ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Inasikitisha sana unaweza piga story na mtu leo kesho ukasikia amebebwa na corona....Duh tarehe 27/1 nilipiga naye supu mahali dah Mungu amlaze mahala pepema peponi!
Mwingine nusu saa tu ashaondokaInasikitisha sana unaweza piga story na mtu leo kesho ukasikia amebebwa na corona....
hii ngoma inakubeba fasta sana!
Duuh ona sasa! noma sana!
Hivi Niminia ndo Deportivo au Ni tofauti jamaniMuuza magari maarufu jijini Dar es Salaam, Akachube afariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Ndugu wa karibu wamesema amefariki kwa ugonjwa wa Nimonia.
Umaarufu wake ulipelekea mpaka kupewa barabara ya Akachube iliyopo Kijitonyama.
Mungu ailaze pema peponi roho yake.
Dah adi machozi yamenitoka maana kwenye tatizo la kupumua pesa haina msaada sana zaidi ya Mungu!Hii dunia tunapita tu binadam si lolote kabisa
Aise
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kashatoa kauli anasema fukizeni, kuleni ugali, limeni, chapeni kazi. Kuweni imara.Unajua inahitaji kauli moja tu ya Mh.Rais ,kuepusha watu na vifo hv
Aisee kila siku nina zidi kuhisi jinsi maisha yalivyo mafupi!Pole kwa kupoteza rafiki, duniani sio petu
Aisee hii kitu hii kwaherini in advance!Inasikitisha sana unaweza piga story na mtu leo kesho ukasikia amebebwa na corona....
hii ngoma inakubeba fasta sana!
Weka pichaMuuza magari maarufu jijini Dar es Salaam, Akachube afariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Ndugu wa karibu wamesema amefariki kwa ugonjwa wa Nimonia.
Umaarufu wake ulipelekea mpaka kupewa barabara ya Akachube iliyopo Kijitonyama.
Mungu ailaze pema peponi roho yake.
Tuishi kwa upendo tuu, tulishaambiwa siku zetu duniani ni chache na zimejaa dhikiAisee kila siku nina zidi kuhisi jinsi maisha yalivyo mafupi!
Mungu angalau ange tupa nafasi ya kuaga ndugu na marafiki!
Aisee niwatakie kwaheri ya mapema 😥Tuishi kwa upendo tuu, tulishaambiwa siku zetu duniani ni chache na zimejaa dhiki
Akachube > Agachube > I Got You Babe - By Boys II MenAkachyube
Ngoja nifute aisee Mungu atujalie sote afya njemaNaomba futa hii kauli yako kwanza
Mimi stakagi habari mbaya kama hizi, ila zikiwa njema leta
Kauli ya kuwaambia watu wasiumwe nimonia? Au kauli gani?Unajua inahitaji kauli moja tu ya Mh.Rais ,kuepusha watu na vifo hv
Kwani ipo? Umempima nani ukamkuta na Corona?Eti TZ hakuna corona!!!!
Kama kawaida binadamu kama halijampata. Kila mtu anaogopa kifo japo kuwa tunajuwa ni lazima utakufa tu. Hakuna shujaa katika kuumwa ugonjwa wowote lazima uchukuwe tahadhari na wala hakuna aliyesema ugonjwa huu wa maajabu ni kama kipindupindu hakuna mtu anadharau na ukidharau unakubeba tu. Corona kama magonjwa mengine tatizo lake hatujui tunagombana na nini wala adui hatumuoni. Hawa wengine sijui malaria, kipindupindu tunajuwa na tunamuona adui huyu bwana mkubwa Corona hatumuoni kimya kimya.
Ndiyo maana nakueleza ujisomee kabla ya kutoa chochote. Kwa tunachokizungumzia, ulitakiwa uwe na group la watu ambao wanatumia intervention/kinga dhidi ya wale wasiotumia then remove the biases.
Hapo ndoo utazugumza una data/ takwimu. Hii ni orodha tu isiyokupa chochote kwa tunalolizungumzia hapa.