Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

Mistari yako miwili ya chini imesema kitu kikubwa sana. Tukae tu kimya mkuu manaa huwezi isifia mvua hivhiv😁😁
 
Kuna mtu yuko kwenye mfumo tena yuko front kwenye misafara ya mama(jina kapuni)
Anawavua watu balaa...

Ova
Daaah, kama code znakuja tyar....lakn ni kweli walioko kwny mfumo ni balaa kabisaa......mengine tunayaona huku mtaani ni moto kabisaaa...alafu kuna kama ushindani sahv wa hizi mashine huko road ni balaaa kabisaaa

Ova
 
Bado hakuna excuse YA ULIMBUKENI. Huyu pimbi bado hana hela na hajui ku-invest. Jamaa hajafika sekondari na alikuwa shoe shiner. Lazima avimbe sana
Kuwa na hela na jinsi ya kuzitumia kufurahisha moyo ni vitu viwili tofauti.Acha avimbe. Hiyo nyumba ameombwa na ubalozi flani aiachie kwa kodi ya usd 40,000 KWA MWEZI amekataa.
 
Kuonesha magari anayemiliki siyo ulimbukeni
 
 
Siyo lazima uibe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…