ya jiji. Nimeona hilo ungalimited, sakina kibanda maziwa, kona esso, kona Nairobi, soko mjinga, Ostabei, daraja mbili, bwawa la mavi, olasiti, maeneo ya radio safina, etcSijajua kwa nini Arusha ni jiji. Ukiona nyumba yoyote imeangalia lami nenda nyuma ya hizo nyumba utakuta nyumba za udongo, tena sio mbali we anzia Sanawari, mianzini, Kwa Iddi kote huko nyuma ya nyumba nzuri unakutana na za udongo na hii hali huwezi kuikuta Dar wala Mwanza. Hivi hiyo barabara ya clock tower kwenda Kisongo unaiweka kwenye viwango vya barabara za Dar na Mwanza?
Hizo Hotel zinazoongelewa zinadaiwa maana zilishafilisika ni majengo yamebaki. Si unajua anguko la Snow crest, Impala, Ngurdoto, ile ya Sanawari yenye vioo vya bluu. Nenda Mwanza uone jinsi wenye Hotel na guest house walivyo wakarimu wanakupeleka hotelini au guest house na kukurudisha stand kwa gharama zao. Hili huwezi kulikuta Arusha wala Dar na hakuna hoteli iliyofilisika.
Hivyo viwanja vya Ndege angalia takwimu za abiria kwenye viwanja vya Tanzania uone ni uwanja gani unaingiza pesa nyingi.
Angalia stendi ya mabasi ya Singida na ya Arusha ipi bora, Soko la Kilombero na la Magomeni lipi bora?
Nafikiri ungeangalia takwimu na kutembelea nchi hii kwanza la sivyo hoja bila takwimu ni kufurahisha jukwaa.
Mashamba ya kahawa yako karibu na jiji kabisaaa yaani unashuka kwenye ndege unakutana na Mashamba. Hii imefanya mji kuwa mdogo. Arusha uzuri wake hali ya hela ila kuna vumbi balaaaaa. Sekta ya hotel kwa sasa imeshuka kwa mimi ninavyoona Nadhani wanasiasa na corona wamechangia hilo. Nasikia na soko la madini wamepeleka madini yanakotoka (manyara) kama kweli basi hili nalo ni pigo kwa sekta ya hotel.Uko sahihi. Mkoa wa Arusha ulitakiwa kujengwa zaidi lakini naona kama mashamba ya kahawa yamesogelea sana jiji. Mji ulitakiwa upanuke kuelekea Ilboru, Elkinding'a n.k. Tatizo ni kwamba watu wengi wanafikiri wanaojenga mji ni wazawa wa lile eneo lile. Mji unajengwa kwa kuwekewa miundombinu na Serikali halafu wanakuja wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi.
Ni kweli nyasaka imepimwa inapendeza kwa kiasi chake kuanzia nyasaka center, zenze, nsumba, hadi PPF kiseke alikokuwa anaishi John Mongela. Huko kigamboni dar es salaam ndo usiseme nadhani dar kwa sasa kigamboni wamejitahidiDar es Salaam/Mwanza nk imepimwa kigamboni/ Nyasaka na maeneo mengine kwa njia ya kukopa Bank na limefanyika kwa mafanikio makubwa sana. Serikali ikainingila kati na kulisimamisha.
Mashamba ya kahawa yako karibu na jiji kabisaaa yaani unashuka kwenye ndege unakutana na Mashamba. Hii imefanya mji kuwa mdogo. Arusha uzuri wake hali ya hewa ila kuna vumbi balaaaaa. Sekta ya hotel kwa sasa imeshuka kwa mimi ninavyoona Nadhani wanasiasa na corona wamechangia hilo. Nasikia na soko la madini wamepeleka madini yanakotoka (manyara) kama kweli basi hili nalo ni pigo kwa sekta ya hotel.