Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

Ww ni chawa lake au........
Naona umeandika kipovu povu mwambie akununulie hata ist ukamringishie mkeo
 
Bado hakuna excuse YA ULIMBUKENI. Huyu pimbi bado hana hela na hajui ku-invest. Jamaa hajafika sekondari na alikuwa shoe shiner. Lazima avimbe sana
Kuna story niliwahi kuisikia kwamba alimuoa mtoto wa mkuu wa kaya (phase 4) ndo akaanzia kutobolea maisha hapo…., hivi ni kweli?! Na nilisikia kweli alikuwa shoe shiner baadae akawa dereva taxi 🤔
 
Hatari, kumbe na fidia kapewa.....hizi show-off hta za bakresa zpo mbaka yutube huko tena yy ndio balaa kabisaaa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…