Saido Ntibanzokiza vs Benard Morisson, Manara alikuwa sahihi. Yanga tuna shida

Saido Ntibanzokiza vs Benard Morisson, Manara alikuwa sahihi. Yanga tuna shida

Kwani kuna kilichopungua kwa kutokuwepo saido? Timu aishindi? Au mnatafuta kichaka baada ya kushiba makande? Nani kawaambia yanga inatetereka ata asipokuwepo mchezaji mmoja?

Nani kakwambia yanga ina mchezaji muhimu? Mchezaji muhimu ndani ya yanga ni Timu nzima na sio mtu mmoja, ayo mambo ya kumtegemea mchezaji mmoja yako makolo uko acha wenge wewe
Bila mayele na yule kipa wetu hakuna yanga,ukweli usemwe
 
Saidoo aliachwa na Yanga kwa mazingira sawa na yale aliyoachwa Morrison Simba.

Ila Saido anaonekana kuwa tegemeo kwa club yake tofauti na Morisson.

Ilikuwaje Morrison kupewa tena mkataba wakati mambo yake yanajulikana maana sisi ndio tuliomleta mjini.

Au ndio ule usemi wa Haji Manara kuwa Jangwani wenye akili wawili tu
Unamfananiaha Morrison na Ntibazonkiza?. Kwa ntiba yuleeee au kuna mwingine?
 
Saidoo aliachwa na Yanga kwa mazingira sawa na yale aliyoachwa Morrison Simba.

Ila Saido anaonekana kuwa tegemeo kwa club yake tofauti na Morisson.

Ilikuwaje Morrison kupewa tena mkataba wakati mambo yake yanajulikana maana sisi ndio tuliomleta mjini.

Au ndio ule usemi wa Haji Manara kuwa Jangwani wenye akili wawili tu
Sasa hivi ni mmoja tu huyo mwingine ameshawehuka eti anasema wanaolalamikia ugumu wa maisha ni wanafiki

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ukweli usemwe, Ntibanzokiza aache uchoyo na ubinafsi, kuna mabao anatukosesha wakati kama angetoa pasi inakuwa kambaa, ila yeye analazimisha afunge yeye anaishia kupokonywa na kuharibu movement.

Na ulengaji wake wa bao awee anatazama na angle sio kupiga tyuuh,

Mie ananikera kwa kweli. Khaaa
So mlitaka muwapige 10??muwage na huruma jamani
 
Hii tabia inahamahama...alikuwa nayo Sakho amepunguza imezidi kwa Tiba
Tatizo hela,kila mtu anataka aweke tu,sakho naue mwishoni akapiga mikasi kibao wale mabeki warefu akati phiri alikuwa peke ake na lazima angefunga tu,jana kaliniudhi sana japo kamepunguza sku hizi
 
Aaah we jamaa kumbe upo?

Aisee jana sijakusoma kabisa baada ya mechi na staki kujua sababu
Alitupongeza kibabe na Uzi wake upo..ila anisamehe tu akishinda nitampongeza pia ila kwa sababu ya wenzie huko wasielewa michezo wakifungwa nitampa pole na kuwazomea
 
Alitupongeza kibabe na Uzi wake upo..ila anisamehe tu akishinda nitampongeza pia ila kwa sababu ya wenzie huko wasielewa michezo wakifungwa nitampa pole na kuwazomea
Mi sijamuona tangu jana
 
Saidoo aliachwa na Yanga kwa mazingira sawa na yale aliyoachwa Morrison Simba.

Ila Saido anaonekana kuwa tegemeo kwa club yake tofauti na Morisson.

Ilikuwaje Morrison kupewa tena mkataba wakati mambo yake yanajulikana maana sisi ndio tuliomleta mjini.

Au ndio ule usemi wa Haji Manara kuwa Jangwani wenye akili wawili tu
Swali ni je baada ya kuondoka Saido kaacha pengo kwenye namba aliyokuwa anacheza?
 
Aaah we jamaa kumbe upo?

Aisee jana sijakusoma kabisa baada ya mechi na staki kujua sababu
Mimi ni mwana michezo sina wivu. Huu ni uzi wangu wa jana baada ya mechi ya Simba kuisha

 
Back
Top Bottom