TANZIA Said Akachube (Akachube Road) ambaye ni muuza magari maarufu DSM afariki dunia

Hivi Niminia ndo Deportivo au Ni tofauti jamani
 
Weka picha
 
Aisee kila siku nina zidi kuhisi jinsi maisha yalivyo mafupi!
Mungu angalau ange tupa nafasi ya kuaga ndugu na marafiki!
Tuishi kwa upendo tuu, tulishaambiwa siku zetu duniani ni chache na zimejaa dhiki
 
Ni lini watu waliacha kufa kwa Nimonia hadi mlete taarifa kwa bashasha namna hii? Kipi kimewafurahisha?
 
Haya wahi malimao na tangawizi
 
sijawahi kuona umuhimu wa kuvaa hizo barakoa zaidi ya kutesana tu na kushindwa kupumua
 
2017 tulienda kuchukua Harrier old model na mjomba,kwakweli maisha hayana thamani japo tunaitafuta mipesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…