Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

drunk 5.jpg
 
Piga puli it's a proven stress reliving method.
 
Mwanangu mi nikipiga Punyeto tu shughuli yote imeisha....Hata nipoteze milioni nikila Nyeto yangu napitiwa na usingizi kabisa.

nikiamka No stress No problem
 
Huwa nafunga kichwa na tumbo. Kisha nazima taa na kutumia makenikia.
 
Vp Wakuu
Leo tupeane mbinu ambazo tunatumia pindi tunapo kua na mawazo mengi ya MAISHA/MAPENZI

mimi binafsi ninapokua na stres huwa sijites
Naingia YOUTUBE kisha nasach tom&jerry,,hapo ntacheka mpaka Mb ziishe

Haya nanyinyi toeni mbinu zenu, tubadilishane I DEA


Namuita jirani yangu au naye akiwa bize kuna mdada mmoja akai mbali sana nami...namuita yeye kutoana stress kutumia 6 X 6, baada ya hapo mwili wote laiiiiiini na kesho nikihamka nacheka kama vile sina akili....yaani nasalimia hata wasiostahili kusalimiwa mtaani.
 
Wishful thinking.

Stress zitoke wapi kwa wacha Mungu.

Hawana matamanio ya kijinga. Swala inawakinga na kuwalinda.

Soma kijana uelewe kuwa stress inaletwa na mihemko ya kidunia.


FaizaFoxy, wale wote unaowaona wanasali swala 5 kwa siku wana stress za hajabu sana. Wengi wao wanakwenda ama kujipeleka misikitini kutimiza wajibu wao lakini wengi wao ni wanafiki tu. Tunaishi nao humu mitaani, yaani mambo wanayo yafanya hata wewe utashangaa. Siamini kama kweli kuna kiumbe/mtu anasali swala 5 kwa siku bila kuwa mnafiki, never!
 
Wishful thinking.

Stress zitoke wapi kwa wacha Mungu.

Hawana matamanio ya kijinga. Swala inawakinga na kuwalinda.

Soma kijana uelewe kuwa stress inaletwa na mihemko ya kidunia.
Ni kwel swala tu yenyewe ikikamilishwa inavyotakikana stress unasikia kwa wenzako...
 
Back
Top Bottom