Sahihi kusema Arusha ndio Jiji bora Tanzania?

Sahihi kusema Arusha ndio Jiji bora Tanzania?

Hahaha unatukama bure tu! Hiyo Mbeya yako kama Mtaa wa Buzuruga tu! Kwa kifupi Mbeya hamna maajabu! Kwa taarifa yako Mbeya ina nyumba mbovu nyingi za tope fala wewe! Hata halo Mbalozi tope tupu! Kahama inayo hayo majengo yako uchwara mengi tu!
 
Hahaha unatukama bure tu! Hiyo Mbeya yako kama Mtaa wa Buzuruga tu! Kwa kifupi Mbeya hamna maajabu! Kwa taarifa yako Mbeya ina nyumba mbovu nyingi za tope fala wewe! Hata halo Mbalozi tope tupu! Kahama inayo hayo majengo yako uchwara mengi tu!
Acha kufananisha buzuruga na ujinga hiyo mbeya kailinganishe na sehemu nyingine.
 
Hahaha unatukama bure tu! Hiyo Mbeya yako kama Mtaa wa Buzuruga tu! Kwa kifupi Mbeya hamna maajabu! Kwa taarifa yako Mbeya ina nyumba mbovu nyingi za tope fala wewe! Hata halo Mbalozi tope tupu! Kahama inayo hayo majengo yako uchwara mengi tu!
We kenge tuu,huwezi Kuta mazizi ya nguruwe kama haya ya Mwanza kwa Mbeya..👇

Screenshot_20220501-203844.png


stock-photo-mwanza-tanzania-november-small-houses-on-the-hills-near-lake-victoria-in-mwanza-on...jpg
 
Wewe mwanza kuwa na nyumba hiyo sibishi ila ujue hizo sio za tope kama za kwenu! Ukumbuke Mbeya haitakaa iisogelee mwanza hata nusu! Garagara uwezavyo hiyo mbeya kwa mwanza ni mtaa tu! Nenda ukatembelee mwanza kama utarudia kuchangia ujinga wako hapa!
Sio nyumba hizo ni mazizi ya nguruwe.Kwa taarifa yako nyumba unazoita za tope kwa Mbeya zina miaka Zaidi ya 100 ziko imara..

Udongo wa Mbeya ni mtamu Sana ukifyatua tuu imetosha wala huhitaji kuchoma tofati wala kujengea simenti,udongo wenyewe ni Jiwe tosha kwa hiyo tutaendelea kujengea hivyo Kwa sababu ni imara na less costful.
 
Sio nyumba hizo ni mazizi ya nguruwe.Kwa taarifa yako nyumba unazoita za tope kwa Mbeya zina miaka Zaidi ya 100 ziko imara..

Udongo wa Mbeya ni mtamu Sana ukifyatua tuu imetosha wala huhitaji kuchoma tofati wala kujengea simenti,udongo wenyewe ni Jiwe tosha kwa hiyo tutaendelea kujengea hivyo Kwa sababu ni imara na less costful.
Acha ujinga! Mbeya nyinyi hamuwezi fanana na mikoa kama Mwanza hata mjiue! Kwanza angalia tu hata hapa town Dar mwenyeji wa mbeya na uifananishe wenyeji wa mwanza na arusha kiutafutaji! Maendeleo ya sehemu yanategemea sana jamii yenyewe inajitumaje kiutafutaji! Mlibahatika kuwa na elimu mapema ila hamkuwekeza kwenu! Sasa hivi watu wa mwanza wako vizuri kila idara hata huko kwenu kwenye kilimo wengi ni watu wa mwanza hata kwenye madini pia! Endelea kujilisha upepo! Watu wako kimya ila usiwachukulie poa!
 
Acha ujinga! Mbeya nyinyi hamuwezi fanana na mikoa kama Mwanza hata mjiue! Kwanza angalia tu hata hapa town Dar mwenyeji wa mbeya na uifananishe wenyeji wa mwanza na arusha kiutafutaji! Maendeleo ya sehemu yanategemea sana jamii yenyewe inajitumaje kiutafutaji! Mlibahatika kuwa na elimu mapema ila hamkuwekeza kwenu! Sasa hivi watu wa mwanza wako vizuri kila idara hata huko kwenu kwenye kilimo wengi ni watu wa mwanza hata kwenye madini pia! Endelea kujilisha upepo! Watu wako kimya ila usiwachukulie poa!
Wewe ni kajinga kweli,huo huo mkoa wenu uliojaaa maskini ndio uulinganishe na Mbeya?

Yaani mkoa ambao mjini ni hapo Mwanza mjini ndio uje ulinganishe na Mbeya yenye fursa kila Wilaya na kote ni kutamu?

Yaani ulinganishe Nansio sijui Kwimba na Kyela au Tukuyu? Acha utoto..

Utafutaji upi wewe unauzungumzia wakati living standards ya Mbeya iko juu kuliko Mwanza?

Barabara za kisasa dual carriage roads mtaishia kuziona kwenye TV na kwenye miji kama Mbeya,Arusha,Dom na Dar 👇

Screenshot_20220408-210924.png
 
Wewe ni kajinga kweli,huo huo mkoa wenu uliojaaa maskini ndio uulinganishe na Mbeya?

Yaani mkoa ambao mjini ni hapo Mwanza mjini ndio uje ulinganishe na Mbeya yenye fursa kila Wilaya na kote ni kutamu?

Yaani ulinganishe Nansio sijui Kwimba na Kyela au Tukuyu? Acha utoto..

Utafutaji upi wewe unauzungumzia wakati living standards ya Mbeya iko juu kuliko Mwanza?
Wewe endelea kubweka uwezavyo! Mwanza hamtakaa muifikie kwa chochote juu ya maendeleo! Mlishindwa kutumia fursa mnahangaika!Huko tukuyu wawekezaji wakubwa ni wasukuma tukuyu mpaka Mbarari unalijua hilo! Nimekwbia watu wa Mbeya hawana maajabu! Nenda hapo Kahama au geitaau mwanza ukaone watu walivyo na pesa ujilinganishe na vijana wa huko kwenu mbeya utalia na kusaga meno!
 
Wewe endelea kubweka uwezavyo! Mwanza hamtakaa muifikie kwa chochote juu ya maendeleo! Mlishindwa kutumia fursa mnahangaika!Huko tukuyu wawekezaji wakubwa ni wasukuma tukuyu mpaka Mbarari unalijua hilo! Nimekwbia watu wa Mbeya hawana maajabu! Nenda hapo Kahama au geitaau mwanza ukaone watu walivyo na pesa ujilinganishe na vijana wa huko kwenu mbeya utalia na kusaga meno!
😁😁😁😁 Kama kawaida wazee wa maneno ila facts hamna haaaaa..

Hiyo ni trailer tuu nilikuwa Nakuonyesha kwamba nyie labda mtashindana na Moshi 👇

FQUfLUaX0AYSAbD.jpeg
 
Moshi/arusha kwa wapambanaji! Hata wako wanajua mwanza/Kahama kwa wapambanji wenzao! Yaani ulishawahi kukuta Mchaga anahangaika na watu wa Mbeya? Mchaga anapambana na watu wa kanda ya ziwa wasukuma wahaya na wakurya! Wewe endelea kujengea nyumba za tope tu huma maana!
😁😁😁😁 Kama kawaida wazee wa maneno ila facts hamna haaaaa..

Hiyo ni trailer tuu nilikuwa Nakuonyesha kwamba nyie labda mtashindana na Moshi 👇

View attachment 2207834
 
Moshi/arusha kwa wapambanaji! Hata wako wanajua mwanza/Kahama kwa wapambanji wenzao! Yaani ulishawahi kukuta Mchaga anahangaika na watu wa Mbeya? Mchaga anapambana na watu wa kanda ya ziwa wasukuma wahaya na wakurya! Wewe endelea kujengea nyumba za tope tu huma maana!
Kwa hiyo mkipambana ndio mnaishia kujenga mabanda ya nguruwe milimani? 🤣🤣🤣🤣
 
mji bila bahari au ziwa sio mji kwa mfano Nairobi kukosa ziwa au bahari si kitu kabisa kitoweo kitoke mombasa au kisumu wapi na wapi
 
labda kwa miti ya vivuli sawa lakini jakuna cha ajabu
 
Kwenye Africa International Cities hivi mwanza nayo inajulikana Kama ni city?

Waliyoipa hadhi ya jiji wakamatwe washitakiwe.
 
Umetoka kwenye ubaguzi wa ukanda na ukabila mmeanza na udini, kwa hiyo christians kujazana huko Arusha ndio utajiri? Kweli nyinyi watu wa Arusha mnamatatizo sana. Mwanza inajengwa na wakristo na waislamu na hatuna ubaguzi wa kidini wala kabila.
Nimelezea uwingi tu wa watu we vp??!imekuuna mbona hata mwanza wakaazi wengi ni wakristo jinyonge kabisaa ndugu coz waislam wengi pwani tu🤣🤣😂😂😂
 
Back
Top Bottom