Bila mayele na yule kipa wetu hakuna yanga,ukweli usemweKwani kuna kilichopungua kwa kutokuwepo saido? Timu aishindi? Au mnatafuta kichaka baada ya kushiba makande? Nani kawaambia yanga inatetereka ata asipokuwepo mchezaji mmoja?
Nani kakwambia yanga ina mchezaji muhimu? Mchezaji muhimu ndani ya yanga ni Timu nzima na sio mtu mmoja, ayo mambo ya kumtegemea mchezaji mmoja yako makolo uko acha wenge wewe
We mwehu kweli, kwaiyo mayele na diara wamecheza mechi zote za yanga? Na wakati awapo yanga imekuwa aipati matokeo?Bila mayele na yule kipa wetu hakuna yanga,ukweli usemwe
Kwahyo wewe ulikuwa hauamini yale maneno ya Ashura cheupe kuhusu wenye akili pale UTO na akawatajaIla tukiacha ushabiki, Yanga hapa hawakutumia kabisa akili. Unamuacha Saido unamchukua Morisson?
Unamfananiaha Morrison na Ntibazonkiza?. Kwa ntiba yuleeee au kuna mwingine?Saidoo aliachwa na Yanga kwa mazingira sawa na yale aliyoachwa Morrison Simba.
Ila Saido anaonekana kuwa tegemeo kwa club yake tofauti na Morisson.
Ilikuwaje Morrison kupewa tena mkataba wakati mambo yake yanajulikana maana sisi ndio tuliomleta mjini.
Au ndio ule usemi wa Haji Manara kuwa Jangwani wenye akili wawili tu
Sasa hivi ni mmoja tu huyo mwingine ameshawehuka eti anasema wanaolalamikia ugumu wa maisha ni wanafikiSaidoo aliachwa na Yanga kwa mazingira sawa na yale aliyoachwa Morrison Simba.
Ila Saido anaonekana kuwa tegemeo kwa club yake tofauti na Morisson.
Ilikuwaje Morrison kupewa tena mkataba wakati mambo yake yanajulikana maana sisi ndio tuliomleta mjini.
Au ndio ule usemi wa Haji Manara kuwa Jangwani wenye akili wawili tu
Mkuu nawe unakuwa kama huwafahamu hawa uto unawataka watumie akili kwani wanazo?Ila tukiacha ushabiki, Yanga hapa hawakutumia kabisa akili. Unamuacha Saido unamchukua Morisson?
Majeruhi gani mtu anajivutia bangi zake na kujirusha huko kwaoHujui kuwa Morison ni majeruhi, akiwa fit Saidoo anasubiri sana
Hawana akiliWalikua wanatukomoa Simba bila kujua inakuwa kwao
Leo unaniambiaje kipusa changu...hebuπMwacheni bwana kila mmchezaji ana faida yake kwa kipindi fulani
Kila la heri ila ww peke ako π π πLeo unaniambiaje kipusa changu...hebuπ
Amina YAC itashinda leoKila la heri ila ww peke ako π π π
So mlitaka muwapige 10??muwage na huruma jamaniUkweli usemwe, Ntibanzokiza aache uchoyo na ubinafsi, kuna mabao anatukosesha wakati kama angetoa pasi inakuwa kambaa, ila yeye analazimisha afunge yeye anaishia kupokonywa na kuharibu movement.
Na ulengaji wake wa bao awee anatazama na angle sio kupiga tyuuh,
Mie ananikera kwa kweli. Khaaa
Tatizo hela,kila mtu anataka aweke tu,sakho naue mwishoni akapiga mikasi kibao wale mabeki warefu akati phiri alikuwa peke ake na lazima angefunga tu,jana kaliniudhi sana japo kamepunguza sku hiziHii tabia inahamahama...alikuwa nayo Sakho amepunguza imezidi kwa Tiba
Alitupongeza kibabe na Uzi wake upo..ila anisamehe tu akishinda nitampongeza pia ila kwa sababu ya wenzie huko wasielewa michezo wakifungwa nitampa pole na kuwazomeaAaah we jamaa kumbe upo?
Aisee jana sijakusoma kabisa baada ya mechi na staki kujua sababu
Muongeze na changauleKila la heri ila ww peke ako π π π
Mi sijamuona tangu janaAlitupongeza kibabe na Uzi wake upo..ila anisamehe tu akishinda nitampongeza pia ila kwa sababu ya wenzie huko wasielewa michezo wakifungwa nitampa pole na kuwazomea
Swali ni je baada ya kuondoka Saido kaacha pengo kwenye namba aliyokuwa anacheza?Saidoo aliachwa na Yanga kwa mazingira sawa na yale aliyoachwa Morrison Simba.
Ila Saido anaonekana kuwa tegemeo kwa club yake tofauti na Morisson.
Ilikuwaje Morrison kupewa tena mkataba wakati mambo yake yanajulikana maana sisi ndio tuliomleta mjini.
Au ndio ule usemi wa Haji Manara kuwa Jangwani wenye akili wawili tu
Mimi ni mwana michezo sina wivu. Huu ni uzi wangu wa jana baada ya mechi ya Simba kuishaAaah we jamaa kumbe upo?
Aisee jana sijakusoma kabisa baada ya mechi na staki kujua sababu