Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
=sokomoko;185766]Kuhusu jibu la Majeshi kwenda Commoro nadhani Mwafrika wa Kike amekujibu na isitoshe hapa sio sehemu yake.
Mimi nilikuwa naongea na wewe na si Mwafrika wa Kike kwenye issue ya COMORO.Kama si mahala pake kwa nini uliropoka kuwa pesa zilitolewa na Libya au ndio attention seeking?
Hivi kati ya MwanaHalisi na JF na Mtanzania/Habari Corp na MwanaHalisi nani anae dismissing the validity of misinformation, misrepresentation, distortion, exaggeration, prevarication, equivocation, logical fallacy, ridicule, treachery calumny and lies
Both are bad but Mwanahalisi is by far the most TOXIC! The ideal MWANAHALISI story, intends to leave anyone reading it leave you hating someone or something -sometimes i wonder if this were MWANAHALISI'S a mission statement, and if it was then it shows remarkable consistency.The anger it stirs requires no action, no moral or intellectual effort, but simply confirms existing prejudices. Its victims are judged before they are given a chance to defend themselves and yes i think its a rag that we can do without.
Watu hao ni wengi lakini tunamshukuru Mungu wameshindwa kutudhibiti tulio na nia nzuri kwa taifa letu. Sisi tunasukumwa na uzalendo wao wanasukumwa na mafisadi kuzidi kulididimiza taifa letu utadhani wao hawaishi katika hii nchi.
Another misguided Patriotism rant.
M
alumbano hayana maana hoja iliyombele yetu ni kumsadia Saed Kubenea na MwanaHalisi. Ikiwa mtu hataki halazimishwi. Utachangia ukijisikia na kama mtu hajisikii kuchangia asijaribu kudivert mada maana hapa mada ni Kumsaidia Saed Kubenea na MwanaHalisi
It amazes me that for quite a few people, the Mwanahalisi is their main source of news on the world. Possibly an explanation for why they cant think critically.
The bottomline is this Mwanahalisi rag is a hateful, unconstructive, bigoted paper for hateful, unconstructive, bigoted people.Surely, JF members have better charities to give their money than this little twisted rag under the name of MWANAHALISI
mada sio dismissing the validity of misinformation, misrepresentation, distortion, exaggeration, prevarication, equivocation, logical fallacy, ridicule, treachery calumny and lies.
You cant come up with any thing new than quoting the same words i wrote before..this says alot about your journalistic standards. Not saying that RAI et al are better but in my opinion if MWANAHALISI were a car, it would be a VW Beattle, navy blue or green, stuck in the middle lane doing 60, not using mirrors, oblivious to reality while everyone else is forced to undertake/overtake/beep/flash. And of course, completely unable to reverse safely.
A joke: how do you confuse a Mwanahalisi reader?
Tell them KUBENEA (their alleged adulterous journalist) was on LOWASSA'S payroll...