Heshima mbele,
Mie Nashangaa watu wameaza kutambiaa badla ya kujibu Hoja iliyotolewa na Lunyugu,Naomba kuungana na allegetion zote zinazotolewa na GT hapo juu,cha msingi Kesi ismwe kwanza mahakamani na tutaangalia niin cha kufanya kuhusu hili.
mie nafikiri suala la busara litatumika kaika hili,tusubuirir tuone..tusiwe wa kwanaz akuanza kuchangia wakati suala liko ndio jikoni,
Tulishindwa kumuunga Mkono Mwanakijiji katika Kampeni za maalbino,iwe leo??..baadaye tuanawalaumuw anafunzi wa mlimani kwakushindwa kufanya jamba ambalo hapa Tumeshindwa.Tuwe tunaanzisha Michangao kwa Masuala megine yanayohusu maandeleo.
Rejea wakati Masha alipotaka kuwashitaki MWANAHALISI,Jk alimwambia aache tu kwa kuwa alijua ni changamoto katka siasa na lazima ukumbane nayo.
The same will happen to Rostam,Rostam anatingisah kiberiti ili watu wajue naye bado yuo but he will not go far as he kows what MWANAHILISI are doing.
Lunyungu na sh,mnaboa sana kwa kifupi,Kujibishana kama wwatu wasiojisheshima mnaivunjia heshima JF.